ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
5tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu na lwake. Unapata wapi hata uthubutu wa kunishauri miye wewe?Usichukue tahadhari subiri tamko la shinikizo.
Jamani Mkuu wa nchi si ameshawaambia hamna Corona?Mabibi na mabwana kupeana ulio ukweli hata kama ni mchungu vipi ni jambo la msingi sana.
Kama binadamu mwenye kuwajibika na familia yangu, nami ninachukua njia yangu japo nikiwa nimechelewa sana.
Tusijuane.
Tumeambiwa kunawa mikono kwa sekunde 20 kwa maji tiririka na sabuni. Maji tiririka wengine tunayapata wakati wa mvua tu.
Jamani Mkuu wa nchi si ameshawaambia hamna Corona?
Ni kweli kabisa, kila mmoja na lwake. Serikali hii haina uwezo wowote wa kupambana na majanga. Ni ulaghai wa kisiasa na ushamba wa kimadaraka tu. Hakuna janga waliloweza kulimudu.Mabibi na mabwana kupeana ulio ukweli hata kama ni mchungu vipi ni jambo la msingi sana..
Hivyo ile maabara ya serikali iliyompima corona mbuzi bado ipo?! Maana takwimu za upimaji hazijatolewa karibu mwaka sasa! Nchi ya wagagagigikoko.Tumeambiwa kunawa mikono kwa sekunde 20 kwa maji tiririka na sabuni. Maji tiririka wengine tunayapata wakati wa mvua tu.
Ni kweli kabisa, kila mmoja na lwake. Serikali hii haina uwezo wowote wa kupambana na majanga. Ni ulaghai wa kisiasa na ushamba wa kimadaraka tu. Hakuna janga waliloweza kulimudu. Ni kuanzia tetemeko la ardhi Bukoba mpaka covid19/21. Sasa kila mmoja apambane kivyake awe hai au amekufa. Hatuna serikali.
Hivyo ile maabara ya serikali iliyompima corona mbuzi bado ipo?! Maana takwimu za upimaji hazijatolewa karibu mwaka sasa! Nchi ya wagagagigikoko
Hii Hakuna takwimu na wanasema wameudhibiti ugonjwa. Lakini wachezaji 3wa Namungo wamekutwa na maambukizi Angola.Hivyo ile maabara ya serikali iliyompima corona mbuzi bado ipo?! Maana takwimu za upimaji hazijatolewa karibu mwaka sasa! Nchi ya wagagagigikoko
Hii Hakuna takwimu na wanasema wameudhibiti ugonjwa. Lakini wachezaji 3wa Namungo wamekutwa na maambukizi Angola.
Kama hakuna corona, yeye angekubali kuchanjwa na Wachina?Jamani Mkuu wa nchi si ameshawaambia hamna Corona?
Hakuna kuzuia ndege kuja kwetu HAPANA, TUSIKUBALI.Habari njema nikuwa chanjo zinaanza kuonesha kilichokuwa kinategemewa. Israel juzi wametangaza asilimia 94% wagonjwa wa wamepungua waliopata chanjo na UK pia jana wamesema baada ya watu milion 15 mpaka sasa kupata chango wagonjwa na vifo vinapungua daily na hii ni dalili njema kwa dunia..