Serikali kutoa ufafanuzi nyongeza ya mishahara, yaomba wafanyakazi watulie
Mkuu kwani kuna mtu kakulazimisha kufanya hiyo kazi? Ukiona haikulipi achana nayo, tafuta itakayokulipa , msitake kusumbua watu vichwa , kumbe magufuli alikua sawa kabisa.
Nyongeza ya 23% ni kwa kima cha chini tu , wewe unataka 100% c ukafanya kazi zako mwenyewe upate asilimia unazohitaji wewe View attachment 2300790
Hayo ni Majibu mepesi kwenye maswali magumu,usijitoe ufahamu mkuu, jiulize pesa ya kuongeza kwenye vikao wanazolipana zinatoka wapi na Kwa Nini hawa watumishi wengine wanyongwe,
 
Hamjamboni nyote?

Baada ya malalmiko ya watumishi kuwa mengi kuhusu ongezeko la mshahara. Msemaji Mkuu wa serikali, Gerson Msigwa amesema serikali italitolea ufafanunuzi suala hilo hivi karibuni.

Ameandika hayo katika ukurasa wa twitter japo hajasema ni lini ufafanuzi utatolewa
View attachment 2300672
View attachment 2300511
...Hakuna Jipya! Hakuna ufafanuzi Wowote utakaotosha kutuambia Kwa Nini tumepata nyongeza ya Alfu Ishirini ?
Iwe angalau nyongeza ya Hamsini Alfu ndio muite Wafanyakazi mezani muongee, Sio mlete bla bla za vita vya Urusi!!!
 
Haijalishi unamchukukia kiasi gani , she is your president, Hadi mwaka 2030,jiandae kisaikolojia,

By the way mtu hawezi ishi na kuwa na Maisha Bora kwa kutegemea vitu vya kupesa, mshahara ni sawa na kitu Cha kupewa, hivyo hata ukilipwa milioni Saba bado utalalamika.

Kwa kilichoweka kinatosha, tusubiri mwaka kesho Mungu akipenda.
...Sio lazima awe Mpaka 2030! Hata yule wa Sri Lanka alidhani hivyo hivyo, Yuko Wapi' Sasa? 2030 ni mbali, lolote linaweza kutokea Watu wakichoka...!!
 
Haijalishi unamchukukia kiasi gani , she is your president, Hadi mwaka 2030,jiandae kisaikolojia,

By the way mtu hawezi ishi na kuwa na Maisha Bora kwa kutegemea vitu vya kupesa, mshahara ni sawa na kitu Cha kupewa, hivyo hata ukilipwa milioni Saba bado utalalamika.

Kwa kilichoweka kinatosha, tusubiri mwaka kesho Mungu akipenda.
Wao kuongezewa posho wanastahiki hao huko juu!
Acha baasi jusifu na kuabudu
 
Mkuu kwani kuna mtu kakulazimisha kufanya hiyo kazi? Ukiona haikulipi achana nayo, tafuta itakayokulipa , msitake kusumbua watu vichwa , kumbe magufuli alikua sawa kabisa.
Nyongeza ya 23% ni kwa kima cha chini tu , wewe unataka 100% c ukafanya kazi zako mwenyewe upate asilimia unazohitaji wewe View attachment 2300790
...Wewe ni Mtanzania??...
 
Hata Magufuli tuliambiwa ni Rais mpaka mwaka 2035. Lakini kilichompata. Duhh.

Tatizo lenu nyie chawa huwa hamuelewi serikali zinavyoendeshwa kisayansi.

Mradi tu ukishapewa ubwabwa na vijisenti unapagawa.

Aiseee! Hmmm!
...Wanapagawa na kutoa maneno ya Shombo na kutukejeli! Kuli alisema... Yana Mwisho Haya....
 
Na nyie wafanyakazi wa umma,nyenye nyee zimekuwa nyingi,mnadanganywa kama watoto,pesa za nyongeza zitatoka wapi?kwani mapato yameongezeka?,je Kuna matumizi yamefutwa?uchumi umekuwa?
Ili upate pesa,ama uongeze mapato kutoka kuuza huduma na bidhaa nje,au upunguze Matumizi,
Mama angefuta halmashauri kadhaa,za pwani,na Dar,Dar ikarudi kuwa na wilaya tatu,pwani na Dar ziwe chini ya RC mmoja,FUTA vyeo vya UDC,punguza idara serikalini,punguza magari serikalini,sasa hajafanya hata moja,harafu Bado mkaamini kutakuwa na nyongeza ya asilimia 23%!!?
Inabidi mkapimwe vichwa milembe!!
Huyu mama na ccm,Alimfunga Mbowe kwa kesi ya ugaidi,akafuta kesi,akamkalibisha Ikulu,akampa pole,then wale walishiriki kutengeneza ushqidi wa mchongo,wamepewa vyeo.Aliyekuwa anqshiriki kubambikia watu kesi,leo hii ndio mpelelezi mkuu!!
There must be something wrong in her HE madame prezoo,if not she is evil,and she doenot respect the wananchi,all members of establishment they don't care how we feel,they will just brutalize us,as long as we allow them,njia pekee na lugha wanayoielewa Hawa ni mapinduzi tu,shaba kwenda mbele
...
Ukianza vibaya Kwa kutukejeli sisi Wafanyakazi, lakini Umemaliza Vizuri Sana....Sasa ni Sri Lanka TU....!
 
Itakuwa tangazo lilikosewa.

Ni kosa la hao watendaji wa huko Ikulu, na Mwigulu hakutoa maelezo, ni ngumu mshahara kupanda kwa zile % za Mheshimiwa.
....JK aliwezaje kuwapandisha Wafanyakazi Wote Mishahara Kwa Alfu Hamsini???....
 
Mimi nasema safi sana bi mkubwa...wafanyakazi huwa wanakurupuka tu yani kama wengi wao sio wasomi,ona wanavotia huruma sasa iv

Mmekubali kutumika kama malaya kwa ajenda za serikali yani kifupi hamjitambui mbwa nyie

Mlipaswa kuwa kipaumbele ktk kutetea maslahi ya wananchi lakin nyie kutwa maandamano ya pongezi na kujipendekeza.

Huo utakua ni ufafanuzi na sio mabadiliko yani kifupi mtasubir sana na bado mtabaki kulalamika bila kutafuta suluhu ya ndani yenu wenyew

Mm nawapa siri serikali inawetegemea sana na inawaogopa sana ila hamjielewi nyie..iv kuna walimu,watumishi wa afya na watu kibao bado hamjioni umuhimu wenu????
....Sasa inapaswa Sri Lanka TU, ndio tutaheshimiana!......
 
Serikali iliahidi ongezeko la mshahara wa kima cha chini kwa 23%. Kama kuna mfanyakazi alikuwa anapokea mshahara huo wa kima cha chini na nyongeza yake haikufika 23% huyo ndie wa kulalamika.

Wengine wote wanaolalamika, kauli ya kocha wa zamani wa Uto (Luc Eymael) kuhusu kubwabwaja na kupiga makelele inawahusu.
 
Hili ndo jinga lingine number 1.... mmeongeza elfu 13, hata sio elfu 20....,Too shameful to WHOEVER TALKED THE 23% STARTING WIT THE TOP MOST....

Unakaa kabisa unadanganya watu wazima....

RIP JPM, tumeshakukumbuka.
Hivi alisema anaongeza mishahara yote kwa 23% au ni kwa kima cha chini pekee? Maana labda tulaumu kuongezea vitu visivyoeleweka ila sio kulaumu hiyo 23% maana it was clear ni kwa kima cha chini.
 
Back
Top Bottom