Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo la nchi hii, kuna mijitu ina roho za kutu.Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Akili ya kisoda...Watu wanachangia fedha kwa kificho, majina yao hayajulikani, lazima iwepo duty to disclose, huwezi kuongoza chama kinachotarajia kuchukua dola halafu unachangiwa na Al Shaabab, Al Qaeda, majambazi SUGU yaliyoiba benki, magaidi. Sheria ilazimishe disclosure kabla ya ku-release funds
Acha mawazo ya kipumbavu bwege wewe, ina maana pesa hizo hizo akipewa Samia na wazungu zinakuwa safi lakini wakipewa watanzania wengine zinakuwa chafu. Kuna watu wengine mmejàa uchafu na ugiligili kwenye medula oblangata zenu.Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Tutaelewana tu, ngoja tuonyeshane makaliAcha mawazo ya kipumbavu bwege wewe, ina maana pesa hizo hizo akipewa Samia na wazungu zinakuwa safi lakini wakipewa watanzania wengine zinakuwa chafu. Kuna watu wengine mmejàa uchafu na ugiligili kwenye medula oblangata zenu.
Tutaelewana tu,ngoja tuonyeshane makaliAcha mawazo ya kipumbavu bwege wewe, ina maana pesa hizo hizo akipewa Samia na wazungu zinakuwa safi lakini wakipewa watanzania wengine zinakuwa chafu. Kuna watu wengine mmejàa uchafu na ugiligili kwenye medula oblangata zenu.
Makali gan wewe utopolo mshenzi mkubwaTutaelewana tu, ngoja tuonyeshane makali
Tanzania tuko nyuma sana kwa sababu ya ujinga kama huu. Wewe ulistahili kuishi karne ya 14 au 15, maana una mawazo yaliyopitwa na wakati kwa kiwango cha miaka 500 na zaidi.Watu wanachangia fedha kwa kificho, majina yao hayajulikani, lazima iwepo duty to disclose, huwezi kuongoza chama kinachotarajia kuchukua dola halafu unachangiwa na Al Shaabab, Al Qaeda, majambazi SUGU yaliyoiba benki, magaidi. Sheria ilazimishe disclosure kabla ya ku-release funds
Hizo Hela hamtazitoa benki, Wala mpesa ...na mkizitoa service provider atakesha akijibu maswali Financial Intelligence Unit, mpaka miyatambulishe hayo majitu yanayoficha identity huku yanawachangiaTanzania tuko nyuma sana kwa sababu ya ujinga kama huu. Wewe ulistahili kuishi karne ya 14 au 15, maana una mawazo yaliyopitwa na wakati kwa kiwango cha miaka 500 na zaidi.
Utaumia roho mpaka unaingia kaburini.
Kuna laana nyingine mtu anaweza kujichumia mwenyewe bila kujua. Unaweza kuwa unahaso sana michongo haiendi kumbe tatizo ni hili. Yaani mtu unaumia roho watu kuchangishana? Figisu figisu za namna hii hazitakusaidia chochote zaidi zitakuharibia bure! Trust me bro!!!!H
Hizo Hela hamtazitoa benki, Wala mpesa ...na mkizitoa service provider atakesha akijibu maswali Financial Intelligence Unit, mpaka miyatambulishe hayo majitu yanayoficha identity huku yanawachangia
Akili mgando.H
Hizo Hela hamtazitoa benki, Wala mpesa ...na mkizitoa service provider atakesha akijibu maswali Financial Intelligence Unit, mpaka miyatambulishe hayo majitu yanayoficha identity huku yanawachangia
Roho mbaya haijengi, na nia njema hairogwiNashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Uzi uliishia hapa. Mi ni mtanzania. Nitailinda Tanzania.Pesa kutoka nje mpaka serikali wanapewa, na wanapewa na hao hao wazungu. Au hizo pesa wakipewa majizi ya kura ni sawa, ila wakipewa wapinzani ndio tatizo? Kaa kwa kutulia maana michango inamwagika kila kona ya dunia. Kama kuna cha maana wazungu wanakitamani hapa nchini, mbona ccm hawakitumii kumaliza umasikini hapa nchini?
Mie nshalipia elfu 12 na elfu 3 za kutolea ili nimalizane na Chama langu kwa mwaka mzima!Changia hela mkuu, achana na roho ya kimaskini.