Serikali iwe makini, join the chain inaweza kuwa mkakati wa kutakatisha fedha chafu na kuziingiza katika mfumo rasmi

Sio figusi mkuu, haya mambo yanagusa mustakabali wa nchi
 
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Walikuwa wana maana sana kukutoa hicho chinembe sababu ulizaliwa huna akili!!
 
Join the chain acha majungu zuzu la lumumba wewe
 
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Propaganda zetnu hizo.

Mbona CCM wanajengewa mpaka vyuo na Wachina .....!!
 
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Kwa hiyo unaleta mashtaka hapa Jf? Kwani Jf ndio mahalama? Nyambafu yako
 
Kwa hiyo unaleta mashtaka hapa Jf? Kwani Jf ndio mahalama? Nyambafu yako
Hapa tunapuliza filimbi mkuu (whistle blower)mbona unakuwa kama hujakatwa
 
Nashauri sheria iundwe kudhibiti michango isiyo na kichwa na miguu. Kuna tetesi kwamba mwanasiasa mmoja amepewa mabilioni na taasisi za kijasusi za Mataifa ya Magharibi na anatafuta njia ya kuzipenyeza nchini, Serikali iwe makini.
Kaka ebu kuwa wazi fedha ndo chafuu au hujapenda ao waliokuja na ilo wazoo vipi kama wangekuwa watu wengine ndo wamekuja na iyo idea fedha zingekuwa safiii sio
 
Wewe ni mchawi hutaki maendeleo ya vyama vingine unamawazo ya kijamaa wakati tupo kwenye ubepari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…