Serikali kujenga madarasa mapya manne katika kila shule ya Sekondari ya Serikali. Watoto wote 1M kuanza shule Januari 2022

Kikwajuni One asante Sana,

Tuendelee kumwombea na kumsemea Rais wetu Mzalendo wa kweli,

Kunawaliotamani afeli wamcheke ila Mungu amemsimamia hadi wanashangaa,


#KAZI IENDELEE KWA KASI & NGUVU ZAIDI
Wewe mwenzetu ni msomi kupita sisi,usiache kutupa habari za maendeleo ya nchi yetu,kwa kweli sio siri,mashule,hospital na huduma nyingi,zimezidi kuimarika.Mungu ampe afya na umri mrefu,Rais wetu.
 
Mungu akubariki Rais wetu,jana nilitembelea shule moja ya secondary,jinsi ilivyo,utafikiri uko ofisi za kimataifa,tiles shule nzima,Rangi safi,vyoo vya kisasa na safi,mabustani,shule utafikiri uko Marekani.
Mungu akubariki sana Kikwajuni One

Mama anafanya makubwa sana,

Hakuna mwaka yalijengwa madarasa elfu 15 kwa mkupuo,


#KAZI IENDELEE
 
Wewe mwenzetu ni msomi kupita sisi,usiache kutupa habari za maendeleo ya nchi yetu,kwa kweli sio siri,mashule,hospital na huduma nyingi,zimezidi kuimarika.Mungu ampe afya na umri mrefu,Rais wetu.
Sifa ziwe na Mungu wetu daima,
 

Hivi hiyo hela ni yake mfukoni? Hivi kwenye hiyo hela yeye na wale vigogo ambao kodi haiwahusu wanachangia nini?

Je kodi hiyo ni hii ambayo kakamuliwa huyu?



Kisha sasa wanaitumia kama kampeni ya kujisimika mwanamke 2025?

Tunamsubiri:

Utesaji wa Dola - Agenda kubwa Uchaguzi ujao

Huyu habari na imfikie, kuna komando wetu mzalendo mikononi mwa serikali yake kinyume cha sheria. Wamrejeshe akiwa hai:

 
Hivi anajenga Nani hasa maana wabunge nao wanadai wanajenga wao ,katani nako madiwani hivyohivyo!
😀😀😀😀

Wanashirikiana wote na sifa ni za wote

#KAZI IENDELEE KWA KASI &NGUVU ZAIDI
 
Mkuu unataka kila kitu ifanye serikali kweli inawezekana?

Nadhani jitahidi kubadili namna ya kufikiri,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & NGUVU ZAIDI
Mkuu nafikiri wewe kidogo ulikuwepo hapo nyuma kuanzia kwa Mkapa kurudi nyuma

Kipindi hicho nakumbuka shuleni tuligawiwa madaftari, pen na penseli na ninaamini haya yalikuwa matunda ya Kodi za watu wetu pamoja na source zingine

Hii ya Sasa imezidi Kodi nyingi na kubwa bado Elimu nayo ni kama Mradi wa kuongeza Pato la Taifa.

Mbona kwa sasa Taifa limepata Mwanga na linaiona vyema Dunia kuliko zamani; na yale matendo bora ya kuwatia Moyo wanafunzi mbona yamekwama siku hizi?
 


Mkuu mnamsubiri wapi?

Kweli mtu anayejenga madaras manne kila shule Tanzania nzima haeleweki!

Kama mnaoshida kumshukuru Rais Samia basi mshukuruni Mungu kwaajili yake,



#KAZI IENDELEE KWA KASI & NGUVU ZAIDI
 
Mkuu zamani aliyeona umuhimu wa Elimu alikuwa Serikali sio Mzazi,

Leo umuhimu wa Elimu anaona Mzazi sio Serikali kwa kiasi kikubwa,

Mkuu leo kuna watu wanalipa ada mil 42 kwa sekondri|msingi

Nadhani umegundua kwanini leo hivi,

Idadi ya wanafunzi pia ni kubwa sana


#KAZI IENDELEE KWA KASI & NGUVU ZAIDI
 
Unaidanganya nchi Mkuu kusema Serikali haioni Tena umuhimu wa Elimu.

Hatujafanikiwa kabisa bado kuondoa ujinga. Vinginevyo tutaendelea kuwa na viongozi wasioweza kuapa siku zote.

Mbumbumbu ni wengi katika Serikali. Watu wanateswa na Mradi wa HESLB acha kabisa
 
Unajitutumua kweli mkuu, hongera kwa kuimba na kusifu, ila usije kata pumzi mapema tu.
 
Mkuu mnamsubiri wapi?

Kweli mtu anayejenga madaras manne kila shule Tanzania nzima haeleweki!

Kama mnaoshida kumshukuru Rais Samia basi mshukuruni Mungu kwaajili yake,



#KAZI IENDELEE KWA KASI & NGUVU ZAIDI

Tunamsubiri hapa:

Utesaji wa Dola - Agenda kubwa Uchaguzi ujao

Anajenga madarasa kwa pesa asizochangia na tumshukuru kwa hilo? Sasa hapo anayejenga na kumpa yeye masurufu ya kufuru ni yeye au sisi?



Ulipo wewe huoni hata umuhimu wa kumtaka kuwarejesha wote ambao kupitia kwa Sirro anaowashikilia kinyume cha sheria?
 
Mbona huu mwandiko kama wa yule jamaa,Hayati alisema kwa tafsiri ya kwao jina lake lina maana njaa
 
N vizur ila yasiwe madarasa hewa tafadhali na walimu tunao wa kutosha safi.
 
Hakuna aliyesifia hapa,

Mtu kafanya vizuri kuna kosa gani kusifia?

#KAZI IENDELEE KWA KASI NA NGUVU ZAIDI
Tumeishakugundua wewe ndio yeye, kizuri hujiuza na kibaya hujitembezq
 
Kama inaupungufu litajengwa kama hakuna watajenga kwenye upungufu
Si ulisema anajenga shule zote?,umegeuza tena kwenda kwenye shule zenye upungufu?,by the way hakuna shule ya serikali ambayo haina shida ya madarasa na mqdawati na waalimu

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Mbona asipofanya hamjilalamikii mnamlalamikia?

RAIS AKIPATIA NONGWA AKIKOSEA NONGWA SISI WATU WA NAMNA?

#KAZI IENDELEE KWA KASI & NGUVU ZAIDI
Una kichaa nini? Is she doing us a favour ama anatimiza majukumu yake? Si aliomba hiyo nafasi mwenyewe? Kwani ni charity? Tatizo watanzania huwa tubaona kama tunafanyowa favour kuklmbe ni haki zetu

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Sijasema Serikali haioni umuhimu wa Elimu no,

Nimeseme ownership ya mtoto kupata elimu imekua zaidi kwa mzazi kuliko kwa Serikali zamani ilikuwa vesa versa,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & NGUVU ZAIDI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…