Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Wasabato akili finyu sana wanang'ang'ania kitu ambacho hawakiwezi.Sahihi mtu akiona kazi haiendani na imani yako aachena nayo
Mfano mtu hajalamishwa kuwa lazima ahudhurie interview
Serikali tukisema waipe ruhusa isimamie torati kama ilivyo kwa wanaoitaka wote wanaishia jera kwa kuivunja.
Ni sawa na Serikali isimamie Sharia Law ya dini ya kiislam wote wataishia jera kwa kuivunja.