Serikali kuahirisha Mechi ya Simba na Yanga ili kuwalazimisha wananchi wafuatilie tukio la Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Mwinyi ni kitendo cha aibu

Tabu ni kwa mashabiki waliosafiri toka mbali kama Morogoro na Tanga ambao walitaraji kugeuza mapema baada ya mechi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani anatokea mtu mmoja kwa sababu ana madaraka tu anaagiza ratiba ya tukio kubwa kama hili liahirishwe, bila kujali maelfu ya wananchi ambao wako uwanjani, Hiki ni kiburi cha madaraka!

Wanadhani kila mtu anahitaji sana kusikiliza hizo hekaya za huyo mzee aliyekuwa anataka Magufuli aongezewe muda wa kukaa madarakani.
 
Aisee. Inabidi hapa mtaani kwetu tuendelee tu kuvumilia kelele zao za vuvuzela....
 

kiukweli walichofanya ni u***
 
Aisee. Inabidi hapa mtaani kwetu tuendelee tu kuvumilia kelele zao za vuvuzela....
Hii game sidhani kama itachezwa tena, psychollogy za wachezaji na viongozi zimeshavurugika, hao wapiga kelele wataondoka muda sio mrefu, Yanga wameshaanza kuondoka uwanjani.
 
TFF HAO wakaidi wakitoa timu uwanjani wapigwe faini.
mpira ule ule tofauti masaa Tu.
 
Hii game sidhani kama itachezwa tena, psychollogy za wachezaji na viongozi zimeshavurugika, hao wapiga kelele wataondoka muda sio mrefu, Yanga wameshaanza kuondoka uwanjani.
Hatakama ikichezwa haitakuwa na amsha amsha yeyote
 
HAO walioziweka hizo kanuni ndo wamezivunja SHIDA ipo wapi?.
wewe fuata maelekezo.
Polisi trafiki wameweka Sheria barabarani lakini WAO NDO WA KWANZA KUZIVUNJA.
mpira NI SAA 1 USIKU
Kanuni za ligi lazima ziheshimiwe, siyo kuendesha ligi kama ndondo cup
 
Serikali inatakiwa iwe makini sana, hao wanaowaita wanyonge usiwaguse kuhusu yanga na simba wataandamana hadi vijijini zingua vyote lakin sio simba na yanga
 

Mkuu wewe ni mtu mzima acha uzushi-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…