Serikali mnataka tufanye kazi gani?

Chek hi life cycle mkuu

Upo chuo
Kutokana na ugumu wa life waliopitia ma broo zako walio maliza unaona bora ujiwekee na kufanya biashara mbali mbali ukiwa chuo ili ukimaliza kidogo utoke na capital

Unamaliza chuo
Unakuja mtaani unakutana na issue mbali mbali. Unasema its oky unapambana nazo...
Lakini hapo hapo unakutana na mambo un normal kama haya ambayo yanakufanya ukate tamaa kabisa

Hapo unajiuliza ufanye nini sasa maana hata kama ni mambo ya makodi mara ma vibari kwanini wasiwe wanangalia scale ya mtu either ni large or small...
Hawaangalii time ya wewe pale ulipo...
Even income yako per day....

Why wanafanya hvi
 
Toka leo uanze kuibia watu kama fasta huvishwi tairi.
 
Mkuu fanya biashara za magendo ndio njia pekee ya kutoka, Viongozi wenyewe wanafanya magendo kwa kutuibia pesa zetu za umma.
 
Pole kijana,yepi yamekukuta?wana laana hawa watu,ila mungu anawatia adabu siunaona wanavyopukutika kila uchao,wengine wana mauvimbe katikati ya matundu yao ya haja
Manina zao yaani wale mi nikiwekwa nao chamber moja mi na wao tuu tu dael physical yule mzee namtoa utumbo
 
Mkuu fanya biashara za magendo ndio njia pekee ya kutoka, Viongozi wenyewe wanafanya magendo kwa kutuibia pesa zetu za umma.
I will mkuu..
Tunapielekea..
Mara kumi nishikwe na kesi ngumu ila sio mi napelekwa jela et kwa kesi ya sijui kibari kimefanyaje daaah
 
huana haja ya kuiba kuona wovu, wala kutamani au kudokoa mali ya wenyewe, watakupoteza bure tu

kilimo, ufugaji na biashara ni ajira za wazi, mtatiji ikiwa ni uthubutu, nguvu na bidii yako tu unatoboa maisha kiulaini sana
Shetani katika ubora wako.
Agent Green Guard.
 
Hizi biashara za kijinga wachie wanyonge, fanya biashara ngumu
Haya mambo yanaanzaga hvi hvi tuu..
Nakumbuka mama alinambia ka vipi niende Mozambique tuu huku bongo jau..

Sasa huko mi nikienda na kichwa changu hiki naweza fanya makubwa.
kutafta for family is better no matter what mkuu ..

Nafikilia hili
 
hapo uwelewe mufumo..kisha ukwepe mfumo baada ya hapo kaa mbali na mfumo

amka na nguvu mpya biashara inataka roho ngumu kijana
Daaah acha tuu kuna watu unacheka nao ila mda ule nipo na hawa watu kila mtu alikua kimyaaaa
 
Ukiingia mtaani kuiba, kukaba na kufanya mambo ya ovyo sawa, ila omba wananchi unaowaibia, kuwakaba na kuwafanyia mambo ya ovyo wasikubananishe. Ila mimi naomba sana wakubananishe tena wakiwa na mafuta ya petroli na kiberiti! Ahahahahaha!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…