DOKEZO Serikali tusaidieni wananchi, magari yanayouzwa kwenye yard za Wapakistan mitaa ya Morocco na Victoria ni mabovu sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Simu nyingi zina option ukifuta picha kuna sehemu zinakaa kwa muda au walikuwa wajanja wakafuta mpaka huko?
 
Kabisa, yaani ushawapa police Chaka
 
Mzee alinunua land cruiser ila mpaka Sasa ashakua fundi garage🤣🤣 jinsi Chuma inavomsumbua ni miaka kama SITA ila bado anaishi nayo
Mzee anafanya makosa makubwa ya kiufundi ndiyo maana linakuwa ni "spana mkononi".

Hilo akilipeleka gereji zenye kueleweka mbona atapumzika?

Ila kabla ya kulipeleka ajipange kwanza kiuchumi.

Kuna watu wananunua magari ya minada yaliyotumika hadi yakashindikana kwenye mataasisi huko na hayatembei.

wakishakuyanunua huyapeleka kwenye gereji mahsusi zenye kuaminika ili kuyafufua.

Yakishafika gereji hukaguliwa magonjwa pamoja na mapungufu kisha kununuliwa genuin spare parts na kufungwa na kurudi barabarani kama kawaida.

Sembuse gari amenunua yard limsumbue!
 
Wewe mtoa mada,hao wauza magari na Serikali yenu wote wezi.Wewe kwa kukubali rushwa na kuwaacha hao maana yake umeendele kuleo huo ujinga na watu wengi wataendelea kuumia.

Ningekyona wa maana kama ungesema yard XXX inafanya XXX watu waende kuchukua hatua,kwa kuficha nina la yard huna tofauti na uovu wanaufanya hao
 
Kuwa tajiri siyo mchezo .mpk mtu amemiliki Mali Tanzania ujue kafanya sarakasi nyingi Sana, period

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ngoja mtaalam wa vyombo vya moto
Aje akupe ufafanuzi..
Any way ushambiwa gari used au reconditioned ,lazima utakutana na kasoro mkuu
RRONDO

Ova
 
Tanzania yenye watu kama wewe itazidi kuwa na matatizo tu, kwa sababu watu wenyewe hamjawa na nia thabiti ya kuyamaliza hayo matatizo.

Mna kisebusebu na kiroho papo.

Huna haki ya kulalamika, ushakula rushwa.
Haya umemaliza hamu zako?
 
Miye na Japani damu damu,na hivi sina utaalamu aaanh Beforward mko wapi? Nachukua mkebe wangu nduki.
 
Usikute huo ujanja wa kuchezea odometer wamefundishwa na wabongo, maana ana ujanja wa uharibifu na sio wa ubunifu
Nakumbuka juzi TRA wakati wanatoa training ya UPGRADED E FILLING SYSTEM mkufunzi alisema "najua kuna watu wamekuja ili kuijua system na kuichezea kufanya uharibifu
Tafadhini acheni"
Sisi ndo wabongo bwana.
 
Unaijuwa mishahara ya askari?
 
Ukinunuwa gari mbovu towa engine weka engine nyingine used shughuri imekwisha.

Siku hizi Kwa mafundi inatakiwa uende kufanya service tu siyo kutafuta ugonjwa wa gari.
 
Bado ninajiuliza kimaadili, hiyo millioni mliipokea ni ya kazi gani!

Tusipigie kelele mambo tunayoyahusudu na kuyatenda.
Mtu anakula rushwa kuficha ushahidi, akishirikiana na matapeli.

Halafu anailalamikia serikali imsaidie.

Serikali itakusaidia vipi wakati ushakula rushwa kuharibu ushahidi?

Hao ndiyo wabongo wengi walivyo.

Contradictions.
 
tatizo ccm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…