Serikali kuweka siku ya jumamosi kuwa siku ya Usaili ni kuwakosea Haki Wahitimu waumini wa kisabato

Sahihi mtu akiona kazi haiendani na imani yako aachena nayo

Mfano mtu hajalamishwa kuwa lazima ahudhurie interview
Wasabato akili finyu sana wanang'ang'ania kitu ambacho hawakiwezi.

Serikali tukisema waipe ruhusa isimamie torati kama ilivyo kwa wanaoitaka wote wanaishia jera kwa kuivunja.

Ni sawa na Serikali isimamie Sharia Law ya dini ya kiislam wote wataishia jera kwa kuivunja.
 
Hawa Wasabato waliwahi kuwa deregisterd pale SAUT kipindi cha VC Father Dk. Kitima na DVCA (Sasa Baba Askofu) Dk. Bernidine Mfumbusa walipokataa kufanya mitihani yao ya UE siku ya Jumamosi!
Sidhani kama ni fahari kutamba kuwaumiza watu wa Imani nyingine kwa sababu tu wamesimamia misingi ya Imani yao,, na umewataja kabisa waliohusika kuwasitishia masomo. Huyo Padri alipata faida gani. Serikali inatakiwa kulizingatia hili.
 

Kwani kasema serikali Ina dini?

Serikali inatokana na watu wenye dini na wasio na dini.
Serikali lazima itende Haki kwa Watu wake hao licha ya tofauti Zao.

Porojo unazileta wewe hapa
 
Nimewaambia watumie common sense plus fikra tunduizi kuwa kuna ushahidi wowote wa kimaandiko kuwa Mungu anataja majina ya siku au kikundi na tabaka la watu fulani wachache lilikaa na kuamua??
Atoe kwenye biblia hata mstari mmoja unatamka neno jumamosi kuwa ndio siku.ya sabato

Popote panaposema Jumamosi
 

Umetumia Akiba ya Akili uliyobakiwa nayo kutumia neno " nadhani"

Nakupongeza
 
lakini kutwa humu.huwa unaanfika mambo ya wanawake
Jamaa ana matatizo ya saikolojia kuhusu wanawake coz kuna siku alipanda usafiri wa umma na demu wake, akaja humu kuongelea! Ndiyo nikasema hili bonge la boya plus ushamba na ulimbukeni!
 

Huelewi unachokizungumza.

Unajua Moja ya chanzo cha baadhi ya Makundi dini kutaka kuanzisha nchi Zao ni pamoja na Hoja uliyoieleza?
Unafikiri serikali inapotoa Uhuru wa kuabudu ni wajinga?

Waliotunga hayo mambo walikuwa mbele yako maili elfu
 
Pole Yao.
Serikali iliangalie Jambo hilo
Acha upumbavu mkuu hizi dini tulizaliwa tukazikuta embu tuwe na kiasi na tuache ubinafsi. Ninyi mkilalamika hivyo je vipi wenzenu wanao swali na kuabudu jumapili na ijumaa?.


Wasabato always mnakuwaga na matatizo sana. Huwa mnahisi kuwa nyinyi ni wajuzi sana wa mambo lakini kumbe wengi wenu mnaendeshwa na mihemko tu. Hopeless.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…