Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Sasa uzwazwa ni upi hapo?
Usikurupuke tu kuandika upumbavu.
Bavicha acheni nongwa!
Kijana usitake tuanze kuuziana kesi.Mtt yake nep ukikua utaelewa tu
Mechi iliahirishwa sababu ya vurugu za mashabiki na ikapangiwa siku nyingine kwa ajili ya usalama. Sasa Mwinyi kuzindua kitabu Kuna hatari gani kwenye mechi?hata hiyo unayoipenda majuzi imeahirishwa mechi ya MU na Liverpool
Hayo ndiyo matokeo ya kuchanganya siasa na Mpira,Unajua kuna wakati unaweza ukajiuliza hivi tuna viongozi wa serikali wa namna gani.
Inafahamika wazi kuwa ratiba ya Ligi inapangwa muda mrefu na bila shaka kwa kuzingatia matukio mbalimbali makubwa ya Kitaifa na kwa kanuni za Ligi
Sasa inashangaza Leo, mchezo ukiwa umebakisha masaa mawili tu, Serikali inaiagiza TFF kubadili ratiba ya mchezo huu wakati kukiwa na maelfu ya wananchi Uwanjani. Hili ni kosa, Serikali imewakosea sana wananchi.
Kwanza ni lini serikali ikawa na mamlaka ya kupanga ratiba za ligi?
Pili, Serikali inataka Kuwachonganisha wananchi na Mzee wetu mzee Mwinyi, Mtu asiyependa makuu, Kwa nini mlifanye tukio lake kuwa ni adha kwa wengine?—Je mzee Mwinyi ndiye aliyewatuma kubadili ratiba ya mambo mengine ya kijamii kwa ajili yake binafsi?
Huu utaratibu wa kufanya mambo kwa zimamoto zimamoto ni dalili za serikali dhaifu, isiyojiamini inayokurupuka!
Tunataka yeyote aliyehusika kubadili ratiba hii ya mchezo, ambayo wananchi walishawekeza akili zao na muda wao achukuliwe hatua mara moja! . Hatuwezi kuvumilia mikurupuko kama hii.
Na isitokee mkasingizia kuhusu Mfungo wa Ramadhani, Suala la ramadhani lilishajulikana toka mfungo ulipoanza kwa hiyo msisingizie eti kuwapa Waislamu muda mzyri wa kufuturu, Kwanza hata huo muda wa saa moja jioni Waislamu watakuwa bado wanafuturu kwa hiyo Msituletee hoja hii!
Tunataka serikali isifanye mambo kwa sababu yenyewe ina uwezo wa kutoa amri basi lazima itekelezwe, serikali lazima iheshimu timetable za wananchi.
Nimekereka sana na uamuzi huu wa Serikali kuingilia ratiba za Mpira, Ni mambo ya ajabuajabu kabisa haya!
Mbona unamsingizia Mwinyi kweli ndiyo sababu ya kusogezwa mbele kwa huo mchezo? ONA AIBUMechi iliahirishwa sababu ya vurugu za mashabiki na ikapangiwa siku nyingine kwa ajili ya usalama. Sasa Mwinyi kuzindua kitabu Kuna hatari gani kwenye mechi?
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Jinga wewe, uko wapi koromije?Mbona unamsingizia Mwinyi kweli ndiyo sababu ya kusogezwa mbele kwa huo mchezo? ONA AIBU
Kasoro kubwa...ila mie sishangai Mama kaanza kuonyesha uhalisia wa aili yake ....maamuzi ya kiswahiliUnajua kuna wakati unaweza ukajiuliza hivi tuna viongozi wa serikali wa namna gani.
Inafahamika wazi kuwa ratiba ya Ligi inapangwa muda mrefu na bila shaka kwa kuzingatia matukio mbalimbali makubwa ya Kitaifa na kwa kanuni za Ligi
Sasa inashangaza Leo, mchezo ukiwa umebakisha masaa mawili tu, Serikali inaiagiza TFF kubadili ratiba ya mchezo huu wakati kukiwa na maelfu ya wananchi Uwanjani. Hili ni kosa, Serikali imewakosea sana wananchi.
Kwanza ni lini serikali ikawa na mamlaka ya kupanga ratiba za ligi?
Pili, Serikali inataka Kuwachonganisha wananchi na Mzee wetu mzee Mwinyi, Mtu asiyependa makuu, Kwa nini mlifanye tukio lake kuwa ni adha kwa wengine?—Je mzee Mwinyi ndiye aliyewatuma kubadili ratiba ya mambo mengine ya kijamii kwa ajili yake binafsi?
Huu utaratibu wa kufanya mambo kwa zimamoto zimamoto ni dalili za serikali dhaifu, isiyojiamini inayokurupuka!
Tunataka yeyote aliyehusika kubadili ratiba hii ya mchezo, ambayo wananchi walishawekeza akili zao na muda wao achukuliwe hatua mara moja! . Hatuwezi kuvumilia mikurupuko kama hii.
Na isitokee mkasingizia kuhusu Mfungo wa Ramadhani, Suala la ramadhani lilishajulikana toka mfungo ulipoanza kwa hiyo msisingizie eti kuwapa Waislamu muda mzyri wa kufuturu, Kwanza hata huo muda wa saa moja jioni Waislamu watakuwa bado wanafuturu kwa hiyo Msituletee hoja hii!
Tunataka serikali isifanye mambo kwa sababu yenyewe ina uwezo wa kutoa amri basi lazima itekelezwe, serikali lazima iheshimu timetable za wananchi.
Nimekereka sana na uamuzi huu wa Serikali kuingilia ratiba za Mpira, Ni mambo ya ajabuajabu kabisa haya!
Naona unawashwa Tigo peleka kwa MATAGA wenzio mimi situmii mzoga kama weweBwana ako akikutekenya inakutosha shosti
Naona unawashwa Tigo peleka kwa MATAGA wenzio mimi situmii mzoga kama wewe
Peleka hicho kinyeo chako kwa MATAGA wenzio mimi sitaki shobo dundo za kijingakumbe unawashwa
Wacha upunguani .Kwanini unatukana kwenye kitu kisichotakiwa utukane. Kuwa na acha usela mavi.
Peleka hicho kinyeo chako kwa MATAGA wenzio mimi sitaki shobo dundo za kijinga
Hapa tusimlaumu Jiwe!
Haya ni makosa ya serikali ya Samia Full stop!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada yake Kayafa ana laana za kaka yake.
Haya mambo ya kuvunja sheria yalianzia kwa jiwe na huu ni muendelezo.Hapa tusimlaumu Jiwe!
Haya ni makosa ya serikali ya Samia Full stop!