#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
'mtu mwenye akili akikuambia jambo la kijinga,huko anajua wewe una akili,na anajua kuwa wewe unajua hilo jambo ni ujinga...Amekudharau '. Simjui aliyewahi kusema hivyo
 
Baada ya wagonjwa wa Nimo.. nia au Co... oona kufariki, Wengi ya wale wanaouguza wanafariki baadae ambao wengi ni ndugu wa marehemu Dada, Kaka, Mke, watoto na majirani wanakwisha

Kutokuchukua tahadhari kumegharimu wauguzaji wengi sana, Baada ya mgonjwa kufariki wanaofuatia ni wauguzaji

Madaktari wameshaingiwa na hofu, Hawawezi kusema ukweli tena wameamua liwalo na liwe,Unaambiwa na daktari mgonjwa wako anaumwa kifua na kubanwa mbavu au Nimo.. nia kali, Baadae mgonjwa anafariki, Wauguzaji wengi wanakwisha na co... ona kwa kupotoshwa na madaktari ambao wamegeuka wanasiasa

Msiba ni mchungu ukiwa kwako ukiwa kwa jirani unaendelea na ratiba zako

Tusidanganywe na madaktari kuwa mgonjwa anaumwa kifua cha kawaida na hivyo kujiachia kumuhudumia bila barakoa au gloves tunakwisha

Huko Njombe, Askofu msaidizi kutoka KKKT usharika wa Songea alikwenda kuendesha misa ya co.. oona Njombe, Baada ya hapo huyo Askofu amepoteza maisha na zaidi ya wauguzaji kumi na watu wa karibu wa mgonjwa nao wamekwisha kutokana na co... ona au ugonjwa wa Ni.. monia kali
 
Ushauri wako muhimu kuzingatiwa, nilikuwa na Mgonjwa wa Pneumonia nilimuuguza siku 2 tu baada ya hapo kutokana na majukumu ya kutafuta mkate, niliwaachia ndugu wengine.

Nimerudi home, nikaanza kuumwa. Chapu nikawahi hospitali. Baada ya vipimo ikaoneka mapafu yalikuwa yameanza kuathirika.

Mungu mkubwa, hivi sasa niko poa na naendelea na matibabu ya kusafisha mapafu.

Huu mwaka tutaumaliza tukiwa hai Insha Allah 🙏🙏🙏🙏
 
Ushauri wako muhimu kuzingatiwa, nilikuwa na Mgonjwa wa Pneumonia nilimuuguza siku 2 tu baada ya hapo kutokana na majukumu ya kutafuta mkate, niliwaachia ndugu wengine.

Nimerudi home, nikaanza kuumwa. Chapu nikawahi hospitali. Baada ya vipimo ikaoneka mapafu yalikuwa yameanza kuathirika.

Mungu mkubwa, hivi sasa niko poa na naendelea na matibabu ya kusafisha mapafu.

Huu mwaka tutaumaliza tukiwa hai Insha Allah [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Kwani hii ngoma kweli ipo? au Jitihada za mabeberu kutukwamisha kiuchumi

Vumbi kama vumbi kweli lipo na limenifanya nivae barakoa ili kupunguza kamasi

Mkuu fikiria watoto wako utamuachia nani?

Fikiria watoto wako nani atawalea na kuwalipia ada?

Fikiria sana familia yako itaishi vipi, Mateso watakayopata watoto wako kwa kuishi na mtu baki

Vumbi kama vumbi lipo, Ila hii corona mbona wanasiasa wakiwa na Mheshimiwa wanaficha barakoa na kutembea kwa ujasiri, Wakiwa mafichoni wanavaa barakoa kupunguza vumbi
 
Ushauri wako muhimu kuzingatiwa, nilikuwa na Mgonjwa wa Pneumonia nilimuuguza siku 2 tu baada ya hapo kutokana na majukumu ya kutafuta mkate, niliwaachia ndugu wengine.

Nimerudi home, nikaanza kuumwa. Chapu nikawahi hospitali. Baada ya vipimo ikaoneka mapafu yalikuwa yameanza kuathirika.

