Serikali: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na Masomo katika mfumo rasmi

Serikali: Wanafunzi waliopata mimba kuendelea na Masomo katika mfumo rasmi

Sheria inasema kumchakaza "Minor" ni sawa na ubakaji, na ubakaji hukumu yake ni miaka 30. But hakuna sheria inayosema mtoto wa kike akipata mimba asirudi shule baada ya kumaliza mambo ya uzazi
Sheria ya shule zote tz inasema kujihusisha na ngono ni kosa la kufukuzwa shule, kwa hio kupata Mimba ni ushahidi kuwa mwanafunzi alikuwa anafanya ngono, Sasa hii Sheria inabidi ifutwe
 
Miss Tanzania..

Ukipewa hii nchi ukashindwa kuiongoza utakuwa kilaza wa mwisho duniani!
 
Three different stances on one issue by one government
  • Ilisemwa mwanzoni mwanafunzi akishapata ujauzito basi akae nyumbani alee mtoto
  • WB wakabana tukasema wataendelea lakini si kwa mfumo maalum watasoma kwa utaratibu maalum ambao mpaka leo haujaelezwa
  • Leo tena nasikia watasoma kwa utaratibu wakawaida
  • kesho watasemaje?

..waliposema wajawazito watasoma kwa utaratibu maalum maana yake huko chini kulishalowa.

..kwamba sasa wameamua wajawazito warudi mashuleni maana yake wamepanua ni wakati wa kuingiza.

NB.

..utaratibu maalum ungeleta changamoto za KIBAJETI ndio maana wamelazimika kuwarudisha ktk shule za kawaida.
 
Mnaangalia upande moja tu, badala ya kukazana na maadili mnawaza kurudisha watoto mashuleni hamjui kuwa itavuruga maadili?

Angalau wangesema wataboresha miundo mbinu na kuzuia mimba za kabla ya wakati...Siungi mkono hili wala sipo kwenye hili...Huwezi kuhlalisha wizi eti kwakua mwizi ni mhitaji what kind of society are we building? Hao wakizungu watoto wao wanabeba mimba shuleni?
Kumrudisha mtoto shule kunazuia kufundisha maadili?
Au wewe unafurahia nini huyu mtoto anaponyimwa fursa ya elimu?
 
Ilikuwa ujinga mtu kupata mimba alafu asitishwe masomo,,yaani utngeneze wajinga katika jamii eti kisa walibeba mimba,,,,kwani mtu akizaa anakalia madawati mawili badala ya moja!!!? Yaani watu walitumia desturi za makabila yao wakazigeuza kuwa sera za Taifa. Japo si vema watoto kubeba mimba mapema lkn kunyang'anywa haki ya elimu sio uamuzi sahihi
 
Safi sana namuunga mkono waziri.

Hakuna uhusiano wowote wa kupata mimba na kushindwa kusoma. Vijana warudi shule, wasome waelimike, elimu iwasaidie wao na watoto wao na nchi kiujumla.

Hatuwezi sisi kama Taifa kupambana na umasikini na ujinga kwa kufukuza watu shule.

Mimba siyo ugonjwa, ni njia tu ya kuongeza binadamu duniani
 
Waziri aende mbali zaidi, wanafunzi wakipeana mimba wote wabaki shule, kumrudisha binti peke yake si sawa, wanaharakati naona wanaangalia mabinti tu...............ikiwa wote wametenda kosa na ni wanafunzi basi wote wabaki shule................
 
Ilikuwa ujinga mtu kupata mimba alafu asitishwe masomo,,yaani utngeneze wajinga katika jamii eti kisa walibeba mimba,,,,kwani mtu akizaa anakalia madawati mawili badala ya moja!!!? Yaani watu walitumia desturi za makabila yao wakazigeuza kuwa sera za Taifa. Japo si vema watoto kubeba mimba mapema lkn kunyang'anywa haki ya elimu sio uamuzi sahihi
Piganieni na kijana anayempa mimba mwanafunzi mwenzake nayeye abaki shuleni, maana wote walitenda kosa sawa
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Waziri aende mbali zaidi, wanafunzi wakipeana mimba wote wabaki shule, kumrudisha binti peke yake si sawa, wanaharakati naona wanaangalia mabinti tu...............ikiwa wote wametenda kosa na ni wanafunzi basi wote wabaki shule................
Kosa la kumpa mimba mwanafunzi huwa linawagusa hata vijana wa kiume under 18? Kama unafahamu hili tufafanulie
 
