Yanaitwa maagizo kutoka juu. Wanaita hapana kuleta taharuki.Sisi kuna mzee wa jirani hapa, alifariki kwa Covid-19 baada ya kuugua siku tatu, ila cha ajabu kwenye cheti cha kifo RITA wameandika amekufa kwa stroke.
Hiiiiii bagosha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanaitwa maagizo kutoka juu. Wanaita hapana kuleta taharuki.Sisi kuna mzee wa jirani hapa, alifariki kwa Covid-19 baada ya kuugua siku tatu, ila cha ajabu kwenye cheti cha kifo RITA wameandika amekufa kwa stroke.
Magufuli anasema hakuna corona
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Akamwulize Mpango. Ya nini kuandikia mate?
Ukimuuliza hadharani anaweza hata kukuzaba kibao kwa hasira!! 😃😃😃Hana hamu na hao wadudu aisee. Inavyo onekana walimpania kweli kweli wakitaka kwenda nae kwa Baba Muumba!!Akamwulize Mpango. Ya nini kuandikia mate?
Unaifahami death rate ya Taifa na sababu zake.
Mkuu unataka kusema Moshi ndiyo reference ya vifo?...au kwa mtu asiyefahamu wait wanavyokufa and aka one Moshi?....kichwa cha habari kinaleta taharuki sana hapo...
Mkuu hayo ni maoni siyo factsKwamba taarifa za vifo zinaleta taharuki?
Si ndiyo haya hapa:
#COVID19 - Corona: Tuukatae upotoshaji huu tunapochukua tahadhari
Mabibi na mabwana na hasa mlio waungwana. Ufuatao ni upotoshaji wa wazi. Tuukatae upotoshaji huu tunapoendelea kuchukua tahadhari: 1. Taarifa sahihi kuhusiana na ugonjwa huu zinaleta taharuki. Ukweli ni kuwa taarifa sahihi zinatuweka katika hali muafaka ya kukabiliana na tatizo lililopo. 2...www.jamiiforums.com
Hiiiiii bagosha!
Mkuu hayo ni maoni siyo facts
Aise ni kweli wifi yangu aliniambia kule watu wanakufa sana, acha maiti zinazotoka mikoa mingine.Tuacheni utani huu ugonjwa mikoa mingine Kuna nafuu ukienda Moshi Kijiji kimoja kwa siku wanaweza wakafa watu mpaka watatu.pengine Ni kwa sababu ya muingiliano wa pale himo ila bado wengine wanatoka huko mikoa mbalimbali.imefikia mpaka wachaga wanaogopa kurudi nyumbani..acheni tu tufe maana si mlishasema ugonjwa hamna Sasa mnaona aibu kusema upo.
Aise ni kweli wifi yangu aliniambia kule watu wanakufa sana, acha maiti zinazotoka mikoa mingine.
Alisema sasa kila mtu anaogopa kwenda kuzika.
Hali siyo nzuri,
Watu wa moshi wana shida sana kiafya..mapombe wao..ulaji mbovu hasa nyama..visusio unategemea watabaki salama...wengi wao wana visukari unene ulio pitiliza..ombi langu watu wamoshi hata kama mnapata hela mjari pia na afya zenu..korona ipo.
#MaendeleoHayanaChama
Hapana sijasimama ila ukweli lazima usemwe risk factors zinaeleweka..na watu wa moshi wengi wao wamo katika hizo risk factors..wataarifu ndugu zako..tuendelee kuchukua tahadhariWaswahili wanasema: "Ajidhaniaye kasimama na ajiangalie asije akaanguka."
Kwa hiyo wewe mkuu umesimama wala huu ugonjwa hauwezi kukuta kwa maana kwa hela zako wewe unajali sana afya yako. Au siyo?
Au nasema uongo ndugu zangu?
Hapana sijasimama ila ukweli lazima usemwe risk factors zinaeleweka..na watu wa moshi wengi wao wamo katika hizo risk factors..wataarifu ndugu zako..tuendelee kuchukua tahadhari
#MaendeleoHayanaChama
Covid ina damage organs na hata ukipona huponi kabisa unakuwa mgonjwa maisha.Complication ya Covid ina kufanya update stroke ,liver cancer ,kidney cancer .Ndio maana ukiwa mgonjwa mgonjwa ,age 69-90 ,diebetic blood type A,B,AB be carefulSisi kuna mzee wa jirani hapa, alifariki kwa Covid-19 baada ya kuugua siku tatu, ila cha ajabu kwenye cheti cha kifo RITA wameandika amekufa kwa stroke.
Anachokisema ni cha kweli kiasi baa za mbege zimefungwa,hosipitali zimezidiwa maiti na unashauriwa kama hauna lazima usiende Moshi.Una uhakika mkuu ndege John au unaskiliza hadithi tu za watu maskani ?
Unaifahamu death rate ya Taifa na sababu zake.
Mkuu unataka kusema Moshi ndiyo reference ya vifo?...au kwa mtu asiyefahamu wait wanavyokufa and aka one Moshi?....kichwa cha habari kinaleta taharuki sana hapo...
Kaa Bagamoyo road, hasa Bunju... kakae Dumila ... Kakae Mikumi uone Coaster zinavyopita na miili kwenda kuzikwa makwao...Una uhakika mkuu ndege John au unaskiliza hadithi tu za watu maskani ?