Kwahiyo unafikiri Upinzani ungeweza kushinda uchaguzi?
By the way mimi siko CCM.
Kulipuka vp unakokusudia wewe?Mbona hamtaki kukiri kama wanavyokiri WHO, nyie wababaduaji wa mambo!??? Hata ungefichaje takwimu, kama dude lingekuwepo lingeshatulipukia ileee kitambo vibaya mno tu. That's simple logic, simple Mathematics, and nothing like rocket [emoji573] science ama Einstein genius inayohitajika.
Unajua hata kama kuna ufisadi, upumbavu bado ibabidi uwe na ushawishi fulani kwa mafisadi wenzio na Watanzania wapumbavu kama unavyowaita wakupigie kura.
Sasa kama wasingeweza kushinda kwanini aliuwa watu na kuiba kura na kuweka kura fake kwenye masanduku ya kupigia kura? Kwanini alikataa wito wa Mkapa wa kuwepo tume huru ya Uchaguzi na kura kuhesabiwa hadharani?
Tuseme kila kitu kingekuwa sawa na UN, EU wakausimamia uchaguzi. Unafikiri Lissu angekuwa mshindi?
Sasa hao wapumbavu kama walimpigia kura huyo anayejiita mwendawazimu kulikuwa na sababu zipi tena za yeye kufanya mauaji, kuiba kura na kutumia kura fake kwenye masanduku ya kupigia kura? 😳
Hebu tumia akili japo kiduchu tu. Unadhani kwanini waliiba kama Lissu alikuwa hawezi kushinda? Unadhani kwanini wito wa Mkapa kuwepo kwa tume huru ya Uchaguzi na kura kuhesabiwa hadharani ULIPUUZWA? 😳
View attachment 1685416
Power many times corrupt, absolutely power can corrupt you absolutely. Even you.
Hahahahaha you don’t have any clue of what you’re talking about. Your points to justify what happened on October 28 are very weak.
Those guys wote uliowataja wasingeweza kutikisa, leave alone kung'oa, foundations na entanglements za uozo, rushwa, ubadhirifu, ufisadi na uzembe katika nchi hii. Imagine kwa ukali wa JPM, hata sasa bado kuna watumishi hawajamwelewa, wangali wanaishi katika nyakati za zilipendwa!??? If president, Dokta Slaa angefaa just kwenye international negative marketability, Nyarandu diversive attention na Mbowe angefaa tu kwa international invasion ya nchi yetu. Nothing more, nothing less. ^Tulimhitaji Rais kama huyu kwa muda mrefu; ngoja twende naye, atatufikisha salama^ in the words of GBL former Arusha MP.Nafikiri Dr Slaa, Nyalandu au Mbowe wangefanya vizuri zaidi. They are dignified, serious, don't look for cheap popularity, mitandao.
Modeco B ndo home. Poleni sana mkuuKuna rafiki yangu yupo Morogoro amenipigia simu Leo kuniambia kuwa Corona ipo nichukue tahadhari
Mtaani kwao modeko wamezika mtu alikuwa na dalili zote za Corona alipokuwa hai.
Naelekea kukubaliana na wewe iwapo utakiri tu kwamba korona ya Tanzania haiui. Don't ever forget kwamba WHO pamoja na wapiga kelele kama nyie mlisema wazi kwa hatua ya JPM kukataa utanibishaji (^lockdown^), countless dead bodies would be found scattered all over the streets. Umeisahau hotuba ileeee ndeefuu motomoto ya Mr Hai kwamba ^it's just a matter of time^ before JPM in his ^state of denial^ would be forced to accept reality!??? Iko wapi ile mantiki ya methali kwamba: Mficha-ugonjwa mauti humuumbua!??? I think hauko serious. Imagine WHO wao wamefika hatua ya kumnyooshea mikono JPM --- they are unsure of what's happening. Another way of saying they cannot actually figure out a better way of prevarication and faking it anymore, for their little eyes betray them. Who are you, then!???Kulipuka vp unakokusudia wewe?
Point ni kwamba tulitangulia kuacha kutoa takwimu kisha ndio tukaja kudai kuwa corona imeondoka kwa maombi,kwahiyo hapa maombi yanasingiziwa tu na ndio maana hakuna uthubutu wa kupima corona na kutoa takwimu pamoja na kudai hakuna corona.
Kwa ufupi Magu katumia saikolojia ya kumuhusisha Mungu katika hili kwa kudai kuwa Mungu kaondoa corona kupitia maombi ila uhalisia Magufuli ni kawaondoa tu watu hofu maana ndio ilikuwa corona yenyewe wakati ule.
Power corrupts, and absolute power corrupts absolutelyPower many times corrupt, absolutely power can corrupt you absolutely. Even you.
Those guys wote uliowataja wasingeweza kutikisa, leave alone kung'oa, foundations na entanglements za uozo, rushwa, ubadhirifu, ufisadi na uzembe katika nchi hii. Imagine kwa ukali wa JPM, hata sasa bado kuna watumishi hawajamwelewa, wangali wanaishi katika nyakati za zilipendwa!??? If president, Dokta Slaa angefaa just kwenye international negative marketability, Nyarandu diversive attention na Mbowe angefaa tu kwa international invasion ya nchi yetu. Nothing more, nothing less. ^Tulimhitaji Rais kama huyu kwa muda mrefu; ngoja twende naye, atatufikisha salama^ in the words of GBL former Arusha MP.
Crucial to have controls. (Check and balance). Mamlaka nyingine kuisimamia serikali.Power corrupts, and absolute power corrupts absolutely
Za kuambiwa changanya na nako tu....Kwani tahadhari za kuchukua dhidi ya COVID ni kujifungia tu? Umeona hamasa yeyote ya watu kunawa mikono kila mara au kutembea na sanitizer/ kuvaa barakoa.
Katika matatizo ya kiuchumi ndiyo maana tunapata misaada na mikopo ili tuweze kupambana na ugonjwa.
Wahusika wangesema hadharaniBak tunajua Covid ipo. Usiangalie Rais anafanya nini. Jiongeze.
Wewe ungekuwa Rais ungefanya vipi?
Rate ya vifo vya korona huwezi kulinganisha na Hiv,Hivi ninyi mmeweka mkataba wa kibiashara na huyu jamaa anaitwa korona, au!??? Mbona HIV hamsemi!??? Tokeni huko na unafiki wenu!