Serikali kuwaruhusu CHADEMA kuwa na vikundi vya ulinzi ni kuhatarisha usalama wa nchi yetu na kinyume cha sheria.

Serikali kuwaruhusu CHADEMA kuwa na vikundi vya ulinzi ni kuhatarisha usalama wa nchi yetu na kinyume cha sheria.

Mleta mada namhurumia mama yako,kaumia bure wadi ya wazazi.
Hao walinzi wamevunja sheria ipi?
Kwani mtu kujilinda ni kosa?
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Huyu atakuwa ni mmojawapo wa waliomvunja mwamba mguu na......
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Katika makosa makubwa aliyofanya samia ni kuingilia kesi ya mbowe. Ccm watakuja juta. Viongozi wa dini sio watakatifu wengi wanabeba maslahi ya kibeberu. Chadema wameshakua na mentality ya kutaka dola kwa nguvu. Wameaminishwa wanaibiwa kura kwa propaganda zinazoratibiwa na mabeberu kupitia vikundi kama vya kina armsterdam.
Vikundi vya chadema vya kimgambo sio muda vitaanzisha na vitaendeleza hujuma za kigaidi
 
Katika makosa makubwa aliyofanya samia ni kuingilia kesi ya mbowe. Ccm watakuja juta. Viongozi wa dini sio watakatifu wengi wanabeba maslahi ya kibeberu. Chadema wameshkukua na mentality ya kutska dola kwa guvu. Wamwaminishwa wanaibiwa kura kwa propaganda za zinazoratibiwa na mabeberu kupitia vikundi vya kina armsterdam.
Bila shaka utakuwa umetoloka milembe.
 
Green guard ni kikundi cha chama gani?

Sorry mm si mnazi wa chama chochote ila kama hii sheria iwe ina apply hadi kwa ccm
Tena ni watu hatariiii kabisaaa hao.Huwa wanaenda mafunzo China na hupewa Siraha za moto.

Na leo wameonekana wakimlinda Shaka huko Arusha
 
Tena mdogo sn
Maisha yanaenda kasi sana,daaaah
IMG-20220319-WA0021.jpg
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

[emoji116][emoji116][emoji116]

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Maisha yanaenda kasi sana [emoji1787][emoji1787]
IMG-20220319-WA0021.jpg
 
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Watu watatu ndiyo unaita kikundi..
Juzi juzi Lissu aliomba uhakika wa usalama wake akirudi nchini bila shaka ulisikia majibu yaliyotoka. Akiamua kujiundia ulinzi wake binafsi utamkenulia?
 
Ach
Sheria ya vyama vya siasa hapa nchini ipo wazi kabisa kuwa hakuna chama cha siasa kinachopaswa kuwa na makundi yanayojihusisha na masuala ya usalama.

Kifungu cha 8E cha sheria ya vyama vya siasa kimeweka wazi kabisa juu ya hili suala ili kulinda maslahi mapana ya usalama wa taifa letu.

Kuwaacha Chadema wakawa na makomandoo na vikundi vya ulinzi ni hatari kwa taifa letu na huko mbele watazua mtafaruku.

Wazuiliwe mara moja maana huku ni kuvunja sheria za taifa letu

👇👇👇

View attachment 2157029
View attachment 2157030

View attachment 2157031
Acheni hofu nchi inaponywa taratibu, magu hayupo tena duniani.
 
Back
Top Bottom