Nimecheka eti Dege nzima waliokaa nao kwenye ndege wana moyo tena siti mojaMmh hii kitu ni sensitive sana, halafu huyo mama mbona anaongea kwa dharau atii, yaan ana act kama is not a big deal hao watalii sijui wasambaza virus kuja nchini, serikali mfanyavyo sio sawa ivoo dunia nzima inatetemeka nyie mnaingiza Dege zima kutoka China!!!
Acha mambo hayo ndg...wee huoni hii risky? Ni swala la mamlaka kuliona hili na limepigiwa kelele muda mrefu na shida inaendelea kusambaa...Kwan huo ugonjwa upo china nzima au whuhan?
Kupokea watalii toka china sio lazima watoke china mainland,kuna hong kong na macau zote china
Lete details za hao watalii kwanza kabla ya kuja kulia humu
Sio lazima kucomment kila mara. Watu wa naongea mambo serious wewe unaleta masihara.Corona ni mafua tu sijui mnaogopa nini,ukipata kunywa safari lager tatu kwisha kabisa
Waje tu wakileta ugonjwa kwangu fursaUgonjwa wa Corona umezidi kusambaa kwa kasi na kuingia kwenye nchi nyingi duniani licha ya tahadhari kubwa na teknolojia ya hali ya juu ya kuchuja wageni
Baada ya kuona ugon jwa huu haudhibitiki kirahisi sasa imepelekea nchi nyingi kukata mawasiliano kabisa na nchi zenye maambukizi makubwa ya ugonjwa huu kama China, Iran, Italia, Japan na Korea
Hata hivyo Tanzania haina habari, Tanzania imezidi kupokea watalii kutoka China huku ikijidai kuwa haijali raia anatokea wapi kwa kuwa ipo vizuri kwenye kujilinda
Hiki ni kichekesho ukizingatia facilities na teknolojia za Tanzania ukizilinganisha na nchi nyingine duniani ambazo zimefunga kabisa usafiri na nchi athirika kwa hofu ya kuenea ugonjwa huu,
nchi kama Urusi ambayo ni mshirika mkubwa wa China imepiga marufuku raia wote kutoka China sababu ya ugonjwa huu ambao aambukizi yake hayaonekani mpaka zipite siku 14, nchi nyingine zilizopiga marufuku kabisa raia wa China ni Australia, Singapore, Iran, Ufilipino, New Zealand n.k
Nchi nyingine zimefika mbali zaidi kwa kupiga marufuku kabisa hata raia wa nchi nyingine ambaye aliwahi kwenda China siku za karibuni
Nchi kama Saudi Arabia imesitisha ibada za Hijja ndogo kutokana na hofu ya maambukizi haya, na inaweza kupiga hata marufuku ya Hijja kubwa
Nchi nyingi za kiarabu pia zimekatisha kabisa safari zake na Iran ambayo ina waathirika ambao hawafiki hata 300 kwa hofu ya ugonjwa huu, lakini Tanzania inaruhusu watalii kutoka China kwenye maambukizi ya takribani 80,000
Countries ban recent travellers from China over coronavirus fears – Business Traveller
A growing number of countries are imposing travel bans on foreign nationals who have travelled to China recently due to the coronavirus outbreakwww.businesstraveller.com
Coronavirus: Russia bans Chinese nationals from entering country
Russia has taken a drastic step over the COVID-19 coronavirus outbreak.www.euronews.com
Iran bans Chinese citizens from entering the country: IRNA
Iran has banned Chinese citizens from entering the country, Iranian state news agency IRNA reported on Thursday, amid the spread of the new coronavirus across the Islamic Republic that had killed 26 Iranians.www.reuters.com
All over the world, countries are imposing travel bans on visitors who’ve been to China
Such bans run counter to official advice from the World Health Organization.qz.com
Huna akiliKwan huo ugonjwa upo china nzima au whuhan?
Kupokea watalii toka china sio lazima watoke china mainland,kuna hong kong na macau zote china
Lete details za hao watalii kwanza kabla ya kuja kulia humu
Swali zuri.Tumawezaje kupokea watalii toka China ilihali watoto wetu huko tumewasusa?
