Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

Hii serekali yangu haipo sereaus hivi ujinga huu tunaufanya tanzania tu mana Japan na nchi zingine wamepata magonjwa sababu ya wageni Nina uhakika kabisa ikitokea amepatikana mgonjwa naiman serekal itaficha ili kuficha aibu ya ujinga walio ufanya Sasa ilo pia liktakua tatizo lingine kubwa kama la Iran walificha ugonjwa kilicho waumbua ni maut

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani tangu lini sirikali ya Fisiemu inawajali ?
 
Wanasiasa wetu ni wapumbavu
 
Hao wakimbizi wa Corona (watalii) wametokea Wuhan? Maana serikali yao imepiga marufuku safari za kuingia na kutoka Wuhan.

Kama ni maeneo mengine ya China ambayo hayajaathirika sana basi huenda lisiwe tatizo kubwa japo ni muhimu kuchukua tahadhari.

Walioondoka Wuhan kabla ya karantini kuwekwa rasmi wamechangia pakubwa kusambaza ugonjwa huo na baadhi yao wanaweza kutia timu huku TZ ikawa mtafutano
 
Kwanza umewai kusikia wapi mtu mwenye ngozi nyeusi anakufa kwa mafua au umewai sikia wapi mtu mweusi aliyeko uko chini amekufa kwa korona zaidi ya kuonekana ana ugonjwa huo lkn hawezi kufa.mtu ametujalia wetu weusi

Sent using Jamii Forums mobile app
Endeleen kujidanganya Kuna mdada mkongoman amesha ukata Sema hawatangazi wanapendelea kuficha ili waendelee kupokea watalii uku wakitoa propaganda kwamba mtu mweus haf kwa korona Sasa sis tujifanye tunapenda hela tuwapokee tu Lakin ikitokea mgonjwa hata mmoja kapatika tz mjue tunapigwa block nchi zote alafu ndio mtasema kwenye majanga utalii unaruhusiwa na akipatikana mgonjwa mmoja mjue hata Kuja mtalii hata mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosema eti Waafrika hawapati huo Ugonjwa wanajidanganya, ona huyu mkameruni aliupata akalazwa hospitali kabisa.

 
Chadema Chadema

Chukua hii kama hoja kwenye kampeni zenu
Huo Sio Uzalendo Mnawezaje kuruhusu Wachina kutalii hali ya kua Mmekataa kuchukua Ndugu zetu watanzania wanaosoma China

Powerfull Countries Zimezuia watu kutoka China
Who are you TANZANIA ?
Tuliopo kwenye kampeni za Maji Safi na Salama, Nyumba Ni Choo nk
 
Huu ugonjwa Inavyosemakana ngoz nyeusi hautupati,had sasa haluna report inayoonyesha mwafrica ngoz nyeus amefariki au kuambukizwa...kuna jambo lakujifunza hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…