Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu hawaogopi kufa,wanaogopa kuumwa bila kujitetea.Watu wanaogopa corona kuliko kifo.
Mkuu unafahamu unapotoa strong statement kinachofuata ni nini au unatoa maoni yako tu?Kuna watu mna urasimu wa 'standard gauge', na usio wa lazima.
Hizo data unaamrisha na kuzitaka wewe kama chombo gani na ili iweje?....
Stroke ndo uhua harakaWe kweli kiazi, mtu anaeugua ghafla na kuonesha dalili kupata maumivu ya kifua/kukohoa/kichwa kuumwa sana/koo kuuma na kushindwa kupumua mpaka kwa Oxygen. Lazima uwe daktari kujua kwamba hio ni Covid-19 au Stroke?
Ni kwa sababu ya mambo ya siasa ndo mana huku mitandaoni tunaona Corona ipo Kilimanjaro na Arusha tu.Tuacheni utani huu ugonjwa mikoa mingine Kuna nafuu ukienda Moshi Kijiji kimoja kwa siku wanaweza wakafa watu mpaka watatu.pengine Ni kwa sababu ya muingiliano wa pale himo ila bado wengine wanatoka huko mikoa mbalimbali.imefikia mpaka wachaga wanaogopa kurudi nyumbani..acheni tu tufe maana si mlishasema ugonjwa hamna Sasa mnaona aibu kusema upo.
Mbona unapost kama umetoka kufumaniwa mkuu kwa nini usitulie sehem 1 upost na kuleya ushahidi wa pichaTuacheni utani huu ugonjwa mikoa mingine Kuna nafuu ukienda Moshi Kijiji kimoja kwa siku wanaweza wakafa watu mpaka watatu.pengine Ni kwa sababu ya muingiliano wa pale himo ila bado wengine wanatoka huko mikoa mbalimbali.imefikia mpaka wachaga wanaogopa kurudi nyumbani..acheni tu tufe maana si mlishasema ugonjwa hamna Sasa mnaona aibu kusema upo.
Daah basi taifa tupo kwenye hatariAnachokisema ni cha kweli kiasi baa za mbege zimefungwa,hosipitali zimezidiwa maiti na unashauriwa kama hauna lazima usiende Moshi.
Mkuu hali imezidi kuwa mbaya sana?Kaa Bagamoyo road, hasa Bunju... kakae Dumila ... Kakae Mikumi uone Coaster zinavyopita na mbili kwenye kuzikwa makwao...
Ni mbaya mkuu... nilikuwa natoka kwenye msiba wa changamoto za kupumua kule Kiharaka mbele ya Bunju, wakati wa kurudi nikakutana na Costa kama sita hivi njiani zikiwa na miili inasafirishwa kwa ajili ya mazikoMkuu hali imezidi kuwa mbaya sana?
Picha za waliokufa? Be serious kidogo.Mbona unapost kama umetoka kufumaniwa mkuu kwa nini usitulie sehem 1 upost na kuleya ushahidi wa picha
Wewe unaonaje ni ya taasisi?Mkuu unafahamu unapotoa strong statement kinachofuata ni nini au unatoa maoni yako tu?
Kumechangamka tena? 😆Watu wa moshi ni lazima kuzikwa nyumbani ndo maana unaona kumechangamka
Unaelewa unachokiandika lakini?Wewe unaonaje ni ya taasisi?
Ni mbaya mkuu... nilikuwa natoka kwenye msiba wa changamoto za kupumua kule Kiharaka mbele ya Bunju, wakati wa kurudi nikakutana na Costa kama sita hivi njiani zikiwa na miili inasafirishwa kwa ajili ya maziko
Wewe unaonaje?Unaelewa unachokiandika lakini?