Wadau mko tayari kwenda kula tausi[emoji23][emoji23]
 
TATIZO la mama anataka amfurahishe kila mtu, kikundi, chama. Mwisho wa siku mambo yana kuwa kama hayo. Awe mkweli tu, kama kitu hakiwezekani aseme wazi wazi.
uko sahihi kwa 100%
 
Kiongozi hata kwa hiko kima cha chini, kwa ongezeko hilo ni uongo uliotukuka,tuseme kima cha chini ni 300,000/=,23.3% yake ni 69,900/=,haya hata ukitoa makato ndio ibakie elf20 kweli'l,yaani kiufupi hesabu ya ongezeko haiwezi kuwa hiyo iliyoongezeka,ni wamedanganywa
 
Nipo mstari wa mbele pamoja na wewe
 
Namwonea huruma huyu mama,hakika uongoz ni kaz ngumu sana
 
Ufafanuzi kuwa mfumo uliingiliwa na virus ukasababisha makosa au ?! Msiwe mnainua mabega kwa mambo msiyoyaweza... Muulizeni J K aliwezaje kuongeza mishahara hata wenine wakapata 50,000/- Hadi over 110,000/- nyakati zake.... Huku akiwaongeza hata waliokuwa hawana vyeti, na wale hewa, na huko mvunguni bado mafisadi wakisaga uchumi kama mchwa !!
 
Utumishi wa huyo anayedai nyongeza unahitajika au hapana... Kama unahitajika anahaki ya kudai kulingana na mkataba wake wa ajira. Mshahara sio favour ni haki ya mtumishi, nyongeza sio favour ni haki ya mtumishi... Watu waelewe hilo.!!!
 
...Sio lazima awe Mpaka 2030! Hata yule wa Sri Lanka alidhani hivyo hivyo, Yuko Wapi' Sasa? 2030 ni mbali, lolote linaweza kutokea Watu wakichoka...!!
Hata yule waliyesema watamlazimisha kumwongezea muda nae yupo wapi.... Hawajifunzi????
 
....JK aliwezaje kuwapandisha Wafanyakazi Wote Mishahara Kwa Alfu Hamsini???....
Tafuta nyaraka za mishahara za wakati wake utaona.... Mishahara ilipaaaa enzi za kikwete... Tafuta utaona mwenyewe uhalisia...!!
 
Kama huko juu hujafika.... Kaagize suti ukuu wa wilaya unanukia...!!
 
Mi nimemchukia hadi na wajukuu zake mfyuuuu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wamekosa nini wajukuu zake[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji38]
 
Nimekutana na askari polisi analalamika huyo balaaa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]na mi mmekutana nae Mmoja hivi mitusi mizito anatoa[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hivi alisema anaongeza mishahara yote kwa 23% au ni kwa kima cha chini pekee? Maana labda tulaumu kuongezea vitu visivyoeleweka ila sio kulaumu hiyo 23% maana it was clear ni kwa kima cha chini.
Sasa hata wa kima cha chini hajaongezewa that %...ni ndogo kabisa ya hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…