Hilo ni tatizo,haiwezekani kwenye kazi zingine jinsia ziangaliwe alafu katika udaktari jinsia isiangaliwe it's totally wrong.
kwani mzee katiba ya tz kisheria inasemaje raia akifanya kosa ? si inasema ashtakiwe au?
lakini katiba hiyo hiyo imempa immunity raisi kwamba hatakiwi kushtakiwa kivyovyote vile na hata akitoka madarakani hupaswi kumshtaki kwa makosa aliyoyafanya akiwa raisi
swala la afya ni swala nyeti lenye kushughulika kuhakikisha uhai wetu unaimarika ipasavyo, huku gender it does not matter usitumie itifaki za "ujinsia" kwenye mambo ya afya.
Iamagine katika upolisi jinsia hutazamwa ndio maana polisi wa kike atamfanyia upekuzi mtuhumiwa wa kike pekee,mbona hapa haisemwi kuwa kinachoangaliwa ni ujuzi wa kupekua tu hivyo hata mwanaume apekue tu pale na jinsia inaangaliwa ?
sasa upolisi unafikiri unahitaji taaluma yeyote ya kibailojia?
kwani kuna polisi maalumu kutoka kitengo cha kupekua ambaye amekua trained special kwa kazi hiyo au ni gender tu ndiyo kigezo?
hivi unafikiri huyo mpekuzi akiwa huko mafunzoni anafundishwa namna ya kuwapekua watu wenye jinsia kama yake?
hospitali kuna mtu anaitwa "Obstetrician" huyu kakaa shuleni miaka zaidi ya miaka zaidi ya minne akis mfumo mzima wa uzazi wa mwanamke kuanzia mimba, mpaka kuzalisha. huyu amegraduate kwenye medical school kashapata ujuzi na anaenda hosipali kulipwa mshahara kwa kazi hiyo hiyo tofauti na mwela mshika kirungu ambaye mostly ni form four failures
Ujuzi lazima uendane na jinsia huu ndo ustaarabu,linapofika suala la kutibu jinsia lazima iangaliwe nayo.
hapa ndio unatumia hisia kuliko uhalisia.
ikiwa wanafunzi wa jinsia hiyo ambao wanapaswa kushugulika na wagonjwa wa kike hawaja-qualify kupata huo ujuzi utawalazimisha waingie kwenye majukumu ambayo hawana uwezo wa kuyamudu?
Solution ya kudumu ni kuzalisha madaktari wengi wa kike ambao nao watakuwa na ujuzi.
wengi wanakua ni nurse assistant, yani kama fundi msaidizi wa ujenzi ambaye hufanya kile anachoagizwa na fundi mkuu wake kutokana na kutokua na taaluma ya ujenzi.
Akini hasa hasa uzi wangu ulilenga hospitali ambazo madaktari wa kike wapo lakini wanaume ndo huwa wanatibu hata wale wagonjwa wa kike.\
ishu sio kuwepo, ishu ni ujuzi wa taaluma husika. kwa mfano imetokea kaja mgonjwa anatakiwa afanyiwe operation ya na titi ukicheki around kuna ma-nurse ambao kimsingi hawana taaluma halafu kukawa na daktari wa kiume mwenye ujuzi wa hilo tatizo je utalazimika kurudi na mgonjwa nyumbani ?
Ikiwa ugonjwa huo anaeweza kutibu ni dokta wa jinsia tofauti na mgonjwa basi uzi wangu wala haukukataa kutibiwa.
na hiyo ita conclude kua gender doesn't matter on health services, kwahiyo utajikuta point nzima ya kulalamikia madaktari kuhudumia wagonjwa wenye jinsia tofauti na yao ni invalid
Labda niseme kuwa hukuelewa uzi,na hili ni tatizo la sisi wana jf.
nimeuelewa from the top to the bottom
Kumbuka niliposema 👇👇
Yani utakuta hospitali kuna madaktari wa jinsia nyingi lskini mwanamke anatibiwa na mwanaume au kinyume chake.
Serikali isomeshe watoto wengi wa kike ili kuja kuepusha hii aibu,ipunguze vigezo vya kusomea udaktari kwa mwanamke hasa kwa mambo ya kawaida haya ambayo hayahitaji kujitoa sana wanawake wasomeshwe waje kuzalisha wanawake wenzao.
kwani serikali haisomeshi watoto wa kike? mbona ndio wanaotuongoza kwenye matokeo kitaifa kila mwaka?
ishu ya udaktari ni persona interest, unaweza kuwapata maelfu ya wanawake wasomi na wenye ufaulu mzuri lakini katika hao ni wachache tu ndio wakawa attractive na udaktari. na katika hao watao chagua udaktari ukapata kundi lenye kujigawa tena wengine wakawa madaktari wa mifugo
Hapo ukisoma utagundua nimemaanisha kuwa hospitali ama sehemu ambazo hazina daktari jinsia sawa na mgonjwa basi sijasema kuwa asitibiwe.
najua hukumaanisha hivyo ila kutumia protocols za police kuhusu gender kwenye swala nyeti la afya hapo ndio wasiwasi wangu ulipokua
Na kusomesha watoto wa kike wengi ni solution ambayo nimeitoa ili hata mama yangu au ndugu yangu akitaka kufanyiwa operation basi amkutedaktari wa kike ambaye yuko na utaalamu huo.
na ndio maana nimekuambia haya mambo yana base sana kwenye interest binafsi, kwa mfano hata katika shule uliyosoma kulikua na wanafunzi wangapi darasani mwenu ambao walikua science taker?
wanawake wengi ni wasomi tena sana (mpaka wanaume) ila usomi wao asilimia kubwa ni katika masomo sanaa. na hawa pia kumbuka ni wasomi hatuwezi kuwaita sio wasomi eti kwakua hawaja chagua masomo ya sayansi wakati mfumo wa kielimu umetoa uhuru kila mwanafunzi kuchagua mchepuo autakaye.
na kumbuka hauwezi kuwashurutisha wasome masomo ambayo wao wameona yanawazidi uwezo eti kwakua sector fulani inahitaji watu wengi zaidi
Kuna hospitali moja iko ilala pale kuna mama mmoja ni mtaalamu mzuuri tu anazalisha na kufanya operation kubwa tu,huyu kaweza kuwa mtaalamu na wengine pia wanaweza ni jambo la kuwekeza juhudi tu
wengi wa hivyo wapo ila ku-balance kwamba kila hospitali hususani hizi za hospitali kwamba iwe na madokta bingwa wa jinsia tofauti zaidi mmoja ndio kasheshe
huyo mama haishii kwa wanawake tu mpaka tohara kwa watu wazima anawafanyia