Nakinga ila najua kuna wanao puuzia kwa kusikiliza politcs alafu mwoshoe hali kiwa too intensive hata mimi nitaja ishia kwenye point of no return. kama ikifikia hatua kila mtu ana kohoa au hata mimi ninaye vaa na kujikinga nakuwa kwenye high risk zaidiSasa kama ushajionea yte hayo siujikinge tu mkuu adi kujikinga unataka uambiwe na serikali???????
Anaepuuzia acha apuuzie tuNakinga ila najua kuna wanao puuzia kwa kusikiliza politcs alafu mwoshoe hali kiwa too intensive hata mimi nitaja ishia kwenye point of no return. kama ikifikia hatua kila mtu ana kohoa au hata mimi ninaye vaa na kujikinga nakuwa kwenye high risk zaidi
Pole sana Mkuu hali inatisha sana! Jiwe anawaza Uchumi wa kati tu.Jaman hii issue ni tatizo kubwa sana .. Dada yangu wapekee katika familia yetu ameugua ugonjwa wa Kusindwa kupumua mpaka aka Kimbizwa kwenye Mashine ..bahati nzuri tuli mfukiza kwa wingi na kunywa tangawizi na malimao...
Unataka WHO wafanye nini hasa! Magufuli keishasema ugonjwa Upo na tutumie mbinu za kujikingaJaman hii issue ni tatizo kubwa sana .. Dada yangu wapekee katika familia yetu ameugua ugonjwa wa Kusindwa kupumua mpaka aka Kimbizwa kwenye Mashine ..bahati nzuri tuli mfukiza kwa wingi na kunywa tangawizi na malimao.
Sijui ni wazimu gani amewaingia! Mbona kila siku anasema upo hata jana kasemaHalafu kuna li mtu litakuja kusema corona hamna
Unajua hawa ni wale wanaomchukia JPM na wanamsingizia. Kila siku anasema tujilinde.Mnataka mzee afanye nini? Tumeshaambiwa mara kibao hata Jafo ameshatangaza awamu nyingine ya nyungu,kila MTU aombe kwa imani yake hili janga lipite mbali...tumeona Kenya walijifungia je iliwasaidia? Na nchi za ulimwengu wa kwanza nyingi tu zilijifungia je iliwasaidia? Halafu mzee anavyokataa chanjo tusidhani ni mjinga au anakaidi hivihivi tu mzee ni taasisi na ana information za kutosha kuhusu hiyo chanjo.....kilichopo tuache kulaumiana . Nionavyo mzee anajitahidi sana kuondoa hofu na hofu inaua kuliko .
Ukianza kubanwa pumzi utanipa mrejeshoSijui ni wazimu gani amewaingia! Mbona kila siku anasema upo hata jana kasema