#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Jamani tunapaswa kuwa makini sana na haya mafua, kuna vitu vingi hatuvielewi! Hebu someni hapa, nimekutana nayo njiani!
Kwani lazima utujulishe! Sisi siyo watoto wenu, tutajilinda wenyewe kwani maisha yetu ni jukumu letu.
 
Za Kuambiwa changanya na zako, Wenzenu ventilator ziko mpka jikon we jifanya 5G radiation
 
Awareness kama tunayo inatosha ss kujikinga wenyewe. Serikali haijakataza raia kujikinga na covid.

Wakati mwingine ni bora kuwe hivi, Kwann tunataka panic irudi tena? Watu waanze kufa tena? Manesi wetu wanajulikana, wakishapanic nani atatoa huduma kwa wenye pumu, kifua kikuu, nimonia, n.k? Yaani serikali ikitangaza corona ipo tegemea matatizo zaidi ya mafanikio.
Kwa hali ilivyokuwa kipindi cha corona mi naona Kila mtu ajikinge, na kusali bila kusubiri tamko la serikali.
Sasa ukinyamaza ndo hawafi ?
 
Hatuwezi kupambana na Corona ikiwa bado tumejificha kwenye huu upumbavu;
-Kutangaza kuwa Corona haipo Tanzania.
-Kuaminisha watanzania kuwa Nyungu, madawa ya kienyeji nk vinatosha kutibu Corona.
-Kuaminisha kuwa chanjo za Corona zimetengenezwa ili kuja kutumaliza.
-Kuficha takwimu sahihi kuhusu vifo na maambukizi ya corona.
-Kukaa kusubiri rais aseme hakuna Corona ili tushangilie.
All of your methods have not produce positive results.njia zako zote hizo hazijasaidia .suala ni kumuomba mung aktunusuru jambo ambalo limeshatangazwa naserikal kujifusha.au steam nayo mi tiba
tawakal kwa dawa malimao asbab tu.
 
Without documentation how do you know we don't have millions of deaths so far?
Good,without documentation how do you know we have millions of deaths so far?means unafanya guess work kama wapiga ramli wengine?
 
Viongozi wetu wazee wastaafu wamekuwa walaji wazuri sana wa kodi na kuishi kifalme lakini wamelegea sana kwenye ushauri.

Tanzania tuna janga ya magojwa na uchumi lakini ni Warioba tu ndiye anaweza kuongea kidogo bila woga. Madaktari wanakufa kwa kasi sana na kila mtu anajua tunadanganywa sana kwenye Corona lakini wazee wetu wamekuwa wakikagua nyumba zao za mabilioni wanazo jengewa na pesa ya walipakodi lakini hakuna ushauri wowote wakiona serikali ina sua sua. Kweli kama nchi Mkapa amekuwa pengo kubwa sana
 
Viongozi wetu wazee wastaafu wamekuwa walagi wazuri sana wa kodi na kuishi kifalme lakini wamelegea sana kwenye ushauri.

Tanzania tuna janga ya magojwa na uchumi lakini ni Warioba tu ndiye anaweza kuongea kidogo bila woga. Madaktari wanakufa kwa kasi sana na kila mtu anajua tunadanganywa sana kwenye Corona lakini wazee wetu wamekuwa wakikagua nyumba zao za mabilioni wanazo jengewa na pesa ya walipakodi lakini hakuna ushauri wowote wakiona serikali ina sua sua. Kweli kama nchi Mkapa amekuwa pengo kubwa sana
Nini kifanyike Mkuu?? Huyo unaetaka ashauriwe, yeye ndiye anaetaka kuwashauri hao unaewataka wamshauri.
 
Back
Top Bottom