#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Mzee Ruksa hata hajielewi sasa hivi, Mkwele naye kama kaamua kumpotezea tu ngosha! Mamvi na yule wa Hanang tangu watoke na kurudi ccm wamekosa kujiamini kabisa! Na lijamaa lilisha waambia waache vihere here! Nchi imekuwa ya mtu mmoja hii!
Huyo wa Hanang aliporejea ccm aliambiwa na meko kuwa alikumbwa na mapepo ndipo akahamia Chadema na jamaa akaitikia kama zuzu hope this was because of compromat
 
Viongozi wetu wazee wastaafu wamekuwa walagi wazuri sana wa kodi na kuishi kifalme lakini wamelegea sana kwenye ushauri.

Tanzania tuna janga ya magojwa na uchumi lakini ni Warioba tu ndiye anaweza kuongea kidogo bila woga. Madaktari wanakufa kwa kasi sana na kila mtu anajua tunadanganywa sana kwenye Corona lakini wazee wetu wamekuwa wakikagua nyumba zao za mabilioni wanazo jengewa na pesa ya walipakodi lakini hakuna ushauri wowote wakiona serikali ina sua sua. Kweli kama nchi Mkapa amekuwa pengo kubwa sana
BWM ni mtu hatari sana, naona una makengeza. Huyu ambaye hata baba wa taifa alimwambia atauza magereza! Bado hatujasahau, BWM pamoja na mazuri yake aliuza viwanda vyote kwa bei ya peremende na akajichukulia mchuchuma.

Aliacha ATCL taabani na kuwapa SAA wakawa wabia whatever you call it, then akawapa hao hao SA's Tanesco, wacha kutukumbusha machungu.

Wacha JPM awanyooshe maana mlizoea vya kunyonga.

BTW talking about Warioba the useless PM ever. Prove me wrong by his achievements.
 
Mzee Ruksa hata hajielewi sasa hivi, Mkwele naye kama kaamua kumpotezea tu ngosha! Mamvi na yule wa Hanang tangu watoke na kurudi ccm wamekosa kujiamini kabisa! Na lijamaa lilisha waambia waache vihere here! Nchi imekuwa ya mtu mmoja hii!
Nani huyo anawaambia wenzake waache viherehere?
 
Pambania maisha yako mkuu huku kwingine kila mtu ana hofu na hatima yake.

Mnaambiwa mnawashwa washwa, muda wenu umekwisha acheni na mimi nifanye, mimi ndiye rais wa nchi hii!.
 
Na Wanafamilia wanaangaliwa vema.....mwingine Mama na Mtoto wapo Mjengoni, mwingine Kijana kashika hatamu kule Kisiwani...basi ni raha mustarehe watafute tena matatizo ya nini?

Mwingine Somebody Pinda kalamba shavu la unaibu waziri wa sheria.

Wataongea nini tena wastaafu.
 
Pambania maisha yako mkuu huku kwingine kila mtu ana hofu na hatima yake.

Mnaambiwa mnawashwa washwa, muda wenu umekwisha acheni na mimi nifanye, mimi ndiye rais wa nchi hii!.

Nikisema nimesemaaaaa.
 
Huyo wa Hanang aliporejea ccm aliambiwa na meko kuwa alikumbwa na mapepo ndipo akahamia Chadema na jamaa akaitikia kama zuzu hope this was because of compromat
Analinda yale mashamba ya Nafco aliyojimilikisha kule Mvero.
 
Viongozi wetu wazee wastaafu wamekuwa walagi wazuri sana wa kodi na kuishi kifalme lakini wamelegea sana kwenye ushauri.

Tanzania tuna janga ya magojwa na uchumi lakini ni Warioba tu ndiye anaweza kuongea kidogo bila woga. Madaktari wanakufa kwa kasi sana na kila mtu anajua tunadanganywa sana kwenye Corona lakini wazee wetu wamekuwa wakikagua nyumba zao za mabilioni wanazo jengewa na pesa ya walipakodi lakini hakuna ushauri wowote wakiona serikali ina sua sua. Kweli kama nchi Mkapa amekuwa pengo kubwa sana
Yeye uyo ndiye chanzo cha haya yote katuachia msala mzito sana
 
Watu wanakufa kila kuchwao na ina sikitisha Tanzania limekuwa ni Taifa la wasioweza kuhoji,

Kuna suala limetokea Jana Kibaha Kongowe ni hatari sana , watu sita wamekufa kwa sababu ya Corona mi familia ya Mr Gaudence, na nyingine ya Mzee John Chillo,

Watu wanakufa wanakufa wanakufa nasema wanakufa
 
nadhani unachanganya , Tanzania hakuna corona , kuna NIMONIA KALI tu , hili ni suala la hali ya hewa tu baada ya huu upepo upepo mbaya kupungua litakwisha

😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom