#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
club na bar zinafunguliwa au bado lockdown??huko corona mmeshaizoea
Clubs zinajiongeza kuwa restaurants.

Mwezi ujao nitafikisha mwaka mmoja wa kufanya kazi kutoka nyumbani na kuwa natoka nje mara moja moja sana.

Kiukweli mimi sioni tabu sana kuwa ndani, katika miaka 10 iliyopita, naona mitano nimefanyia kazi kutoka nyumbani.

Sipendi kujimix sana anyway.

Kuna dada mmoja nilikuwa namsikiliza kwenye BBC World Service. Alikuwa anasema kama Covid-19 itasaidia kupunguza watu waliokuwa wanampa hugs katika kusalimiana, atashukuru sana.

I kinda feel like I needed time to be home, watch movies, evqluqte my investment portfolio, reflect, read, not be all over the place shopping for the 600th shoe or some crazy shit like that I don't even need, etc.
 
Hivi ulimsikia naibu waziri wa afya alipokuwa anazungumza na watangazaji wa Wasafi Redio? Je alikuwa anaongea Siasa au sayansi ya tiba? Hoja zake zimesimama kisayansi na dunia inajifanya kuwa haijamsikia kumbe imekosa namna ya kujibu hoja zake!!
dunia haiwezi msikiliza naibu waziri wa afya.. atawaongezea nini?
dunia iache kusikilizaa taasisi kama CDC ambao wamekuwa wakifanya research miaka na miaka kukabiliana na magonjwa mbali mbali.
tena pure scientists ambao wanakaa lab kutafita sulubisho la magonjwa.
waje wamsikilize naib for what? ana kipi kipya cha kuiongezea dunia?
 
Tanzania ya sasa kuna mgawanyiko mkubwa sana kuhusiana na ugonjwa wa corona ,Tunaishi katika ulimwengu tofauti kutokana na mataishi na vitendo vyao . Nitaanza na orodha ya majina machache.

Kwa wakati wako unaweza endeleza list kwa kumbukumbu za baadae
Rais JP, Magufufuli , Tanzania hatuna corona . Tuombe na kukesha mungu atatuepusha na hili

Kassimu MAJALIWA -- Hakuna kuagiza barakoa toka nje

Dr - Mollel - Wanaotangaza idadi ya vifo kila siku ni wapumbavu-

Mwigulu Nchemba - Vaccine zao kwanza zimetengenezwa nchi za baridi
 
Usitutoe nje ya mstari, vita vya korona tumeshavishinda. Hivi sasa tunapigana vita dhidi ya barakoa. Tukishamalizana na barakoa, chanjo zikae mkao wa kula. Tutaanza vita vyao rasmi.
 
Tanzania ya sasa kuna mgawanyiko mkubwa sana kuhusiana na ugonjwa wa corona ,Tunaishi katika ulimwengu tofauti kutokana na mataishi na vitendo vyao . Nitaanza na orodha ya majina machache...
How come those whom you mentioned here are Partners in hypocrisy and sadism?
 
Serikali iache mbwembwe kwenye uhalisia wa afya ya wananchi. Corona au covid-19 haijawahi kwisha pamoja na kupigiwa sana chapuo,zaidi ni kuichochea kwa kuwajengea ujasiri wananchi kuwa ugonjwa huo umetokomezwa.

Kitendo cha kuzuia takwimu za Covid-19 cases ni zaidi ya maangamizi na mipango dhalimu ya kuwaangamiza wananchi. Ndugu zetu wanaumwa,wanakufa na tumejaa hofu lakini serikali haisemi.

Sikio kamwe haliitwi pua Covid itabaki hivyo,kuibadilisha jina bila kuwatahadhalisha Wananchi ni kutokomeza rasilimali watu ambayo ndiyo nguvu ya taifa.

Naiasa serikali isisubiri kusuurutishwa na shirika la Afya duniani WHO ndo itoe kauli za ujanja ujanja.

