Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #121
Unafikiri ni kwanini alidondokea pua alipojaribu kutia nia ya kuingia Bungeni?Wewe na Uzezeta wako ndio unaowapangia Watanzania kuingia Bungeni?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafikiri ni kwanini alidondokea pua alipojaribu kutia nia ya kuingia Bungeni?Wewe na Uzezeta wako ndio unaowapangia Watanzania kuingia Bungeni?!
Huko inbox jadili na watoto wenzako.Hahaha unujikwe wewe au ? Nimekuambia come to inbox buddah
Atajitoa Mwenyewe tu .maana mpaka sasa ameshatoka kwenye reli na kubakia anapuyanga tuHii ndiyo TLS tunayoitaka. Fanyeni mpanga Mwabukusi atoke pale la sivyo tabu mtaipata nyie wanyonya haki za watu
Hiyo Stori ya zamani, sasa hivi Mwabukusi ni Moto wa kuotea mbali ndio maana Mazezeta ya CCM hamupati usingizi 😆😁Unafikiri ni kwanini alidondokea pua alipojaribu kutia nia ya kuingia Bungeni?
Labda mjengo wa magereza. Jibu swali nililokuuliza na siyo kuruka ruka tu hapaView attachment 3075678
Soon Mjengoni✊️✊️
Zamani lini?Hiyo Stori ya zamani, sasa hivi Mwabukusi ni Moto wa kuotea mbali ndio maana Mazezeta ya CCM hamupati usingizi 😆😁
Swali gani hilo la kijinga, kwahiyo unatishia MAGEREZA ambayo hata MANDELA alipitia huo UZEZETA😁Labda mjengo wa magereza. Jibu swali nililokuuliza na siyo kuruka ruka tu hapa
😂 masikinHuko inbox jadili na watoto wenzako.
Nimekuuliza unafikiri ni kwanini mwabukusi alitupwa jalalani alipotaka kutia pua kuomba ubunge?Swali gani hilo la kijinga, kwahiyo unatishia MAGEREZA ambayo hata MANDELA alipitia huo UZEZETA😁
Wewe chawa hufiki hata 1% ya uwezo wa kufikiri wa Mwabukusi wewe una uwezo wa kuandika mapambio tu ndiyo maana unadharaulika tu humuAtajitoa Mwenyewe tu .maana mpaka sasa ameshatoka kwenye reli na kubakia anapuyanga tu
Utaanzaje kunifananisha mimi na huyo mtu ambaye kazi yake ni kuropoka tu na mihemuko?Wewe chawa hufiki hata 1% ya uwezo wa kufikiri wa Mwabukusi wewe una uwezo wa kuandika mapambio tu ndiyo maana unadharaulika tu humu
Sio mlamba Makalio kama wewe.Nimekuuliza unafikiri ni kwanini mwabukusi alitupwa jalalani alipotaka kutia pua kuomba ubunge?
Umeshindwa hoja umeanza maneno yako ya shombo.Sio mlamba Makalio kama wewe.
Hoja gani?!Umeshindwa hoja umeanza maneno yako ya shombo.
Lucas Mwashambwa hapa jukwaani unachukuliwa kama zombie tu,na laiti ungekuwa na akili ungebadilisha hata uwasilishaji wako wa mada lakini hutaki kujifunza unajigamba kuwa unatoa madini.Utaanzaje kunifananisha mimi na huyo mtu ambaye kazi yake ni kuropoka tu na mihemuko?
Kwa hiyo wewe unataka ulinganishe akili yangu na hiyo yako kisoda?Lucas Mwashambwa hapa jukwaani unachukuliwa kama zombie tu,na laiti ungekuwa na akili ungebadilisha hata uwasilishaji wako wa mada lakini hutaki kujifunza unajigamba kuwa unatoa madini.
Wewe una usaha kwenye hilo fuvu lako badala ya ubongo.Kwa hiyo wewe unataka ulinganishe akili yangu na hiyo yako kisoda?