Hahaha.......kandoto katamu!
 
Watu wagumu sana kuelewa.
 
Ukiniletea unyoya wake tu na wala si nyama nitajua jeshi la Polisi limebadilika chini ya IGP Wambura
 
Hili jambo linaweza kuifedhehesha sana Serikali ya Mama!
Watu mnajua kudeka, eti mama😅
Mwenyewe kasema anaitwa Chui jike aka Hangaya.
Nyie bado mnalia mama, mama...haya kanyonye basi!
 
Haijalishi unamchukukia kiasi gani , she is your president, Hadi mwaka 2030,jiandae kisaikolojia,

By the way mtu hawezi ishi na kuwa na Maisha Bora kwa kutegemea vitu vya kupesa, mshahara ni sawa na kitu Cha kupewa, hivyo hata ukilipwa milioni Saba bado utalalamika.

Kwa kilichoweka kinatosha, tusubiri mwaka kesho Mungu akipenda.
 
Hata muongee vipi nothing will change in short hamna uchungu na watu wa chini, mngekua watu Kama ngeshusha na posho kenge ninyi!![emoji19][emoji57]
Teh teh

Ova
 
Alitakiwa atoe ufafanuzi Kipindi kile watu wanapotoshana kuhusu 23%!
 
Swali rahisi la kujiuliza ni moja, kwanini walipokua wanatangaza hili ongezeko hawakutoa ufafanuzi af leo ndo wanajidai kutoa ufafanuzi? Hii ni damage control tu hakuna lolote
Tangazo lilikuwa linajifafanua lenyewe, tuliolielewa hatukutarajia mabadiliko makubwa.
 
[emoji2] Abeg.

Acheni kazi
Hakuna muajiriwa mwenye ujanja wa kuishi nje ya mshahara,we uoni wakistaafu upewa teuzi Ili wasife mapema,usione mabiashara makubwa wanafanya wakiwa makazini yote yanategemea ofisi kupitia kodi zetu, ukitaka kuthibitisha hilo iangalie biashara hio baada ya kustaafu, nyingi nazo huwa zinastaafu kwa maana ofisi imekata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…