#COVID19 Serikali isiwaache Wananchi katika mataa kwenye suala la Corona
Ushindi mwingine Kwa JPM dhidi ya Corona itawafanya wengi Kwa mara nyingine kuwa wanakaa kimya mara Tu JPM akitamka Jambo hasa kwenye magonjwa ya mlipuko kama Corona

Mpaka huu Muda, kuna dalili ya ushindi mkubwa ukijionyesha tangu kuwepo tu maombi maalumu ya kuombea Taifa Ili kuondokana na Corona wimbi la maambukizi ya pili baada ya ile ya awali
 
Hii ni kuhusu covid-19 sio siasa mana mkiona tu habari za serikali mnafuta uzi.
Mwezi jana nilisafiri kuja uarabuni huku. Kabla ya kuondoka nilienda Maabara ya Taifa pale Mabibo nilipima covid na kukutwa negative.

Baada ya kuja huku nikapimwa tena nikaambiwa niko positive. Nilijiuliza maswali mengi sana. Ikabidi tuwekwe Quarantine for two weeks. Baadaye kidogo nikaletewa taarifa kuwa niko positive kwa south Africa mutant covid-19 virus. Kwa hiyo nikaongezewa two more weeks. Hio ni mwezi mzima sasa niko ndani ya gunia. Ikumbukwe kuwa hiki kirusi ni hatari zaidi na huenda down the road ndo kinatesa nchi kwa sasa.

Nimekuwa nikipigania uhai wangu for almost 4 weeks na bado sijatolewa.
My take. Watu wajikinge watakao salimika sawa watakao tangulia sawa. Haya yote tungekuwa na mamlaka zinazoamini sayansi na ziko responsive tusingefikia huku.
Asalam na siku njema.
 
Tutajuaje labda ulikipata ukiwa kwenye ndege, kwamba unataka kusema maabara yetu ni hamna kitu kabisa Yani?
 
Vipimo fake huko uarabuni, na South.
Wanataka kuaminisha dunia kuwa Tanzania tuna waathirika wengi wa covid.
Kama kufa kupo kupo tu hata isingekuwepo hiyo covid tungekufa tu.
 
Tutajuaje labda ulikipata ukiwa kwenye ndege, kwamba unataka kusema maabara yetu ni hamna kitu kabisa Yani?
mimi pia sielewi na ndo maswali najiuliza. Ila kwenye ndege chance ni ndogo sana trust me. Wanachukua precaution zote mhimu kuliko ukiwa huko TZ. Mungu atusaidie.
 
Itakuwa wanavipimo feki na wanatupiga Vita ya kiuchumi.
Sawa. Hizi mentality za kijinga zinaigharimu nchi. Mawazo yako hadi wasomi maprofessa na madaktari bingwa wanawaza kama wewe. Sasa wewe ni wa kukusamehe. Tuendelee kufa labda huko mbele tunaona mwangaza
 
mimi pia sielewi na ndo maswali najiuliza. Ila kwenye ndege chance ni ndogo sana trust me. Wanachukua precaution zote mhimu kuliko ukiwa huko TZ. Mungu atusaidie.

Sorry kama ulishalijibu hili swali...Vipi unaonyesha dalili zote za kodiv19 SA variant?
 
Sorry kama ulishalijibu hili swali...Vipi unaonyesha dalili zote za kodiv19 SA variant?
Definately mkuu ndo mana sample yangu na za wengine zikapelekwa for further investigation. Kuna Tanzanian Kibao hapa wana corona mtu mpumbavu pekee ataamini ni vita ya kiuchumi.
 
Sawa. Hizi mentality za kijinga zinaigharimu nchi. Mawazo yako hadi wasomi maprofessa na madaktari bingwa wanawaza kama wewe. Sasa wewe ni wa kukusamehe. Tuendelee kufa labda huko mbele tunaona mwangaza
Hii ni vita ndugu, shirika moja limetangaza kuingiza kiasi Cha tilion 41.6 kwa kuuza chanjo ya uviko hybrid 21.
 
Hii ni vita ndugu, shirika moja limetangaza kuingiza kiasi Cha tilion 41.6 kwa kuuza chanjo ya uviko hybrid 21.
Whatever the case kama kuingiza hela bado kuna makampuni mengi tu hata yanayozalisha dawa mseto wanapata hizo hela. Hata kama ni vita inatakiwa kupigana sio kupuuza.
 
Hofu ya chanjo za corona haipo Tanzania peke yake bali mpaka miongoni mwa madaktari kwenye nchi ambazo zimetengeneza chanjo hizo.Kutokana na hali hiyo ziko nchi zinatumia polisi kuwalazimisha watu kuchanjwa.

Miongoni mwa hofu hizo ni kuwa hizi chanjo hazijafanyiwa utafiti wa kutosha kama inavyokuwa kawaida kwa chanjo nyengine na kibaya zaidi zimetumia teknolojia mpya ya mrn kuingilia mfumo wa kijenetiki. Kuna wasiwai kuwa baada ya miaka michache wale waliochanjwa kwa ajili ya corona wakapata athari tofauti na makusudio na ikawa si rahisi kurejesha hali zao za awali.Baadhi ya aina za chanjo zaweza kuwaathiri wanawake na baadhi ya chanjo zikawaathiri wanaume.

