Serikali kutodhibiti idadi ya wageni wanaoingia nchini kwa kisingizio cha Utalii, inahatarisha Usalama wa Taifa dhidi ya virusi vya Corona

Hawa wajinga hawajui lolote
Mabogus kama haya ndo hupewa nchi

Hawajui vipimo vinafanyaje kazi yanakazania uongozi na kujifanya yanajua
Kweli mabogus yamo mengi nchini
Yan inachukua kosa dogo tu mlipuko kuenea nchin
Na inatakiwa libogus moja lisimamie


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni huzuni ccm na uongozi wao hapa wamefeli na wamepanga kuangamiza taifa kwa ajili ya pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni upumbavu wa kiwango cha lami, et wanaregister wageni watawamonitor kivipi akishaingia mtaani,
 
Laiti ugonjwa ungeanzia Africa naamini China wasingeruhusu Ngozi nyeusi kukanyaga kwao hata wangekua wanaenda kutalii
Very true nakale kaubaguzi kao, huyu Dr chaula she looks like layman, ngoja ukiibuka huo ugonjwa ndo atakiona cha moto, nchi za Russia, Rwanda, Kenya, Europe wamekataaa kupokea Wachina leo kwa sababu ya njaa zetu unapokea matatizo. Ooo my ass.
 
Serikali ya CCM haijali afya za watanzania kamwe ndiyo maana wameamua kuwaleta wachina waje kuwaua kama Nzige
 
Very true nakale kaubaguzi kao, huyu Dr chaula she looks like layman, ngoja ukiibuka huo ugonjwa ndo atakiona cha moto, nchi za Russia, Rwanda, Kenya, Europe wamekataaa kupokea Wachina leo kwa sababu ya njaa zetu unapokea matatizo. Our my ass.
Njaa za CCM ndiyo zitaliangamiza Taifa
 
CCM haina huruma inapenda pesa za Wachina kuliko Uhai wa watanzania
 
Watanzania wanaenda kuangamia kama Nzige mda si mrefu
 
hatujitambui
Hao siyo watalii, ni wakimbizi wa Corona huko kwao, wanakuja huku kutulia mpaka huko kwao hali iwe shwari, Na you never know wengine wwnaweza kuwa na virusi vya ugonjwa huo
Wote wana corona wamekuja kuwaua watanzania
 
Corona haina namna itaacha kuingia Tanzania kwani idadi kubwa ya Wachina wanaoingia Nchini ni wagonjwa
 
Hello

Hivi karibuni kumezuka ugonjwa wa Corona huko
China mainland ambao umekuwa tishio kwa dunia
sasa. Nchi nyingi sasa ikiwemo India ambayo tumekuwa Tukienda tibiwa kwa magonjwa ambayo huko tiba imeshindikna wameamua kuzuia watu wote wanao tokea China kuingia nchini mwao kwa kuwa wameshaiona hatari kubwa kwa kuwapokea

Sasa nchi yetu ambayo ikitokea kipindu pindu ni mtihani mkubwa, serikali kwa tamaa yenu ya fedha ndogo za utalii tena watalii tokea China sio watalii ambao wanao spend Pesa nyingi.

Naandika habari hii huku moyo wangu na kichwa changu vikiuma kwa kuona kuwa kama watu waliopo China haswa mji wa Wuhan imefikia kipindi hata face mask ziliwaishia ikabidi wananchi wenye vipato waanze agiza tokea huku, je kama China walipata shida ya hizo face mask je ikitokea Corona imetokea Dar es Salaam si itakuwa balaa

Tafadhali serIkali wazuieni watu wote watokao China kuingia nchini kwetu.

Tatizo tunawanyenyekea sana Wachina ! Nadhani kinachotokea Korea kusini mmekisikia, tena kwenye nchi ambayo ipo G20 !

Haya wacha nichemshe maji ya wanangu wakiamka waoge ili waende shule mapema !



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Itabidi tuzuwie na watu wa nchi nyingi duniani wasije, kwani corona kwa sasa hayupo China pekee.

Wacha waje tu. Kifo nini kifo tu iwe cha Corona au Malaria au Ukimwi au kingine chochote kile. Zote ni sababu tu.

Rudini kwa Allah mjisalimishe kwake, kifo tunatembea nacho, usikiogope. Kama si leo, kesho.
 
Mungu hujali watu wanaojijali!!!.
 
Naunga mkono hoja, but it's very unfortunately, beggars can not be chooses!.
when your too poor na kazi yako kubwa is just to beg, wewe you just beg and you can't say no to anything however how small or risky it is, to you its money first, even just a small change, you can't say mo, you just say yes to everything!. Hizi ndizo gharama za umasikini.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…