Hapana usichukue tahadhali yeyote subiri tamko la Magufuli
Nami namsubiri afuate anayoita eti ni kodi yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana usichukue tahadhali yeyote subiri tamko la Magufuli
Only the fittest will survive. Tusishangae cencer ya mwakani kama sijakosea Tanzania population ikarudi kweye milioni arobaini au thelathini na kitu huko.
Tatizo mlichagua rais wa miundo mbinu yeye anajali mabarabara tu na sio uhai wa watanzania
Tuendelee kuchukua tahadhariMarehemu Kingunge (rip) alisema.
Jana uzi wangu ulipigwa pini! Nilikuwa nahusisha uhusika wa vifo na viongozi wanatuhamasisha hakuna korona ilihali wao wanajificha na wengi tuna taarifa wamepokea chanjo! . Mod aliogopa lakini ukweli ndio huo. Hii ni masacre! tupende tusipende. Nimezika kaka yangu! Mimi na familia yangu yote ni wagonjwa tumeenda hospitali tumerudishwa nyumbani! Tuende wapi??Mabibi na mabwana kupeana ulio ukweli hata kama ni mchungu vipi ni jambo la msingi sana.
Haisaidii kuukimbia ukweli.
Kwa hakika hali ya ugonjwa huu ni mbaya sana labda kuliko hata maelezo. Niko Kagera kwa mazishi ya kigogo wa mahakama kuu Mwanza.
Nakutana na misiba zaidi. Itoshe kuonyesha hali hii:
"Bwana Tumsiime mmiliki wa zile shule maarufu Dar kafiwa na mama mkwe na pia shemeji yake ndani ya siku 2 tu."
Pole nyingi ziwafikie yeye na familia yake.
Alianza shemeji, akaenda kuzika na kurejea Dar. Juzi tena, mama mkwe aliyekuwa msibani kwa mwanaye naye kafariki. Amelazimika kurejea kwa mazishi tena.
Changamoto zile zile, watanzania wale wale.
Kwani mengine yapi ni mageni wapi?
View attachment 1703411
Ukweli mchungu, watu wanakufa sana na ugonjwa huu.
Maswali yangu ya msingi kwenye vita hivi nikidhani tuko sote, yamekuwa haya hapa:
View attachment 1703412
Sijapata majibu yake popote.
Ni wazi kuwa kudhani kuwa vita hivi vingepiganwa katika umoja wetu kama taifa, kama ilivyo kwingine, hakupo.
Basi wala isiwe taabu.
Rasmi sasa hapa tulipo ni kila mtu na lwake. Kila mtu ikiwamo serikali, sasa na apigane kivyake.
Kila mtu na achukue njia yake. Kila mtu achukue mzigo wake. Tuachane njia panda.
Kama binadamu mwenye kuwajibika na familia yangu, nami ninachukua njia yangu japo nikiwa nimechelewa sana.
Tusijuane.
Sky hizi Sentensi zako mbili zina ujumbe Mkubwa Sana....Ahsante🤔Tumeambiwa kunawa mikono kwa sekunde 20 kwa maji tiririka na sabuni. Maji tiririka wengine tunayapata wakati wa mvua tu.
Pole sana ndugu yangu. Mzee laizer amazika ndugu watatu ndani ya juma lilopita, alianza mkewe, akafuata mamamkwe, akifuatiwa na shemejiye mjane wa marehemu kakaye.Jana uzi wangu ulipigwa pini! Nilikuwa nahusisha uhusika wa vifo na viongozi wanatuhamasisha hakuna korona ilihali wao wanajificha na wengi tuna taarifa wamepokea chanjo! . Mod aliogopa lakini ukweli ndio huo. Hii ni masacre! tupende tusipende. Nimezika kaka yangu! Mimi na familia yangu yote ni wagonjwa tumeenda hospitali tumerudishwa nyumbani! Tuende wapi??
Umeipata hii ya wahadhiri wa SUA?Pole sana ndugu yangu. Mzee laizer amazika ndugu watatu ndani ya juma lilopita, alianza mkewe, akafuata mamamkwe, akifuatiwa na shemejiye mjane wa marehemu kakaye.
Pole sana ndugu, tuna ombwe la uongozi, mbaya zaidi wanaiona hali na vifo vya watu ila hawajali! Huwa naangalia wakienda kuwazika wabunge na wengine wenye vyadhifa, ndipo napokumbuka machoni kama watu.. . ila mioyo yao ni bora Simba mwenye njaa[emoji706]Jana uzi wangu ulipigwa pini! Nilikuwa nahusisha uhusika wa vifo na viongozi wanatuhamasisha hakuna korona ilihali wao wanajificha na wengi tuna taarifa wamepokea chanjo! . Mod aliogopa lakini ukweli ndio huo. Hii ni masacre! tupende tusipende. Nimezika kaka yangu! Mimi na familia yangu yote ni wagonjwa tumeenda hospitali tumerudishwa nyumbani! Tuende wapi??
Ndio maana nasema nijuu yake na serikali kwa ujumla kubadilika haraka au watatuingiza katika doa jeusi katika history ya nchi kuja kujisafisha tena itachukuwa miaka. sisi tuna history nzuri miaka yote hatujawahi kuwa hivi tulivyo sasa.Hakuna kuzuia ndege kuja kwetu HAPANA, TUSIKUBALI.
Uamuzi sahihi ni Dunia kutusaidia kumwonfoa muuaji. Haiwezekani Dunia ikae kimya ikimwangalia kichaa mmoja akiangamiza mamilioni ya watu. Siyo sahihi. Dunia ibebe jukumu lake la msingi laf kuifanya Dunia mahali salama.
Endeleeni kusubiria tamko la serikaliMabibi na mabwana kupeana ulio ukweli hata kama ni mchungu vipi ni jambo la msingi sana.
Haisaidii kuukimbia ukweli...
Senseless opinionHakuna kuzuia ndege kuja kwetu HAPANA, TUSIKUBALI.
Uamuzi sahihi ni Dunia kutusaidia kumwonfoa muuaji. Haiwezekani Dunia ikae kimya ikimwangalia kichaa mmoja akiangamiza mamilioni ya watu. Siyo sahihi. Dunia ibebe jukumu lake la msingi laf kuifanya Dunia mahali salama.