Mwanzoni mlitoa kauli ,sasa mnaogopa nini,nende mahospitalini mkaone wagonjwa wanavyo changanywa acha hao wanaogopa kwenda hospital.

Turudi kwenye maadili ili taifa lichukue tahadhari kuliko kuwananga wanao tahadharisha umuhimu wa kuvaa barakoa.
 
Serikali iache mbwembwe kwenye uhalisia wa afya ya wananchi. Corona au covid-19 haijawahi kwisha pamoja na kupigiwa sana chapuo,zaidi ni kuichochea kwa kuwajengea ujasiri wananchi kuwa ugonjwa huo umetokomezwa...
Aisee!
 
Nimejisajili siku nyingi nasubiri kuitwa tu.

Kabla ya hapo nacheza ndani kama mwali anasubiri ngoma ya kutoka.
Je, ni kweli chanjo braza unaiamini ,by the way pole sie kiboko msheli bado tunazurura hata bila barakoa huku magomeni
 
Je, ni kweli chanjo braza unaiamini ,by the way pole sie kiboko msheli bado tunazurura hata bila barakoa huku magomeni
Unanipa pole kwa sababu gani?

Mimi kabla ya Covid nishawahi kukaa muda mrefu nafanya kazi nyumbani na sitokinm sana. Nishaalikwa parties za UN kwenda kujichanganya nanl kina Kikwete, nikakataa.

Sasa nikifurahia kwamba kuna Covid-19 na watu hawawezi kunialika parties utanipa pole kwa sababu gani?

Kuhusu kuamini, sitaki kuamini, nataka kujua. By the time zamu yangu inapofika watu wengi vya kutosha watakuwa washachanjwa.

By the way, wewe unalima chakula chote unachokula? Unajua kilivyolimwa, kilivyomwagiliwa, dawa zilizotumika kukikuza etc?

Unayaamini madawa unayotumia? Maji unayokunywa? Sabuni unayoogea?

Watu wanavaa mpaka chupi za mtumba ambazo hawajui zina madhara gani, halafu wanajibaraguza kuogopa vaccines zikizofanyiwa peer review!
 
Clubs zinajiongeza kuwa restaurants.

Mwezi ujao nitafikisha mwaka mmoja wa kufanya kazi kutoka nyumbani na kuwa natoka nje mara moja moja sana.

Kiukweli mimi sioni tabu sana kuwa ndani, katika miaka 10 iliyopita, naona mitano nimefanyia kazi kutoka nyumbani.

Sipendi kujimix sana anyway.

Kuna dada mmoja nilikuwa namsikiliza kwenye BBC World Service. Alikuwa anasema kama Covid-19 itasaidia kupunguza watu waliokuwa wanampa hugs katika kusalimiana, atashukuru sana.

I kinda feel like I needed time to be home, watch movies, evqluqte my investment portfolio, reflect, read, not be all over the place shopping for the 600th shoe or some crazy shit like that I don't even need, etc.
stay safe mzee.sijajua kama marekani inaruhusu raia wa kigeni kuingia huko
 
stay safe mzee.sijajua kama marekani inaruhusu raia wa kigeni kuingia huko
Habari zote ziko online hapa COVID-19 and Your Health

Kuna permanent residents wanaruhusiwa, kuna nchi fulani chache (Chini, Iran, European Schengen Countries,UK, Republic of Ireland, Brazil, South Africa) kama si permanent resident wa US na umekuwa katika nchi hizo kndani ya siku 14 huruhusiwi kuingia US. So unaweza kwenda nchi nyingine, ukakaa siku 14, halafu ukaenda US.

Ila hata kama unatoka kwenye nchi inayoruhusiwa, kama Bongo,kimbembe kipo katika visa.Kumsomesha mtu wa Ubalozi uende US na pandemic hili inabidi uwe na sababu muhimu sana.
 
Back
Top Bottom