Kosa la kumpa mimba mwanafunzi huwa linawagusa hata vijana wa kiume under 18? Kama unafahamu hili tufafanulie
Yes zipo kesi nyingi tu, kuna dogo alikuwa anasoma form 2 yupo jela kwa kumpa mimba mwenzake wa the same school........so waathirika siyo mabinti tu.....naona wanaharakati wanahangaika na wakike tu
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Piganieni na kijana anayempa mi
Shule ya kanisa zitapata wanafunzi wengi mno

Ewe mzazi usiotaka huo ujinga elekeza mtoto akasome shule za msingi na secondary za kanisa


Usimpeleke kwingine atasoma na wazazi wa kike na kiume watamharibu

Naziona shule za kanisa zinarudi kwenye ubora wake kana tegemeo pekee la kuzalisha watoto Wenye maadili na wanaozingatia shule tu Kama agenda kuu wakiwa shuleni

Shule za kanisa ndizo pekee zitakazomokoa mwanao na mmomonyoko wa maadili mtoto akiwa anasoma kuwa asiwaze kidume Wala kijike hata kiwe na pesa kuliko Bakhresa agenda kusoma tu Hadi kieleweke
Shule za kanisa jiandaeni kupokea mafuriko ya wanafunzi darasa la kwanza mwakani


Tangazeni bila aibu Wala hofu msimamo huo wa serikali na washaurini waumini wapeleke watoto shule za kanisa kwa future nzuri za watoto wao
Serikali inapata hasara gani ukimpeleka mwanao shule ya kanisa??
 
Tunatumia muda mwingi kupromote na kutetea mambo ya hovyo kwenye jamii.

Yani asiyefuata maadili anaenda kuchanganywa na wanaofuata maadili baada ya miaka 10 wote unakuta wameoza.

Wamemwandaa nani wa kuacha shughuli zake alee hao watoto watakao zaliwa na kuachwa na wazazi wao? Maana baba ataenda jela miaka 30 na mama atarudi shule.

Muda si mrefu na haki ya vilainishi itaruhusiwa
Hiyo haki ikiruhusiwa nunua tu na wewe vilainishi huzuiliwi,,,,watoto wa kike wasome bila kujali wamezaa ama la! Watoto wengi umaskini wa familia ndo unawaponza si kosa lao sana
 
Yaani mwanafunzi afanye udanganyifu mwaka huu halafu mwakani awe darasani.

Jela haendi??!!!!
 
Serikili Kwa hili wapo sahihi Kwa asilimia mia.Elimu ni haki ya Kila mtu pia ukiangalia kwa undani watoto wengi wanapata mimba kutokana na umasikini wa familia zao.Pamoja na hili kufanyika lakini serikali ije na makakati wa kupunguza umasikini Nchini ili tatizo la mimba za utotoni lipungue.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nikweli upo sahihi, ulizia sheria ya mwanafunzi kujihusisha na ngono shuleni adhabu yake ni nini? Hizo sheria zifutwe basi maana kuna mkanganyiko kidogo
 
SAFI SANA WAZIRI

SAFI SANA SAMIA SULUHU HASSAN
Magufuli: Ni marufuku wanafunzi waliopata mimba kuendelea na masomo chini ya utawala wangu!

UVCCM: Yaaaah! Heko Rais!

Samia: Wanafunzi wote watakaopata mimba wataendelea na masomo baada ya kujifungua!

UVCCM: Yaaaah! Heko Rais
 
Unawaonea bure, nchi hii ilikuwa ni mali binafsi ya shetani kutoka Chato.

Huyu Mama Samia alitaka kujiuzuru wazee wakamsihi avumilie, ndio sababu leo ana mamlaka kamili ndio anarekebisha damage iliyofanywa na yule chizi mjaalaana.

Mwacheni mama arekebishe nchi, tena swala hili lilisababisha tunyimwe fund za elimu kwa ajili ya ukaidi wa mpuuzi mmoja tu.
Punguani wewe! Kuendekeza umalaya kwenye mashule ndo sera yenu endeleeni kuramba makalio ya mabeberu! Huyo bibi ako anafanya hivyo sio yeye niujinga wake wa kutaka fedha bila kufanya kazi! Stupid!
 
Back
Top Bottom