Moja ya athari hizo yawezekana waliopata chanjo hizi wakapoteza uwezo wa kuzaana.Kwa wanaume kukosa nguvu na mbegu za uzazi na kwa wanawake kukauka mayai ya uzazi kupelekea kushingwa kubeba mimba.

Ikitokea hali hiyo ndipo wakati wale watu wa nchi zilizokataa kuwachanja watu wao kwa lazima watukuwa ni mali sana duniani.Tanzania ikiwa moja ya nchi hizo kunaweza kukawa na harakati kubwa ya wanaume wa Tanzania kusafirishwa kimagendo kwenda nchi za wazungu ili wakaoe idadi ya wake wanaowataka kwa ajili ya kuhuisha kizazi cha binadamu kwenye miji ambayo wanyama na wadudu watakuwa wameongezeka sana kutokana na kupungua kwa watu.

Kwanini itakuwa ni safari za kimagendo kwa sababu na Tanzania yenyewe itakuwa inawazuia raia zake wasiondoke.Kunaweza kukawa na taarifa za mabasi yaliyojaa vijana yakikamatwa mipakani kuelekea nchi jirani ambako ndege zitakuwa zinawasubiri vijana hao wakaozeshwe wanawali wa nchi hizo.
 
Hili bandiko ni moja ya masimulizi yanayopaswa kuwekwa katika kitabu cha KUSADIKIKA ll
 
Alisikika Nabii wa kizazi cha sasa kabla ya kuwavusha watu wake kuelekea nchi ya Ahadi. Wachanjane tu mimi chale nlizochanjwa kwa karumanzira zinanitosha.
 
Dunia ya utandawazi utasikia mengi ,si unasikia Tanzania tuna corona mbona tupo shwari,yaani kama ingekuwepo unakisia mamilioni ingelikuwa wameshapoteza maisha ,au unaonaje?

Angalia nchi zilivamiwa na korona unajua yametokea vifo vingapi ? Kwa maelfu.malaki na mamilioni na wanaziidi kupukutika ,Tanzania mnatuonaje ? Tupo tunapuyanga kwa raha kama zote,hamna hio wanaita covid19,...Jamani kama ingekuwepo hivi kwa namna tunavyokusanyika tokea siku ya kwanza walioitangaza hadi hii leo angebaki mtu ?

Mheshimiwa Magufuli waeleweshe waelewe hawa vichwa vya magugu pori.
 
Hofu ya chanjo za corona haipo Tanzania peke yake bali mpaka miongoni mwa madaktari kwenye nchi ambazo zimetengeneza chanjo hizo.Kutokana na hali hiyo ziko nchi zinatumia polisi kuwalazimisha watu kuchanjwa.

Miongoni mwa hofu hizo ni kuwa hizi chanjo hazijafanyiwa utafiti wa kutosha kama inavyokuwa kawaida kwa chanjo nyengine na kibaya zaidi zimetumia teknolojia mpya ya mrn kuingilia mfumo wa kijenetiki. Kuna wasiwai kuwa baada ya miaka michache wale waliochanjwa kwa ajili ya corona wakapata athari tofauti na makusudio na ikawa si rahisi kurejesha hali zao za awali.Baadhi ya aina za chanjo zaweza kuwaathiri wanawake na baadhi ya chanjo zikawaathiri wanaume.

Moja ya athari hizo yawezekana waliopata chanjo hizi wakapoteza uwezo wa kuzaana.Kwa wanaume kukosa nguvu na mbegu za uzazi na kwa wanawake kukauka mayai ya uzazi kupelekea kushingwa kubeba mimba.

Ikitokea hali hiyo ndipo wakati wale watu wa nchi zilizokataa kuwachanja watu wao kwa lazima watukuwa ni mali sana duniani.Tanzania ikiwa moja ya nchi hizo kunaweza kukawa na harakati kubwa ya wanaume wa Tanzania kusafirishwa kimagendo kwenda nchi za wazungu ili wakaoe idadi ya wake wanaowataka kwa ajili ya kuhuisha kizazi cha binadamu kwenye miji ambayo wanyama na wadudu watakuwa wameongezeka sana kutokana na kupungua kwa watu.

Kwanini itakuwa ni safari za kimagendo kwa sababu na Tanzania yenyewe itakuwa inawazuia raia zake wasiondoke.Kunaweza kukawa na taarifa za mabasi yaliyojaa vijana yakikamatwa mipakani kuelekea nchi jirani ambako ndege zitakuwa zinawasubiri vijana hao wakaozeshwe wanawali wa nchi hizo.
Kwani huko nje wanachanjwa wanaume peke yao, wanawake hawachanji?

Kama wanawake nao wanachanja basi kama hii chanjo ina athiri uzazi wao basi hata ukiwapelekea wanaume wenye "rutuba" haitosaidia kitu!
 
Back
Top Bottom