Serikali toeni hizo Combination za Dini hii siyo nchi ya kidini

Sawa nimeandika maoni yangu kama msomi nisiyependa taifa letu liweke mambo imani ya ukristo au uislam kwenye mambo ya kiserikali ni hatari mno ... naamini watu wenye nia njema wameona hili ila hawana la kufanya....
aliekuambia wewe ni msomi nani?
 
Wewe ni mpumbavu na hujui unachokiongea. Vyuo vikuu maarufu huko Ulaya vinatoa digrii za masomo ya dini wewe kilaza uliye huku mwishoni mwa dunia ndiyo uhoji kama nani?
 
Ndo maana pwani ya africa mashiriki hakuna maendeleo sababu ya watu kama wewe
Hatuwezi kusikiliza wapumbavu kama wewe ,hakuna kitu utafanya kwa uoga wako...Atheist wengi hamjitambui ,kama huamini si uache.
Wafanyakzi wa serikali mpaka Raisi ana dini ,wewe kajamba 8 nenda kweny nchi zenye Atheists wenzio.!
 
Wewe ni mpumbavu na hujui unachokiongea. Vyuo vikuu maarufu huko Ulaya vinatoa digrii za masomo ya dini wewe kilaza uliye huku mwishoni mwa dunia ndiyo uhoji kama nani?
Kwenye shule za umma kulitakiwa kuwe na Religious studies, wanafunzi wajifunze kuhusu dini zote, sio kusoma kidini kama kanisani au msikitini.
 
kama mtaala unao boreshwa ndo huu Bora tubaki na wazaman tumetoka kwny technical school zeny electrical, mechanic,plumbing, drawings na computer tunaenda kwenye divinity na Islamic
Inasikitisha sana
 
Wewe ni mpumbavu sana. Hakuna mwalimu wa dini anayelipwa na Serikali. Walimu wa dini wanaofundisha kwenye shule za msingi na sekondari wanalipwa na madhehebu yao husika na wala siyo waajiriwa wa Serikali. Ama kama inakuuma kuona kwamba Serikali italazimika kuajiri walimu wa kufundisha lugha ya Kiarabu mashuleni tambua kuwa Kiarabu si dini na lugha tu iliyokuwepo kabla hata ya Uislam. Kuna Wakristo kibao ni wajuzi wa lugha ya Kiarabu na wanaweza kuajiriwa pia kufundisha somo hilo. Mbona huhoji walimu wanaofundisha Kiingereza na Kifaransa mashuleni?
 
Kwenye shule za umma kulitakiwa kuwe na Religious studies, wanafunzi wajifunze kuhusu dini zote, sio kusoma kidini kama kanisani au msikitini.
Huo utaratibu viongozi wa dini zote waliukataa. Muislam wa kweli na Mkristo wa kweli hawawezi kukubali watoto wao wafundishwe dini tofauti na zao. Kingine masomo ya dini ni hiyari nyie povu linawatoka la nini?
 
Acha utoto na ujinga wewe.Hayo masomo yapo zamani na hayajawahi kuleta shida.
 
Kwenye shule za umma kulitakiwa kuwe na Religious studies, wanafunzi wajifunze kuhusu dini zote, sio kusoma kidini kama kanisani au msikitini.
Pia masomo hayo ni optional sio lazima ,waweke tu fresh anayetaka fresh ..

Sioni haja eti kupinga kwa sababu serikali sawa haina dini ila wananchi wake wana dini ..
 
Wapi nimeandika malipo au wanalipwa na serikali? Bora wangelipwa na serikali wafundishe dini sehemu stahiki ...ila ili la dini kwenye shule za serikali ni kosa kubwa sana
 
Wapi nimeandika malipo au wanalipwa na serikali? Bora wangelipwa na serikali wafundishe dini sehemu stahiki ...ila ili la dini kwenye shule za serikali ni kosa kubwa sana
Hebu ainisha hilo kosa kisheria lipo wapi?
 
Islamic..... islamic........ islamic........ arabic....... arabic ...........islamic.......divinity toeni ujinga huu kwenye mitaala, mambo ya udini hayata kaa kulikomboa taifa hili kwenye umaskini

bado dini zenyewe hazilipi kodi sasa si mnazalisha wachungaji na mashehe wengi baadae wakajifiche huko wasilipe kodi?? tuondoe udini kwenye mambo ya maana, China hawana upuuzi huu ndo mana lile taifa limeendelea tunaagiza mpaka stiki za meno kutoka kwao.
 
Ni option sio lazima ... Uhuru wa kuchagua anachopenda mtoto au mzazi
 
Na ulimwengu wa sasa wa kuhalalisha ushoga ..naipongeza serikali kwa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…