Mimi nimeenda kupima vipimo na dr wa kiume pembeni yangu alikuwepo nurse mwanamke, na Hadi kwenda theatre hyo ni lazima nurse wa kike awepo na hyo ya kuchunguliwa haina mashikoMkuu ili haya yasiwe madai tuwekee ushahidi hapa wa hayo uliyoyasema ili tupate faida isiwe inaishia kwemye kudai tu mkuu
Atakuwa hajui labda hajawahi kwenda hospital na anasikiliza story za vijiweni Ila Dr akiwa anafanya Jambo la vipimo, kupima sijui nini nurse wa kike yupo pembeniUlikuwa wap kumuelekeza ndugu yetu mpka anakurupuka ivooo
Ulikuwa Unaumwa Kweli? Hisia Zinatoka Wapi Hapo..Hahaha Dada Alikuwa SahihiAisee mi napenda kuhudumiwa dr wa kike....
Nakumbuka mwaka 2010 nilienda hospitali moja kkoo nko na ishu flani sehemu nyeti kavaa gloves zake akawa ananikagua mnara ukaanza kusoma kwa mbali akaniambia acha umalaya wewe[emoji23][emoji23]
Hiyo ni conflict of interest.Atakuja dr mwengine wa kiume atamzalisha mama wa huyo dr.Hivi umeelewa hoja ya mtoa mada?
Mtoa mada analalamika mgonjwa kutibiwa na dk asiye wa jinsia wa jinsia yake wewe unasema sheria zipo zinataka kama mgonjwa ni ke na dr ni me basi awepo na dr/nesi wa kike,sasa huyo nesi wa kike atazuia vp dr wa kiume kumchungulia mgonjwa?
Hio sheria kama ipo basi itasaidia unyanyasaji wakijinsia ila mambo mengine kama kuchungulia hio sheria itasaidia vipi?
Nikuulize swali,hivi endapo ikitokea mama wa dr wa kiume ni mjamzito je huyu dr wa kiume anaweza kumzalisha mama yake chini ya uwepo wa dr/nesi wa kike?
Kwavyovyote dr ataomba ma dr wenzake wamzalishe mama yake kwani kwa utamaduni wakiafrika sio heshima.
Sasa inakiwaje vi dr vidogo vinapata ujasiri wakuchungulia wamama wenye rika sawa na mama zao?
Aloleta uzi katika ukoo wao hakuna hata daktari anajua ni kama vile unaiokota tu udaktari asomeshe wake zake sasa wawe madaktariUzi mbovu kuliko
Dr ndo wanaongoza kupendwa na wamama wanaokuja kujifungua .hawapendi manurse coz wana lalama hawana huruma, wanawafinya na mengineyo ambayo sina ushahidi kama kesi ya mzazi ikiwa ngumu wakati anajifungua mama mjamzito lazima aitwe daktari kuisolve tatizo sasa huyu ana bwabwaja ovyo na dada yake kakimbia sayansi kaenda arts anataka ifanyike anavyo waza yyAtakuwa hajui labda hajawahi kwenda hospital na anasikiliza story za vijiweni Ila Dr akiwa anafanya Jambo la vipimo, kupima sijui nini nurse wa kike yupo pembeni
Kuwepo nesi wa kike pembeni bado sio ishu.Mimi nimeenda kupima vipimo na dr wa kiume pembeni yangu alikuwepo nurse mwanamke, na Hadi kwenda theatre hyo ni lazima nurse wa kike awepo na hyo ya kuchunguliwa haina mashiko
Mkuu sio kweli kwamba hospitali zote hufanya hivyo.Atakuwa hajui labda hajawahi kwenda hospital na anasikiliza story za vijiweni Ila Dr akiwa anafanya Jambo la vipimo, kupima sijui nini nurse wa kike yupo pembeni
Hilo ni tatizo,haiwezekani kwenye kazi zingine jinsia ziangaliwe alafu katika udaktari jinsia isiangaliwe it's totally wrong.Kigezo kinachoangaliwa pale ni ujuzi na sio jinsia
Solution ya kudumu ni kuzalisha madaktari wengi wa kike ambao nao watakuwa na ujuzi.Anaweza akawa daktari jinsia ya kiume ndio ana weledi na hiyo kazi kuliko hawa assistant nurse ambao kazi yao ni kufuata maelekezo nini wafanye kutoka kwa huyo daktari bingwa.
Labda niseme kuwa hukuelewa uzi,na hili ni tatizo la sisi wana jf.Sasa We utakubali kumuacha dada yako au mama yako asifanyiwe operation azae eti kwasababu ya daktari kua ni mwanaume?
Hapo ukisoma utagundua nimemaanisha kuwa hospitali ama sehemu ambazo hazina daktari jinsia sawa na mgonjwa basi sijasema kuwa asitibiwe.Yani utakuta hospitali kuna madaktari wa jinsia nyingi lskini mwanamke anatibiwa na mwanaume au kinyume chake.
Serikali isomeshe watoto wengi wa kike ili kuja kuepusha hii aibu,ipunguze vigezo vya kusomea udaktari kwa mwanamke hasa kwa mambo ya kawaida haya ambayo hayahitaji kujitoa sana wanawake wasomeshwe waje kuzalisha wanawake wenzao.
Wewe ni mtu mpumbavu sana kuwahi kutokea.Wakuu naomba niipongeze serikali kwa jitihada zake inazofanya katika kuhakikisha ile heshima ya jinsia zote inalindwa.
Tukiangalia katika majeshi hasa jeshi la polisi utakuta kuna askari wa kike ambao kama itatokea muhalifu ni mwanamke basi askari yule hakuajiriwa kwa bahati mbaya bali hiyo itakuwa ni kazi yake kumpekua sehemu za mwili wake.
Hali kadhaalika mwanaume atapekuliwa na askari wa kiume katika kulinda heshima.
Hata mashuleni kuna waalimu wa kike kibao ambao wao watashughulikia masuala mbali mbali ya wanafunzi wa kike.
Mbona sioni suala hili la kuheshimu jinsia na kulinda heshima ya mtu likifanyika na kusisitizwa katika kada ya afya ?
Kwa nini isiwe kosa daktari wa kumtibia mgonjwa wa jinsia tofauti na yeye ikiwa katika hospitali hiyo ama maeneo hayo kuna daktari mwenye jinsia sawa na mgonjwa ?
Kama ambavyo polisi haruhusiwi kumfanyia upekuzi wa mwili mtu wa jinsia isiyekuwa yake wakati wa jinsia yake wakiwa pale hii ni kosa,vipi isiwe kosa katika hii kada ya afya ?
Yani utakuta hospitali kuna madaktari wa jinsia nyingi lskini mwanamke anatibiwa na mwanaume au kinyume chake.
Serikali isomeshe watoto wengi wa kike ili kuja kuepusha hii aibu,ipunguze vigezo vya kusomea udaktari kwa mwanamke hasa kwa mambo ya kawaida haya ambayo hayahitaji kujitoa sana wanawake wasomeshwe waje kuzalisha wanawake wenzao.
Chumba cha kuzalisha kuna madaktari wa kike watano na wa kiume mmoja,huyu wa kiume anatafuta nini,kwa nini isiwe kosa kisheria?
Kumbe na wewe ni mjinga hivi...Moja kat ya uzi bora kabisa kuwahi kutokea JF
Waeleze hawa vilaza wa nchi ya TanzaniaMimi nimeenda kupima vipimo na dr wa kiume pembeni yangu alikuwepo nurse mwanamke, na Hadi kwenda theatre hyo ni lazima nurse wa kike awepo na hyo ya kuchunguliwa haina mashiko