Extra miles
JF-Expert Member
- Apr 18, 2018
- 3,652
- 4,972
Namaanisha itakuwa vituko sana ukija kudukua browsing history za hivyo vishkwambi kwa maana utakuta wanasearch vitu vya ajabu sana.Mkuu unamaana Gani tufafanulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namaanisha itakuwa vituko sana ukija kudukua browsing history za hivyo vishkwambi kwa maana utakuta wanasearch vitu vya ajabu sana.Mkuu unamaana Gani tufafanulie
Bonge la wazo mtu mfupiKwanini wasivipeleke kwenye shule chache Ili wavifanyie pilot project ya mambo ya ICT badala ya kuvigawa hivyo mwisho wa siku hakuna impacts yeyote.
Ndio maana kuna gap kubwa kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja.Tanzania kubadilika ni ngumu sana tunajikwamisha wenyewe hsa watendaji wa serikali wanakwamisha mambo mengi sana mazuri.
Mimi ni shuhuda 2021 nilipeleka a very good ict project kwa tamisemi na wizara ya elimu kwaajili ya shule zetu hizi za umma na ilikuwa simple na inayoendana mazingira yetu.
Kilichotokea huko ni kusifiwa tu good project ooh hii itaeta mabadiliko sasa kwenye ushirikiano hupewi hata kupata kibali tu nilisota mwaka na sikupata the end vijana wa ict waliograduate kama 13 ambao ndio waliunda mfumo huo wa elimu walianza kutawanyika mmoja mmoja na ndio mchezo ukausha hivyoo.
Hii nchi ni ngumu sana kufanikiwa hasa km wewe ni mtu wa kunyoosha mambo.
Ni ngumu sana hii nchi.
Akumbuke siyo shule zote zina umemeHii ipo kisiasa zaidi, mwalimu anafundisha kwa chaki ubaoni huko Nanjilinji unampa kishkwambi cha nini? Kuangalizia muvi?
Labda kama wameona baada ya sensa hawana pa kuvipeleka wakaamua kuwapa walimu.
Ila kusema vitaboredha utoaji wa elimu nchini ni uongo.
Kwa mfumo wetu wa ufundishaji watavutumiaje?Sawa. Na kama vinatolewa kwa lengo tofauti, itajulikana tu.
Well said [emoji120] [emoji120]... Hivi vilitakuwa kutolewa kwenye research institutions kwa mfano kufanyia kazi kama kuandaa surveys mbalimbali, data collection, uandaaji wa mipango ya matumizi bora ya ardhi za vijiji, kuandaa CCROs, kuhesabu mifugo yote nchini etc etc...Hii ipo kisiasa zaidi, mwalimu anafundisha kwa chaki ubaoni huko Nanjilinji unampa kishkwambi cha nini? Kuangalizia muvi?
Labda kama wameona baada ya sensa hawana pa kuvipeleka wakaamua kuwapa walimu.
Ila kusema vitaboredha utoaji wa elimu nchini ni uongo.
Nina jirani yangu ni mwalimu, tena wa sekondari, kuna siku aliniletea laptop yake nimssidie ku install some programs.. Umeme ukakatika nikamwambia iache baadae ukirudi nitakuwekea. Uliporudi nikamuwekea na kila kitu fresh. Wakati napitia ile laptop sikuona hata faili moja la shule (mitihani, maandalizi ya masomo etc) laptop imejaa movies, miziki, mapicha etc unakuta faili moja la movi GB 50 (seasons hizoo daah...Sasa kishikwambi kitamsaidia nini mwalimu kuandaa masomo yake, ni bora hata wapewe laptop. Bongolala kuna watu wanakurupuka sana.
Anachosema mdau ndiyo ukweli wenyewe huo, wewe bisha tuu lakini si tupo hapa? Tuombe Mola atupe uhai ndani ya miaka 3 ijayo utaniambia... Niko nimekaa paleee kijiji cha Nanguruwe..Acha dharau wewe. Hujui kuwa siku hizi kuna online books na other teaching materials tena kuanzia level ya shule ya msingi. Si kila kitu lazima ucomment ndugu, kama huna taarifa pita kimya au uliza ufahamishwe.
Hivyo vinatolewa kama rushwa tu. Walimu na vishkwambi kwenye kufundishia, wapi na wapi!Kwa mfumo wetu wa ufundishaji watavutumiaje?
Umeanza kupona mtindio wa ubongo sasa 🤣🤣Bonge la wazo mtu mfupi
Acha dharau wewe. Hujui kuwa siku hizi kuna online books na other teaching materials tena kuanzia level ya shule ya msingi. Si kila kitu lazima ucomment ndugu, kama huna taarifa pita kimya au uliza ufahamishwe.
Well said [emoji120] [emoji120]... Hivi vilitakuwa kutolewa kwenye research institutions kwa mfano kufanyia kazi kama kuandaa surveys mbalimbali, data collection, uandaaji wa mipango ya matumizi bora ya ardhi za vijiji, kuandaa CCROs, kuhesabu mifugo yote nchini etc etc...
Acha ushamba, Walimu kibao tu wanatumia technology kufundishia. Mbona mna chuki sana kwa walimu?
Anachosema mdau ndiyo ukweli wenyewe huo, wewe bisha tuu lakini si tupo hapa? Tuombe Mola atupe uhai ndani ya miaka 3 ijayo utaniambia... Niko nimekaa paleee kijiji cha Nanguruwe..