Serikali kuahirisha Mechi ya Simba na Yanga ili kuwalazimisha wananchi wafuatilie tukio la Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Mwinyi ni kitendo cha aibu

Ligi ishavurugwa tayari. Taarifa zilizopo ni Yanga kudai pointi 3 kwa mpinzani kutoonekana uwanjani muda wa mchezo.

Serikali imelikoroga.
 
Napenda kusoma vitabu, lakini hicho kitabu chal walichozindua leo sitotaka kuliona hata cover lake
 

Bro mi nadhani kuhusisha tukio la kuahirishwa mechi na uzinduzi wa kitabu ni hisia tu. Mbona zinduzi nyingi tu za vitabu zimefanyika bila hata kuathiri shughuli zingine?
TFF watoe tu maelezo ya kwa nini mechi haikuchezwa.
 
Bro mi nadhani kuhusisha tukio la kuahirishwa mechi na uzinduzi wa kitabu ni hisia tu. Mbona zinduzi nyingi tu za vitabu zimefanyika bila hata kuathiri shughuli zingine?
TFF watoe tu maelezo ya kwa nini mechi haikuchezwa.
Naona huelewi bado hii nchi
 
Poor us
 
Kuna mtu alikua anajipendekeza. Walizoea kujipendekeza, sasa wamelewa madaraka wanajipendekeza kila sehemu. Hili wamelikoroga, ngoja tuone wanalinywaje?
 
Kama suala dogo kama hili mama amechemka je ataweza ku handle makubwa?

Awezi kukwepa lawama kabisa
siasa michezoni ndo ubaya wake watatafuta kisingizio na pengine kupanga terehe nyingine ya mechi na sharti watu wachache wenye barakoa mwelekeo mpya
 
siasa michezoni ndo ubaya wake watatafuta kisingizio na pengine kupanga terehe nyingine ya mechi na sharti watu wachache wenye barakoa mwelekeo mpya
Hamna kachemka tu kwani ungechezwa saa 1 ndio hizo barakoa zingevaliwa?

Mbona tunarahisisha mambo wakati uzembe umefanyika
 
🤣 🤣 Mkuu wa mkoa analinda kutumbua chake kisiingie mchango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…