Waandishi wa habari Tanzania kabla proffession yenu haijaonekana ya wapumbavu ulizeni hilo swali huyo msajili wa hazinaWananununua mabasi mengine ya nini wakati kampuni ameshapewa mwarabu?
Yale yale mambo ya bandari serikali imewekeza mtaji mkubwa hata kabla haijaanza kurudisha kapewa mwarabu.
Njia ya kupiga pesa, ngoja uje usikie gharama ya hayo mabasi 100.Nimepata hasiraa.. Kama walisema wametafuta mwekezaji, Serikali inanunua mabasi ili iweje?
Miaka yote ya kuendesha mradi umeshindwa kumaintain na kujinunulia mabasi mapya mpaka unakopa?
Ujenzi wa barabara mkopo na uendeshaji wake ni mkopo!
Kama wamezishindwa kwanini wanaingia madeni mapya kujenga barabara mpya tena nyembamba kuliko za awali ilhali ya ruti ya Kimara wamenyoosha mikono!
Na mbona kakimbia kutaja kiwango cha mkopo!
Yaani aje na msuli tu mchele na viungo na nyama atavikuta huku.Tukishanunua ndio tutamkodisha
Ni vigumu sana sekta binafsi kuendesha kwa faida kwa sababu ya uwepo wa DART na UDART ambavyo vitakuwa ni vyombo vya ulaji bila kuangalia ufanisi na faida.Kwa nini hayo mabasi wasiyabinafsishe tu kwa sekta binafsi, halafu hiyo serikali ikajikita kwenye ukusanyaji wa kodi na pia kutengeneza mazingira mazuri ya uwekezaji!
Msajili wa Hazina Nehemia Mchechu, amesema katika jitihada za kuboresha uendeshaji wa mabasi ya mwendokasi benki ya NMB imekubali kutoa mkopo kwa Serikali ambayo inamiliki kampuni ya UDART kwa 85% ili kuongeza mabasi zaidi ya 100 ya mwendokasi.
Akiongea Jijini Dar es salaam leo July 15,2024 katika Mkutano wa Msajili wa Hazina na Wahariri wa Vyombo vya habari, Mchechu amenukuliwa akisema “UDART sasa hivi ni kampuni inayomilikiwa 85% na Serikali, ilipoanza ilikuwa inaendeshwa na Sekta binafsi Serikali ilikuwa na mchango mdogo, tukajikuta ina madeni mengi, mabasi yake ndio hivyo, kwa miezi miwili nimekuwa nafanya vikao na DART kampuni inayosimamia miundombinu, na UDART inasimamia uendeshaji na mabasi”
“Tunaenda kuongeza idadi ya mabasi na kesho nina kikao na benki ya NMB ambayo ndio wanatukopesha, tutakuwa na kikao pale NMB na UDART, DART, LATRA kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa fedha wa kupata mabasi yasiyopungua mabasi 100 ambayo yataweza kutusaidia”
“La pili kwa hatua tuliyofikia tunahitaji kampuni zaidi ya tano au sita, sio kampuni moja tu ambayo siku wakigoma au kupata matatizo Mji wote umesimama, unapokuwa na Waendeshaji wengi pia ni rahisi kujua nani anatoa huduma nzuri”
“Tutahitaji miezi sita kuanzia tunapotoa oda mpaka mabasi yaje, tutafanya maongezi na NMB kesho tutajua lini mabasi yatakuwa yanafika, najua nitamuachia Mkurugenzi Mkuu wa UDART na Bodi yake kuisema kwa Umma lakini kazi yetu ni kuhakikisha wanapata pesa”
Millard Ayo
probably held at gun point, kushinikizwa kutoa huo mkopo.....Hivi NMB kweli wako tayari kuwakopesha UDART?
Seriously, NMB wamechoka kupata faida, wachumi wao wanatumia vigezo gani kutoa mikopo?
Miaka nane udart hawajanunua hata pikipiki kila mwaka Ni hasara, ilhali hawana mpinzani hata foleni hawana, leo uwakopeshe wanunue Basi Tena sio moja, Mia moja. Kuna mtu kawaambia Hilo shimo zinapotumbukia pesa za udart limefukiwa?
Maybe NMB knows something we don't know. If yes, nmb please enlighten me.
Kumbe upumbavu una angle nyingi..kwa hiyo dawa ni kukopa na kununua mengine, ila si kujua kwa nini yaliyopo yako hivyo na yameshindwa kurudisha pesa yaliyonunuliwa..ana uhakika gani haya 100 yatarudisha mkopo??Yaliyopo yamewashinda kuyaendesha hayo Mia ndo wataweza?
