Serikali iwe Makini Kabla TLS Haijajigeuza Kuwa ‘Chama cha Siasa kali’

Lucas, wewe ndiye utakisilimisha, acha ujinga kwa ajili ya malipo.
 

KWELI KUNA MEMBER MMOJA ANASEMA WEWE UNAWASAFISHA MAKALIO WATU KWA KUYALAMBA NIMEAMINI.HATA UKIPIGA MSWAKI UTABAKIWA NA SOME PARTICLES. HALAFU MBAYA UNATUMIKA TU.
 
Hata wakimpindua Mwabukusi akigombania Ubunge lazima aingie Mjengoni na huko ndio PATAMU😆😂
Unafikiri bungeni ni uwanja wa mazoezi kwamba kila mtu anaingia tu kufanya mazoezi? Nani mwenye akili Timamu anayeweza kumpigia kura ya ndio mwabukusi?
 
Hujawahi kuwa na akili ndiyo maana hata hao unaojitahidi kuwa impress wanakuona wewe boya tu. Wanakudharau saaaaana.
Hivi na wewe unaweza kutambua mtu mwenye akili na asiye na akili? Kwani umepona tayari?😃😃😃
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…