Serikali iwe Makini Kabla TLS Haijajigeuza Kuwa ‘Chama cha Siasa kali’

Hayati mzee Karume(rip) alipata kuulizwa juu ya ni kwanini baraza lake la MAWAZIRI halina wasomi wengi wenye elimu KUBWA ,alijibu kwa kifupi hivi ;

"MWAFRIKA ANAVYOZIDI KUSOMA ANAZIDI KUWA MPU.....VU"

Ukitafakari sana inashangaza kauli hiyo ila mimi niliambulia kitu pale kuwa KUSOMA NI KUWA NA BUSARA....NA BUSARA HUKUPA UTII"

#Nchi Kwanza[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
[emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Blah blah blah, kauli za tls hazijataja chama, hazijataja dini, au hazijadili kuandamana na kuvunja amani, wanataka sheria za nchi zimamiwe
Wao ni wanasheria wameelezea namna ambavyo kilichofanyika kisheria hakipo,
Wahusika wafuate sheria sio kujiamulia
 
Matumaini ya KULAZIMISHA kwa kuiba KURA za WANANCHI?!
CCM huchaguliwa na wananchi kwa hiyari yao na kwa upendo wao kwa CCM.kunako tokana na kuwa na sera na ajenda nzuri zinazogusa maisha ya mamilioni ya watanzania
 
Kipi ambacho hakijafuata sheria
 
HIVI ILI IWE RAIS WA TLS, MIONGONI MWA KIGEZO CHAO CHA KUWA RAIS NI LAZIMA UWE MWEHU MWEHU AU AKILI ZAKO ZIWE FYATU FYATU KIDOGO KAMA VILE TUNDU LISU,FATMA KARUME NA MWABUKUSI?
 
Njama za kuifanya TLS iwe moja ya Jumuiya za CCM kama UWT zimegonga Mwamba.

Safi sana Mwabukusi✊️✊️😂
Wanaweza kumpindua Mwabukusi, sina imani kama atamaliza miaka mitatu akiendelea hivi.
 
Tutusa kweli kweli wewe ina maana Serikali haijitambui hadi wewe uiambie.
 

Attachments

  • IMG_2941.jpg
    20.1 KB · Views: 1
Wanaweza kumpindua Mwabukusi, sina imani kama atamaliza miaka mitatu akiendelea hivi.
Atajipindua Mwenyewe kwa ujinga wake wa kutaka kukigeuza chama cha kitaaluma Kuwa chama cha siasa kali.
 
MLAMBA MAKALIO.
 
Sasa hivi TLS inafanana na HAMAS au Muslim Brotherhood/Jamaa Islamiya,
 
Wanaweza kumpindua Mwabukusi, sina imani kama atamaliza miaka mitatu akiendelea hivi.
Hata wakimpindua Mwabukusi akigombania Ubunge lazima aingie Mjengoni na huko ndio PATAMU😆😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…