Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

Corona imeshaingia kwenye zaidi ya nchi 40 kwa sasa, kuwazuia wachina sio suluhu tena, ni kujiandaa tu kwa case yoyote itakayokuja iwe contained mapema kabla ya kusambaa, hiyo ndio suluhu kubwa kwa sasa. Hata hao mabeberu zenu wamarekana tayari wana wamepata jana case ambayo wameshindwa ku relate ameipatia wapi.
 
Kwa nyongeza tu, Mungu huwa hashughuliki na mpumbavu, yani akupe akili halafu kwa uzembe wako utumie kichaka cha dini kumuomba akuepushe na balaa ambalo wewe hukuwa makini ! Hakuna Mungu wa namna hiyo na kama yupo basi asingetupa akili na ufahamu , tungekuwa na vichwa vyenye akili mufilisi kama vyura

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana Mkuu your being advised umrejee Muumba wako ili uwe na hakika wa maisha ya sasa na baadae..!

As long as haupo in power and in control don't expect the world to work on your favor kila wakati. Sometime power and control is not a guarantee.

We need God more than the world to be safe, and this has nothing to do na jinsi gani uko na akili.

Tumepewa akili kuzitumia lakn tusizitegemee. Mfano ni hapa akili zako zinakuambia kuna kitu ni sahihi kifanyike ili tuwe safe dhidi ya corona lakn hazina msaada na utaishia kulalama tu.

Akili zina limit Mkuu.
 
Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P
Hii italigharimu taifa zaidi. Hii inaweza ikawa sababu ya kuongeza zaidi huo umasikini. Ni nani mwenye pesa yake atataka kukanyaga Tanzani kwa sasa akijua kama hatuchuji watu kutoka kwenye nchi za haya maradhi?
Saudi Arabia wamesitisha mpaka watu kwenda kufanya ibada ya Hijja na umra kwa sasa until further notice! Yaani hapa ndio unaona uzito wa hili jambo! Sisi Tz na umasikini huu kweli gonjwa hili likiingia si tutakufa kama kuku wa magwa!
 
Yale madege meko aliyonunua si ndio muda wa kupiga hela sasa mkuu atazuiaje mchina asiingie wakati anampa hela?Hiyo corona yeye hana habari nayo atakuambia hapa kazi tu!
 
Itabidi tuzuwie wa watu wa nchi nyingi duniani wasije, kwani corona kwa sasa hayupo China pekee.

Wacha waje tu. Kifo nini kifo tu iwe cha Corona au Malaria au Ukimwi au kingine chochote kile. Zote ni sababu tu.

Rudini kwa Allah mjisalimishe kwake, kifo tunatembea nacho, usikiogope. Kama si leo, kesho.

Hebu kaa utafakari tena majibu yako! Hata ukiwa na Mungu haupaswi kumjaribu. Umepewa maarifa uyatumie. Narudia, tafakari maana ulichoandika kitasomwa na wengi.
 
Mkuu hizo sio gharama za umasikini, bali ujamaa.
Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ndivyo, ukiugua usitibiwe,subiri kifo
It's true, mimi science niliagana nayo O level.
Ila hii statement is true, uhai umeumbwa na kifo pia kimeumbwa, kama ilivyo kwa kila lenye mwanzo, pia lina mwisho, kuzaliwa ndio mwanzo wa maisha, na kifo ndio mwisho wa maisha hivyo wote tutakufa tuu siku yetu ikifika.

P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumewazuia wanafunzi wetu waliopo China waje, ila wachina wameruhusiwa dah...
Inauma sana mkuu.
Itabidi tuzuwie wa watu wa nchi nyingi duniani wasije, kwani corona kwa sasa hayupo China pekee.

Wacha waje tu. Kifo nini kifo tu iwe cha Corona au Malaria au Ukimwi au kingine chochote kile. Zote ni sababu tu.

Rudini kwa Allah mjisalimishe kwake, kifo tunatembea nacho, usikiogope. Kama si leo, kesho.
Kwa vile wewe umejificha huko canada unaona watanzania wakifa ni sawa tu,halafu unaongea habari za Mungu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kuwa darasa la saba ukawa na issue, labda useme hizo issue unazitolea kwa wajinga, mazuzu wenzako na wanaziona za maana kwa vile reasoning yao imeishia hapo! kama lilivyo bunge la ndugai. Wote mle ni wajinga, mazuzuz etc! Kama ulisikiliza debate za impeachment ya Trump ndiyo utaona tofauti ya wasomi na wajinga kama nyie!
una akili za watu wa 1930s huwezi judge kutumia uwezo wa mtu afu unavoita mazuzu walioishia 7 ndio unajionesha unatatizo msomi huwezi jibu matusi au kutukana watu ovyo io elimu yako itakuwa sawa na mwakyembe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itabidi tuzuwie na watu wa nchi nyingi duniani wasije, kwani corona kwa sasa hayupo China pekee.

Wacha waje tu. Kifo nini kifo tu iwe cha Corona au Malaria au Ukimwi au kingine chochote kile. Zote ni sababu tu.

Rudini kwa Allah mjisalimishe kwake, kifo tunatembea nacho, usikiogope. Kama si leo, kesho.
We Bibi umezidi kuendekeza udini Hadi unasababisha tumuone Allah na mudi wake kama hawajielewi.

Huyo Allah ameshindwa kuwatetea mahujaji wake huko Saudi Arabia na Iran ataweza kututetea sisi Manyani, Watumwa ambao hatuna uarabu Kama watoto wake wapendwa waarabu!?

Allah kweli au Allah za roho?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No kwetu haiwezi kutokea, WaChina wote tunao wapokea wamekuwa cleared at port of exit, kitu muhimu kwetu kuliko kitu chochote ni pesa tuu, na hata ikitokea ikatokea kweli, tutakipokea kikombe hicho kwa mikono miwili na kusema ndio mpango wa Mungu kwa watu wake.
P
Basi mkuu tunaomba upambane hao watalii wa kutoka Wuhan wasifike kwetu Chato
 
Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P
So kwa umasikini wetu waendelee kuja tu Mkuu Pascal?
Hapana hili ni janga la kujitakia, hatuwezi kuruhusu hiyo hali ikatokea. If it happens the government will be in great blame

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umepatwa na nini mkuu Pascal Mayalla ? Mana huu mwandiko ni balaa. Anyway ujumbe umefika
Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi mkuu tunaomba upambane hao watalii wa kutoka Wuhan wasifike kwetu Chato
No kwa vile mimi ni mtetezi wa uwanja wa ndege wa Chato, nashauri watalii wa kutoka Wuhan waanzie Buigiri, ili uwanja wetu ule uwe busy kidogo kimataifa,

P
 
Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P
Hiki ni kiingereza cha sheria nahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika umeandika ujinga Sana we boya
IMG-20200227-WA0017.jpg
 
Kuna nchi fulani ya Afrika mashariki ikigundua uwepo wa corona itaficha, wala haitatangaza![emoji12][emoji12][emoji12]
 
Kuna nchi fulani ya Afrika mashariki ikigundua uwepo wa corona itaficha, wala haitatangaza![emoji12][emoji12][emoji12]
 
Back
Top Bottom