Serikali iwe makini, join the chain inaweza kuwa mkakati wa kutakatisha fedha chafu na kuziingiza katika mfumo rasmi

Serikali iwe makini, join the chain inaweza kuwa mkakati wa kutakatisha fedha chafu na kuziingiza katika mfumo rasmi

Unaogopa eeeh?
Jiandae soon mwanaume anarudi kumkimbiza bi Chau. Jiwe na propaganda zote alikwama akaamua kutumia risasi,sijui kama mama yenu ataweza mziki huu.
 
Lijitu linaingia bar na kutowa MIMACHO halinywi chocho kazi kuwakodolea mimacho ya wivu watu wanavyo kunwa LAGA..likitoka hapo ni kusema watu huko kwenye vijiwe vya kahawa...
 
Watu wanachangia fedha kwa kificho, majina yao hayajulikani, lazima iwepo duty to disclose, huwezi kuongoza chama kinachotarajia kuchukua dola halafu unachangiwa na Al Shaabab, Al Qaeda, majambazi SUGU yaliyoiba benki, magaidi. Sheria ilazimishe disclosure kabla ya ku-release funds
 
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Tatizo la nchi hii, kuna mijitu ina roho za kutu.

Kama sio uzandiki weka wazi taasisi iliyompa pesa, bank aliyowekewa na kikao chao
 
Watu wanachangia fedha kwa kificho, majina yao hayajulikani, lazima iwepo duty to disclose, huwezi kuongoza chama kinachotarajia kuchukua dola halafu unachangiwa na Al Shaabab, Al Qaeda, majambazi SUGU yaliyoiba benki, magaidi. Sheria ilazimishe disclosure kabla ya ku-release funds
Akili ya kisoda...
 
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Acha mawazo ya kipumbavu bwege wewe, ina maana pesa hizo hizo akipewa Samia na wazungu zinakuwa safi lakini wakipewa watanzania wengine zinakuwa chafu. Kuna watu wengine mmejàa uchafu na ugiligili kwenye medula oblangata zenu.
 
Acha mawazo ya kipumbavu bwege wewe, ina maana pesa hizo hizo akipewa Samia na wazungu zinakuwa safi lakini wakipewa watanzania wengine zinakuwa chafu. Kuna watu wengine mmejàa uchafu na ugiligili kwenye medula oblangata zenu.
Tutaelewana tu, ngoja tuonyeshane makali
 
Acha mawazo ya kipumbavu bwege wewe, ina maana pesa hizo hizo akipewa Samia na wazungu zinakuwa safi lakini wakipewa watanzania wengine zinakuwa chafu. Kuna watu wengine mmejàa uchafu na ugiligili kwenye medula oblangata zenu.
Tutaelewana tu,ngoja tuonyeshane makali
 
Watu wanachangia fedha kwa kificho, majina yao hayajulikani, lazima iwepo duty to disclose, huwezi kuongoza chama kinachotarajia kuchukua dola halafu unachangiwa na Al Shaabab, Al Qaeda, majambazi SUGU yaliyoiba benki, magaidi. Sheria ilazimishe disclosure kabla ya ku-release funds
Tanzania tuko nyuma sana kwa sababu ya ujinga kama huu. Wewe ulistahili kuishi karne ya 14 au 15, maana una mawazo yaliyopitwa na wakati kwa kiwango cha miaka 500 na zaidi.
Utaumia roho mpaka unaingia kaburini.
 
H
Tanzania tuko nyuma sana kwa sababu ya ujinga kama huu. Wewe ulistahili kuishi karne ya 14 au 15, maana una mawazo yaliyopitwa na wakati kwa kiwango cha miaka 500 na zaidi.
Utaumia roho mpaka unaingia kaburini.
Hizo Hela hamtazitoa benki, Wala mpesa ...na mkizitoa service provider atakesha akijibu maswali Financial Intelligence Unit, mpaka miyatambulishe hayo majitu yanayoficha identity huku yanawachangia
 
H

Hizo Hela hamtazitoa benki, Wala mpesa ...na mkizitoa service provider atakesha akijibu maswali Financial Intelligence Unit, mpaka miyatambulishe hayo majitu yanayoficha identity huku yanawachangia
Kuna laana nyingine mtu anaweza kujichumia mwenyewe bila kujua. Unaweza kuwa unahaso sana michongo haiendi kumbe tatizo ni hili. Yaani mtu unaumia roho watu kuchangishana? Figisu figisu za namna hii hazitakusaidia chochote zaidi zitakuharibia bure! Trust me bro!!!!
 
H

Hizo Hela hamtazitoa benki, Wala mpesa ...na mkizitoa service provider atakesha akijibu maswali Financial Intelligence Unit, mpaka miyatambulishe hayo majitu yanayoficha identity huku yanawachangia
Akili mgando.

Utamaliza mtama kunguru hawi njiwa.
JamiiForums1999776609_240x320.jpg
 
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Roho mbaya haijengi, na nia njema hairogwi
 
Pesa kutoka nje mpaka serikali wanapewa, na wanapewa na hao hao wazungu. Au hizo pesa wakipewa majizi ya kura ni sawa, ila wakipewa wapinzani ndio tatizo? Kaa kwa kutulia maana michango inamwagika kila kona ya dunia. Kama kuna cha maana wazungu wanakitamani hapa nchini, mbona ccm hawakitumii kumaliza umasikini hapa nchini?
Uzi uliishia hapa. Mi ni mtanzania. Nitailinda Tanzania.
 
Back
Top Bottom