Serikali: Sasa ni ruksa kusafirisha wanyama nje ya nchi

Acha ujinga. Wanyama huwa wanaongezeka Sana hivyo huhitaji kuvunwa. Wakivunwa wakauzwe huko duniani. Wewe wa Kantalamba huko huna hata faida kwenye mbuga kwenyewe huwa huendi
Wanyama wakiongezeka - maduka ya nyama pori yamepotelea wapi? Ulaji wa nyama pori unaweza kuwa kivutio cha utalii nchini, huko wanakopelekwa nje ya nchi - labda wanaenda kuliwa kama chakula adimu na kivutio cha utalii huko nchi za wenzetu! Hii iwe fursa kwa Watanzania kula nyama pori.
 
Hata kinana alipata hasara kuvuna tembo naye apewe kibali amalizie kusafirisha mzigo wake
 
Sheria ilitugwa 2009 wewe unaona imetugwa Leo?.Na unaelewa nini ukisikia ruhusa imetolewa ya miezi 6 tu?.Ulitaka hao wafanya biashara ambao tayari zuio la Magufuli lilikuja wakati tayari kwenye vitalu vyao kuna wanyama, wawapeleke wapi na ili hali serikali haikuwa tayari kuwachukua wanyama hao na kuwarudishia wafanya biashara gharama zao?.
 
Hujaelewa nina maana gani.
 
Dah! Sasa mbona tena mama anatuvua nguo watetezi wake? Maana nilianza kumpenda kumbe dah yajayo yanafurahisha.
SGR dar - moro iko asilimia 98 itaanza kaxi mwaka 2025.
Bwala la nyerere liaanza kazi mwaka 2030.
Daraja la busisi litaanza kazi mwaka 2027.
Riziwani kikwete atakuwa waziri mkuu mwaka 2025.
Mbowe atakuwa makamu wa pili wa Rais mwaka 2025.
Kuwa mpole mkuu bado maza ajakuvua nguo ndio anaanza sasa
 
Hata kinana alipata hasara kuvuna tembo naye apewe kibali amalizie kusafirisha mzigo wake
Ndiyo apewe.Ingekuwa wewe ni sehemu ya muhathika wa hili,ungeona ni sawa tu kupoteza milioni zako kadhaa ili hali ilifuata sheria ya kupata hicho kibali?.
 
Huyo mjinga hajui hata hao tausi na sisi pia tulipewa zawadi? Hii mitoto inayotokana na zao lakifisadi imelaaniwa haijitambui kabisa
MATAGA mna shida mmeumia kusafirisha wanyama huku hamuoni upumbavu mnaofanya wa kuiba kura mchana kweupe.

Cursed minds.
 
J
Meli yake ishafanyiwa service ya nguvu ipo tayari kwa utekelezaji
Jamaa ni shida sana kwenye tembo. Kuna kundi la wasomali liko arusha na linaishi njiro karibu na kwa bwana yule.
Ila wana sura inayofanana naye bwana yule. Sasa kuna makontena yanafungwa huko njiro serikali fuatilieni.
 
Ngoja mama watafutie hela
Mkiongezwa posho mnashangilia
Wakiajiri mnashangilia
Mkiongezwa mishahara mnashangilia
Wanafunzi wote wakipatiwA mikopo ya elimu ya juu mnashangilia

Sasa pesa zinatoka wapi?

Je ni bora kuwa na wanayama maporini huku mnakufa njaa?
Kwamba Mnyamapori azeeke hadi ajifie ndo tufurahi?

Wauzwe tupate pesa!
Hii ni biashara na watu watapata pesa.

Maisha ni biashara, biashara yenye akili.
Siyo kupinga tuu under Emotional attacks.

Mama piga kazi
 
J

Jamaa ni shida sana kwenye tembo. Kuna kundi la wasomali liko arusha na linaishi njiro karibu na kwa bwana yule.
Ila wana sura inayofanana naye bwana yule. Sasa kuna makontena yanafungwa huko njiro serikali fuatilieni.
Wasomali kwa biashara za magendo ndo wenyewe wanazijua border zote za kupitisha magendo.

Kariakoo niliwaona wanatumia school bus wamejaza lap top na computer equipments wanapakua kwenye store zao
 
Re- again
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…