Mungu mkubwa, hivi sasa niko poa na naendelea na matibabu ya kusafisha mapafu.

Huu mwaka tutaumaliza tukiwa hai Insha Allah 🙏🙏🙏🙏
Well said mkuu, tatizo hapa watu wengi wanachukulia ugonjwa huu kama mtaji wa kisiasa, sijui kwa nini? Ugonjwa huu ukiuwahi mapema akapatiwa madawa stahiki unapona - ninacho isifu Seriali amejitahidi sana kusambaza dawa hizi critical karibu nchi nzima - wengi wanao ibeza Serikali hajawafika wanayasikia kwenye radio shujuruni hata kidogo kinacho patikana.
 
Kwani hii ngoma kweli ipo? au Jitihada za mabeberu kutukwamisha kiuchumi

Vumbi kama vumbi kweli lipo na limenifanya nivae barakoa ili kupunguza kamasi

Mkuu fikiria watoto wako utamuachia nani?

Fikiria watoto wako nani atawalea na kuwalipia ada?

Fikiria sana familia yako itaishi vipi, Mateso watakayopata watoto wako kwa kuishi na mtu baki

Vumbi kama vumbi lipo, Ila hii corona mbona wanasiasa wakiwa na Mheshimiwa wanaficha barakoa na kutembea kwa ujasiri, Wakiwa mafichoni wanavaa barakoa kupunguza vumbi
The shit is real

Bahati yangu niliwahi hospitali mapema, pia wanasema umri pia umechangia Mimi ku recover mapema.
 
Well said mkuu, tatizo hapa watu wengi wanachukulia ugonjwa huu kama mtaji wa kisiasa, sijui kwa nini? Ugonjwa huu ukiuwahi mapema akapatiwa madawa stahiki unapona - ninacho isifu Seriali amejitahidi sana kusambaza dawa hizi critical karibu nchi nzima - wengi wanao ibeza Serikali hajawafika wanayasikia kwenye radio shujuruni hata kidogo kinacho patikana.
Muhimu upate matibabu mapema

Mungu atusaidie tuone mwaka 2022, otherwise we are finished🙆
 
Ushauri wako muhimu kuzingatiwa, nilikuwa na Mgonjwa wa Pneumonia nilimuuguza siku 2 tu baada ya hapo kutokana na majukumu ya kutafuta mkate, niliwaachia ndugu wengine.

Nimerudi home, nikaanza kuumwa. Chapu nikawahi hospitali. Baada ya vipimo ikaoneka mapafu yalikuwa yameanza kuathirika.

Mungu mkubwa, hivi sasa niko poa na naendelea na matibabu ya kusafisha mapafu.

Huu mwaka tutaumaliza tukiwa hai Insha Allah 🙏🙏🙏🙏
The Lord is good all the time.
 
Ndugu zangu Watanzania wenzangu;
Nimefuatilia kwa makini kauli na vitendo vya Mhe Magu na wasaidizi wake wa karibu tangu kuanza kwa wimbi la pili la virusi vya Corona Tanzania. Ukilinganisha kauli za Mhedhimiwa, Kati ya zile za mwanzo na za Sasa za kupinga uwepo wa korona, na kupinga njia sahihi za kisayansi za kupambana nayo, utaona kabisa Mhe ameshajua alikosea na Ni Kama ameshakiri kosa na Sasa anawataka wasaidizi wake wafanye yaliyo sahihi..

Siku moja mzee Makamba na waziri Mkuu Lowasa wakiwa kwenye ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya shekilango kulitokea kosa ambalo ilibidi Mzee Makamba amuombe msamaha PM Lowassa; Makamba hakuomba msamaha huo moja kwa moja Bali alimwambia tu PM kuwa "Mzee tunaomba muda turekebishe, Mtu mzima akikosea si lazima akiri kosa hadharani Bali hata Akikohoa tu kho kho tulio na akili tunajua tiyari.....

Jaman Magu keshakohoa, wasaidizi wake Sasa msaidieni kwa kufanya yaliyo sahihi; au mnataka mpaka Alie machozi hadharani?!!!!!!
 
Back
Top Bottom