yule bwana anajali pesa,hajali mtu hujawahi sikia kauli zakeUgonjwa wa Corona umezidi kusambaa kwa kasi na kuingia kwenye nchi nyingi duniani licha ya tahadhari kubwa na teknolojia ya hali ya juu ya kuchuja wageni
Baada ya kuona ugon jwa huu haudhibitiki kirahisi sasa imepelekea nchi nyingi kukata mawasiliano kabisa na nchi zenye maambukizi makubwa ya ugonjwa huu kama China, Iran, Italia, Japan na Korea
Hata hivyo Tanzania haina habari, Tanzania imezidi kupokea watalii kutoka China huku ikijidai kuwa haijali raia anatokea wapi kwa kuwa ipo vizuri kwenye kujilinda
Hiki ni kichekesho ukizingatia facilities na teknolojia za Tanzania ukizilinganisha na nchi nyingine duniani ambazo zimefunga kabisa usafiri na nchi athirika kwa hofu ya kuenea ugonjwa huu,
nchi kama Urusi ambayo ni mshirika mkubwa wa China imepiga marufuku raia wote kutoka China sababu ya ugonjwa huu ambao aambukizi yake hayaonekani mpaka zipite siku 14, nchi nyingine zilizopiga marufuku kabisa raia wa China ni Australia, Singapore, Iran, Ufilipino, New Zealand n.k
Nchi nyingine zimefika mbali zaidi kwa kupiga marufuku kabisa hata raia wa nchi nyingine ambaye aliwahi kwenda China siku za karibuni
Nchi kama Saudi Arabia imesitisha ibada za Hijja ndogo kutokana na hofu ya maambukizi haya, na inaweza kupiga hata marufuku ya Hijja kubwa
Nchi nyingi za kiarabu pia zimekatisha kabisa safari zake na Iran ambayo ina waathirika ambao hawafiki hata 300 kwa hofu ya ugonjwa huu, lakini Tanzania inaruhusu watalii kutoka China kwenye maambukizi ya takribani 80,000
Countries ban recent travellers from China over coronavirus fears – Business Traveller
A growing number of countries are imposing travel bans on foreign nationals who have travelled to China recently due to the coronavirus outbreakwww.businesstraveller.com
Coronavirus: Russia bans Chinese nationals from entering country
Russia has taken a drastic step over the COVID-19 coronavirus outbreak.www.euronews.com
Iran bans Chinese citizens from entering the country: IRNA
Iran has banned Chinese citizens from entering the country, Iranian state news agency IRNA reported on Thursday, amid the spread of the new coronavirus across the Islamic Republic that had killed 26 Iranians.www.reuters.com
All over the world, countries are imposing travel bans on visitors who’ve been to China
Such bans run counter to official advice from the World Health Organization.qz.com
Nahisi wao wapo sehemu ugonjwa ulipoanziaTumawezaje kupokea watalii toka China ilihali watoto wetu huko tumewasusa?
Nchi gani ya Africa imepiga marufuku raia kutoka china?Ugonjwa wa Corona umezidi kusambaa kwa kasi na kuingia kwenye nchi nyingi duniani licha ya tahadhari kubwa na teknolojia ya hali ya juu ya kuchuja wageni
Baada ya kuona ugon jwa huu haudhibitiki kirahisi sasa imepelekea nchi nyingi kukata mawasiliano kabisa na nchi zenye maambukizi makubwa ya ugonjwa huu kama China, Iran, Italia, Japan na Korea
Hata hivyo Tanzania haina habari, Tanzania imezidi kupokea watalii kutoka China huku ikijidai kuwa haijali raia anatokea wapi kwa kuwa ipo vizuri kwenye kujilinda
Hiki ni kichekesho ukizingatia facilities na teknolojia za Tanzania ukizilinganisha na nchi nyingine duniani ambazo zimefunga kabisa usafiri na nchi athirika kwa hofu ya kuenea ugonjwa huu,
nchi kama Urusi ambayo ni mshirika mkubwa wa China imepiga marufuku raia wote kutoka China sababu ya ugonjwa huu ambao aambukizi yake hayaonekani mpaka zipite siku 14, nchi nyingine zilizopiga marufuku kabisa raia wa China ni Australia, Singapore, Iran, Ufilipino, New Zealand n.k
Nchi nyingine zimefika mbali zaidi kwa kupiga marufuku kabisa hata raia wa nchi nyingine ambaye aliwahi kwenda China siku za karibuni
Nchi kama Saudi Arabia imesitisha ibada za Hijja ndogo kutokana na hofu ya maambukizi haya, na inaweza kupiga hata marufuku ya Hijja kubwa
Nchi nyingi za kiarabu pia zimekatisha kabisa safari zake na Iran ambayo ina waathirika ambao hawafiki hata 300 kwa hofu ya ugonjwa huu, lakini Tanzania inaruhusu watalii kutoka China kwenye maambukizi ya takribani 80,000
Countries ban recent travellers from China over coronavirus fears – Business Traveller
A growing number of countries are imposing travel bans on foreign nationals who have travelled to China recently due to the coronavirus outbreakwww.businesstraveller.com
Coronavirus: Russia bans Chinese nationals from entering country
Russia has taken a drastic step over the COVID-19 coronavirus outbreak.www.euronews.com
Iran bans Chinese citizens from entering the country: IRNA
Iran has banned Chinese citizens from entering the country, Iranian state news agency IRNA reported on Thursday, amid the spread of the new coronavirus across the Islamic Republic that had killed 26 Iranians.www.reuters.com
All over the world, countries are imposing travel bans on visitors who’ve been to China
Such bans run counter to official advice from the World Health Organization.qz.com
Ha ha haaa,ngoja ianzie nyumba nyeupe ndio watajuta.Tumeweza kudhibiti upinzani corona kitu gana bwana!