Hata ulaya wanakufa sana.angalau hapa tz.acheni kuogopesha watu bana. U can't escape death,it's the law of nature.pigeni kazi,chukueni tahadhari binafsi.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Hata ulaya wanakufa sana.angalau hapa tz.acheni kuogopesha watu bana. U can't escape death,it's the law of nature.pigeni kazi,chukueni tahadhari binafsi.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Ili ufike uchumi wa Kati lazima u save 90% from ua earnings,na u spend 10% of ua earnings. nakomaa na ka tecno low budget mkuu.Piga kazi wewe kwanza uachane na TECNo
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila daa mnakazonga Sana ka tecno kangu ka low budget [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Piga kazi wewe kwanza uachane na TECNo
tatizo mmesoma lakini elimu mliziacha kwenye makaratasi kwa brain empty. Magoda yako wewe!!!Kaa na ujinga wako hivo hivo. Kwamba wakifa basi na Huku tufe? Akili za matakoni hatuzitaji.
[emoji23][emoji23][emoji23] Ila daa mnakazonga Sana ka tecno kangu ka low budget [emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Kwani hii ngoma kweli ipo? au Jitihada za mabeberu kutukwamisha kiuchumiUshauri wako muhimu kuzingatiwa, nilikuwa na Mgonjwa wa Pneumonia nilimuuguza siku 2 tu baada ya hapo kutokana na majukumu ya kutafuta mkate, niliwaachia ndugu wengine.
Nimerudi home, nikaanza kuumwa. Chapu nikawahi hospitali. Baada ya vipimo ikaoneka mapafu yalikuwa yameanza kuathirika.
Mungu mkubwa, hivi sasa niko poa na naendelea na matibabu ya kusafisha mapafu.
Huu mwaka tutaumaliza tukiwa hai Insha Allah [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Well said mkuu, tatizo hapa watu wengi wanachukulia ugonjwa huu kama mtaji wa kisiasa, sijui kwa nini? Ugonjwa huu ukiuwahi mapema akapatiwa madawa stahiki unapona - ninacho isifu Seriali amejitahidi sana kusambaza dawa hizi critical karibu nchi nzima - wengi wanao ibeza Serikali hajawafika wanayasikia kwenye radio shujuruni hata kidogo kinacho patikana.Ushauri wako muhimu kuzingatiwa, nilikuwa na Mgonjwa wa Pneumonia nilimuuguza siku 2 tu baada ya hapo kutokana na majukumu ya kutafuta mkate, niliwaachia ndugu wengine.
Nimerudi home, nikaanza kuumwa. Chapu nikawahi hospitali. Baada ya vipimo ikaoneka mapafu yalikuwa yameanza kuathirika.
Mungu mkubwa, hivi sasa niko poa na naendelea na matibabu ya kusafisha mapafu.
Huu mwaka tutaumaliza tukiwa hai Insha Allah ππππ
The shit is realKwani hii ngoma kweli ipo? au Jitihada za mabeberu kutukwamisha kiuchumi
Vumbi kama vumbi kweli lipo na limenifanya nivae barakoa ili kupunguza kamasi
Mkuu fikiria watoto wako utamuachia nani?
Fikiria watoto wako nani atawalea na kuwalipia ada?
Fikiria sana familia yako itaishi vipi, Mateso watakayopata watoto wako kwa kuishi na mtu baki
Vumbi kama vumbi lipo, Ila hii corona mbona wanasiasa wakiwa na Mheshimiwa wanaficha barakoa na kutembea kwa ujasiri, Wakiwa mafichoni wanavaa barakoa kupunguza vumbi
Muhimu upate matibabu mapemaWell said mkuu, tatizo hapa watu wengi wanachukulia ugonjwa huu kama mtaji wa kisiasa, sijui kwa nini? Ugonjwa huu ukiuwahi mapema akapatiwa madawa stahiki unapona - ninacho isifu Seriali amejitahidi sana kusambaza dawa hizi critical karibu nchi nzima - wengi wanao ibeza Serikali hajawafika wanayasikia kwenye radio shujuruni hata kidogo kinacho patikana.
The Lord is good all the time.Ushauri wako muhimu kuzingatiwa, nilikuwa na Mgonjwa wa Pneumonia nilimuuguza siku 2 tu baada ya hapo kutokana na majukumu ya kutafuta mkate, niliwaachia ndugu wengine.
Nimerudi home, nikaanza kuumwa. Chapu nikawahi hospitali. Baada ya vipimo ikaoneka mapafu yalikuwa yameanza kuathirika.
Mungu mkubwa, hivi sasa niko poa na naendelea na matibabu ya kusafisha mapafu.
Huu mwaka tutaumaliza tukiwa hai Insha Allah ππππ
Amen Mkuu πππThe Lord is good all the time.