Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za Kimaskini hizi....nyie ndo ukimwona jirani yako anapata maendeleo unamwita FRIMASONI...UJINGA HUZAA UCHAWINashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kina tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za mataifa ya magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, serikali iwe makini.
Huyo lofa tu...akikukuta baa unakunywa bia yako anakutolea jicho kama hela huwa unatoa kwake....Wewe ni mchawi hutaki maendeleo ya vyama vingine unamawazo ya kijamaa wakati tupo kwenye ubepari
usiite majizi yakura mwizi anaweza akabakiza Hawa Waite wakwapuaji mkwapuaji habakizi anavoenda kugundua ndani mnamavi ndo anashituka ,daaaaa kimeo Hiki au imekula kwanguPesa kutoka nje mpaka serikali wanapewa, na wanapewa na hao hao wazungu. Au hizo pesa wakipewa majizi ya kura ni sawa, ila wakipewa wapinzani ndio tatizo? Kaa kwa kutulia maana michango inamwagika kila kona ya dunia. Kama kuna cha maana wazungu wanakitamani hapa nchini, mbona ccm hawakitumii kumaliza umasikini hapa nchini?
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Anazopewa Hangaya na Wazungu huwa anatakatisha nini ?Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Ukiitwa Mchawi wa mchana kweupe utabisha???Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.