Serikali kuahirisha Mechi ya Simba na Yanga ili kuwalazimisha wananchi wafuatilie tukio la Uzinduzi wa Kitabu cha Mzee Mwinyi ni kitendo cha aibu

Hii ni nchi ya hovyo sn
 
Mechi inavurugwa kunusuru Team ya Chama dhidi ya kipigo
Hivi hiyo timu ya chama ni ipi?

Majaaliwa ni simba.

Ndugaye ni simba .

Na hao ndiyo wenye maamuzi ya mwisho ukimwacha mama Samia ambaye hana timu.
 
Bila kumuondoa yule pm hatutakuwa na mabadiliko
 
Imeandikwa haraka haraka maana wanajua watanzania ni wapimbafu hawataisoma. Umesema ukweli.
 
Waambie utopolo waendelee kugoma.
Na tarehe MPYA wataopangiwa na wale wale waliosogeza mbele muda
Mpira ni saa 1 usiku!!!!!
Hiyo ndiyo sheria ya FIFA kuwa mpira lazima uchezwe saa 1 usiku?
 
TUNATAKA WATUAMBIE SABABU ILIKUWA NINI?
HATA YA KUTUNGA WASEME TU
 
Wanadhani kila mtu anahitaji sana kusikiliza hizo hekaya za huyo mzee aliyekuwa anataka Magufuli aongezewe muda wa kukaa madarakani.
Juhudi za kujipendekeza zilizaa matunda kwani kijana wake sasa hivi ni prezidaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…