nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Wasomi wako huko vyuo vikuu, humu hakuna usomi, ni hoja tuu!.
P
Ndio maana Mkuu your being advised umrejee Muumba wako ili uwe na hakika wa maisha ya sasa na baadae..!Kwa nyongeza tu, Mungu huwa hashughuliki na mpumbavu, yani akupe akili halafu kwa uzembe wako utumie kichaka cha dini kumuomba akuepushe na balaa ambalo wewe hukuwa makini ! Hakuna Mungu wa namna hiyo na kama yupo basi asingetupa akili na ufahamu , tungekuwa na vichwa vyenye akili mufilisi kama vyura
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii italigharimu taifa zaidi. Hii inaweza ikawa sababu ya kuongeza zaidi huo umasikini. Ni nani mwenye pesa yake atataka kukanyaga Tanzani kwa sasa akijua kama hatuchuji watu kutoka kwenye nchi za haya maradhi?Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P
Itabidi tuzuwie wa watu wa nchi nyingi duniani wasije, kwani corona kwa sasa hayupo China pekee.
Wacha waje tu. Kifo nini kifo tu iwe cha Corona au Malaria au Ukimwi au kingine chochote kile. Zote ni sababu tu.
Rudini kwa Allah mjisalimishe kwake, kifo tunatembea nacho, usikiogope. Kama si leo, kesho.
Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P
It's true, mimi science niliagana nayo O level.
Ila hii statement is true, uhai umeumbwa na kifo pia kimeumbwa, kama ilivyo kwa kila lenye mwanzo, pia lina mwisho, kuzaliwa ndio mwanzo wa maisha, na kifo ndio mwisho wa maisha hivyo wote tutakufa tuu siku yetu ikifika.
P
Inauma sana mkuu.Tumewazuia wanafunzi wetu waliopo China waje, ila wachina wameruhusiwa dah...
Kwa vile wewe umejificha huko canada unaona watanzania wakifa ni sawa tu,halafu unaongea habari za Mungu?Itabidi tuzuwie wa watu wa nchi nyingi duniani wasije, kwani corona kwa sasa hayupo China pekee.
Wacha waje tu. Kifo nini kifo tu iwe cha Corona au Malaria au Ukimwi au kingine chochote kile. Zote ni sababu tu.
Rudini kwa Allah mjisalimishe kwake, kifo tunatembea nacho, usikiogope. Kama si leo, kesho.
una akili za watu wa 1930s huwezi judge kutumia uwezo wa mtu afu unavoita mazuzu walioishia 7 ndio unajionesha unatatizo msomi huwezi jibu matusi au kutukana watu ovyo io elimu yako itakuwa sawa na mwakyembeHuwezi kuwa darasa la saba ukawa na issue, labda useme hizo issue unazitolea kwa wajinga, mazuzu wenzako na wanaziona za maana kwa vile reasoning yao imeishia hapo! kama lilivyo bunge la ndugai. Wote mle ni wajinga, mazuzuz etc! Kama ulisikiliza debate za impeachment ya Trump ndiyo utaona tofauti ya wasomi na wajinga kama nyie!
We Bibi umezidi kuendekeza udini Hadi unasababisha tumuone Allah na mudi wake kama hawajielewi.Itabidi tuzuwie na watu wa nchi nyingi duniani wasije, kwani corona kwa sasa hayupo China pekee.
Wacha waje tu. Kifo nini kifo tu iwe cha Corona au Malaria au Ukimwi au kingine chochote kile. Zote ni sababu tu.
Rudini kwa Allah mjisalimishe kwake, kifo tunatembea nacho, usikiogope. Kama si leo, kesho.
Basi mkuu tunaomba upambane hao watalii wa kutoka Wuhan wasifike kwetu ChatoNo kwetu haiwezi kutokea, WaChina wote tunao wapokea wamekuwa cleared at port of exit, kitu muhimu kwetu kuliko kitu chochote ni pesa tuu, na hata ikitokea ikatokea kweli, tutakipokea kikombe hicho kwa mikono miwili na kusema ndio mpango wa Mungu kwa watu wake.
P
So kwa umasikini wetu waendelee kuja tu Mkuu Pascal?Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P
Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P
No kwa vile mimi ni mtetezi wa uwanja wa ndege wa Chato, nashauri watalii wa kutoka Wuhan waanzie Buigiri, ili uwanja wetu ule uwe busy kidogo kimataifa,Basi mkuu tunaomba upambane hao watalii wa kutoka Wuhan wasifike kwetu Chato
Hiki ni kiingereza cha sheria nahisi.Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P
Hakika umeandika ujinga Sana we boya