Serikali: Wanaoanza Biashara kutolipa Kodi ya Mapato kwa muda hadi wa mwaka mmoja

Serikali: Wanaoanza Biashara kutolipa Kodi ya Mapato kwa muda hadi wa mwaka mmoja

Tecknolojia inakua. Tofauti na zamani Kuna link kati ya Brella na TRA na kila siku inaboreshwa. Ni risk sana kuwa na makampuni mengi yasiyofanya kazi. Na kufunga kampuni kuna gharama. Kwa mfumo wa sasa biashara ya kufungua na kufunga kampuni ni biashara kichaa. Itakugharimu tu, bora kama unaona hukui uachane na biashara.
Yeah
Elimu hii inatakiwa iwafikie wengi wenye nia hiyo
 
Msamaha huu wa mwaka ni kwa wafanyabiashara wote au ni kwa wale machinga

Maana sekta ya usafirishaji kwa malori makubwa ya mizigo hali ni mbaya sana upande wa kodi
1678395205351.png


Chama cha Wamiliki wa Malori TATOA Tanzania na wale TABOA wamiliki wa mabasi pia wanalia kuhusu mipango ya waziri wa fedha kudai kodi kabla hata hawajapata mzigo wa kusafirisha ... soma zaidi source :

mwananchi.co.tz
https://www.mwananchi.co.tz › kitaifa
Wenye mabasi, malori walia

17 Jun 2022 — Wakati Serikali ikipanga kuanza kutoza kodi ya Sh3.5 milioni kwa kila lori la ... kulipa fedha hizo kwa kuwa ...
 
Na mkumbuke mchele wa unaoitwa Mchele wa plastic kutoka Pakstan nao ushaanza kuingizwa nchini,na wanaoingiza ni wale wafanya bihashara Wakubwa wa muda wote,nao wamepewa ofa ya kutolipa kodi kwa mwaka mzima tujipange.
 
Na mkumbuke mchele wa unaoitwa Mchele wa plastic kutoka Pakstan nao ushaanza kuingizwa nchini,na wanaoingiza ni wale wafanya bihashara Wakubwa wa muda wote,nao wamepewa ofa ya kutolipa kodi kwa mwaka mzima tujipange.
Anza biashara na wewe unufaike na ofa hii acha kulalamika na kueneza uzushi.
 
Ukisikia wananchi unafikiri ni wewe .

Kumbe hao wananchi wanazungumziwa viongozi na watoto wao.

Nenda wewe kaombe huo mkopo tuone kama utapewa au kaombe kazi na hawakujui uje utoe majibu hapa.
Kama huna sifa hupewi.
 
Tecknolojia inakua. Tofauti na zamani Kuna link kati ya Brella na TRA na kila siku inaboreshwa. Ni risk sana kuwa na makampuni mengi yasiyofanya kazi. Na kufunga kampuni kuna gharama. Kwa mfumo wa sasa biashara ya kufungua na kufunga kampuni ni biashara kichaa. Itakugharimu tu, bora kama unaona hukui uachane na biashara.
Tin namba tofauti Kila biashara?
 
Tin namba tofauti Kila biashara?
Kwa mfumo wa sasa ukifanya hivi utaingia gharama sana. Late filling tu ni 225,000 kila mwezi, sasa una tin 5 ndani ya miaka 5 compliance si itakuua? Haya lets say upo under presumptive hufile chochote. Inamaana kila mwaka utatakiwa ukubaliane na mtu mpya aende TRA kwa niaba yako kupeleka taarifa za biashara mpya, Efd mashine mpya n.k. Kama sio kuchanganyikiwa ni nn?
 
Anaanza baba, mwisho wa mwaka anasema amefilisika, anafungua mama, anafilisika wanapokea watoto etc
Sasa si bora familia nzima mjiunge na michezo ya kuigiza, maana utakuwa uigizaji wa mateso kweli.

Kila mwaka utanunua Efd mpya, kila mwaka utatafuta uongo wa kusema ili usigundulike kuwa biashara ni ile ile shemu ile ile, kila mwaka utaenda kuomba upya leseni ya biashara.

Halafu tuassume una watoto 10 kwamba umezaa sana ndo angalau lifespan ya biashara yako itakuwa miaka 10.
 
Ila huyu mama ifike mahali tumpe heshima anayostahili! Watu wanambeza lakini kuna vitu anavifanya ni vya maana sana kwa mwananchi! Awe mkali tu asiwaruhusu wajinga wachache wamharibie!
 
Ila huyu mama ifike mahali tumpe heshima anayostahili! Watu wanambeza lakini kuna vitu anavifanya ni vya maana sana kwa mwananchi! Awe mkali tu asiwaruhusu wajinga wachache wamharibie!
Kumbe ulikuwa humpi? Kwa taarifa Yako mara nyingi watu wenye makelele Huwa ni zero brain ila watu watulivu wasio waongeaji sana Huwa na IQ kubwa..

Angalizo mara nyingi sio mara zote.
 
Back
Top Bottom