Case hizi hizi za miradi mfu kama hii zimewapeleka TIB shimoni, na BOT wanajua..TIB imekopesha ujenzi wa stand za mabus, kiko wapi sasa..mkopo haujarudishwa, stand zenyewe hazitumiki, upumbavu mtupu!! nitawashangaa km NMB watakubali huu ujinga wa mkopo wa kununua mabasi ya UDART, si wamepata mbia..imekuwaje tena habari imekuwa mkopo???Hivi NMB kweli wako tayari kuwakopesha UDART?
Seriously, NMB wamechoka kupata faida, wachumi wao wanatumia vigezo gani kutoa mikopo?
Miaka nane udart hawajanunua hata pikipiki kila mwaka Ni hasara, ilhali hawana mpinzani hata foleni hawana, leo uwakopeshe wanunue Basi Tena sio moja, Mia moja. Kuna mtu kawaambia Hilo shimo zinapotumbukia pesa za udart limefukiwa?
Maybe NMB knows something we don't know. If yes, nmb please enlighten me.
Wamtoe kwenye hii nafasi, mtu mwenye akili timamu huwezi kuleta huu ujinga hadharani!Nimepata hasiraa.. Kama walisema wametafuta mwekezaji, Serikali inanunua mabasi ili iweje?
Miaka yote ya kuendesha mradi umeshindwa kumaintain na kujinunulia mabasi mapya mpaka unakopa?
Ujenzi wa barabara mkopo na uendeshaji wake ni mkopo!
Kama wamezishindwa kwanini wanaingia madeni mapya kujenga barabara mpya tena nyembamba kuliko za awali ilhali ya ruti ya Kimara wamenyoosha mikono!
Na mbona kakimbia kutaja kiwango cha mkopo!
Nchi hii miaka 200 tutakua hapahapa......watu wana ubinafsi wa hali ya juu sana. Wanakula tu bila kujali.Case hizi hizi za miradi mfu kama hii zimewapeleka TIB shimoni, na BOT wanajua..TIB imekopesha ujenzi wa stand za mabus, kiko wapi sasa..mkopo haujarudishwa, stand zenyewe hazitumiki, upumbavu mtupu!! nitawashangaa km NMB watakubali huu ujinga wa mkopo wa kununua mabasi ya UDART, si wamepata mbia..imekuwaje tena habari imekuwa mkopo???
Hivi sasa ndio vilikuwa vitu vya kubinafsishaMsajili wa Hazina Nehemia Mchechu, amesema katika jitihada za kuboresha uendeshaji wa mabasi ya mwendokasi benki ya NMB imekubali kutoa mkopo kwa Serikali ambayo inamiliki kampuni ya UDART kwa 85% ili kuongeza mabasi zaidi ya 100 ya mwendokasi.
Akiongea Jijini Dar es salaam leo July 15,2024 katika Mkutano wa Msajili wa Hazina na Wahariri wa Vyombo vya habari, Mchechu amenukuliwa akisema “UDART sasa hivi ni kampuni inayomilikiwa 85% na Serikali, ilipoanza ilikuwa inaendeshwa na Sekta binafsi Serikali ilikuwa na mchango mdogo, tukajikuta ina madeni mengi, mabasi yake ndio hivyo, kwa miezi miwili nimekuwa nafanya vikao na DART kampuni inayosimamia miundombinu, na UDART inasimamia uendeshaji na mabasi”
“Tunaenda kuongeza idadi ya mabasi na kesho nina kikao na benki ya NMB ambayo ndio wanatukopesha, tutakuwa na kikao pale NMB na UDART, DART, LATRA kwa ajili ya kufanikisha mchakato wa fedha wa kupata mabasi yasiyopungua mabasi 100 ambayo yataweza kutusaidia”
“La pili kwa hatua tuliyofikia tunahitaji kampuni zaidi ya tano au sita, sio kampuni moja tu ambayo siku wakigoma au kupata matatizo Mji wote umesimama, unapokuwa na Waendeshaji wengi pia ni rahisi kujua nani anatoa huduma nzuri”
“Tutahitaji miezi sita kuanzia tunapotoa oda mpaka mabasi yaje, tutafanya maongezi na NMB kesho tutajua lini mabasi yatakuwa yanafika, najua nitamuachia Mkurugenzi Mkuu wa UDART na Bodi yake kuisema kwa Umma lakini kazi yetu ni kuhakikisha wanapata pesa”
Millard Ayo
Wanafanya maamuzi kwa kukurupukaKumbe upumbavu una angle nyingi..kwa hiyo dawa ni kukopa na kununua mengine, ila si kujua kwa nini yaliyopo yako hivyo na yameshindwa kurudisha pesa yaliyonunuliwa..ana uhakika gani haya 100 yatarudisha mkopo??
Awamu hii ukishakuwa muarabu ni sifa kuu ya uwekezaji.Kwaiyo uyo Dubai anakuja na nini?