Serikali: Wanaoanza Biashara kutolipa Kodi ya Mapato kwa muda hadi wa mwaka mmoja

Serikali: Wanaoanza Biashara kutolipa Kodi ya Mapato kwa muda hadi wa mwaka mmoja

Na mkumbuke mchele wa unaoitwa Mchele wa plastic kutoka Pakstan nao ushaanza kuingizwa nchini,na wanaoingiza ni wale wafanya bihashara Wakubwa wa muda wote,nao wamepewa ofa ya kutolipa kodi kwa mwaka mzima tujipange.
Hivi huu utumbo huwa mnaandika kwa faida ya nani. Mnashusha Hadhi ya JF, sio tu ukiwa na smartphone basi unapost chochote unachojiskia.
 
Hello Wadau,

Naioongeza Serikali kwa kuchukua uamuzi huu utakaosaidia sana kutatua shida ya ajira na pia kuchochea vijana kujiajiri.

Tulikuwa wapi kumpata Rais kama Samia? Mungu ambariki.

====

View attachment 2542872


Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuruhusu wafanyabiashara wanaoanza biashara kutokulipa kodi kwa kipindi cha miezi sita hadi mwaka moja.

“Rais ametoa kibali, wale wanaoanza biashara kufanya biashara miezi sita hadi mwaka moja ndipo waanze kulipa kodi,” alisema. Alisema hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Wilaya ya Kondoa.

Alisema hilo linaonesha ni jinsi gani Rais Samia anawajali wananchi wake. “Ni vyema kila mmoja akauunga mkono juhudi za Rais katika kuwaletea wananchi maendeleo,” alisisitiza. Pia aliwataka wananchi kuachana na mikopo umiza na ile ya kausha damu kwani imekuwa ikiumiza wananchi kutokana na kuwa na riba kubwa.

“Halmashauri zimekuwa zikitoa mikopo ya asilimia nne, wananchi mwende mkope huko. Pia Rais Samia ametoa fedha kwenye Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido) ambapo mikopo hutolewa kwa riba ya asilimia tisa,” alisema. Alisema kuwa mikopo yenye riba kubwa imekuwa ikiumiza wananchi huku wakiwa hawapati faida yoyote.


Chanzo: Habari Leo
Siasa zimeanza tayari
 
Huwa mnalalamika kila siku serikali haiweki mazingira mazuri ya vijana kujiajiri. Haya kafuta Kodi Bado unalialia Sasa ulitaka afanyaje? Badala utumie fursa uko busy kupinga pinga tu.

Sukuma gang mna shida sio Bure

Uliandika vizuri tatizo umemaliza vibaya kwa kutaja Sukuma Gang,unahis Makabira mengine ndo yapo tayari kupewa huu mradi feki?
 
Hello Wadau,

Naioongeza Serikali kwa kuchukua uamuzi huu utakaosaidia sana kutatua shida ya ajira na pia kuchochea vijana kujiajiri.

Tulikuwa wapi kumpata Rais kama Samia? Mungu ambariki.

====

View attachment 2542872


Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuruhusu wafanyabiashara wanaoanza biashara kutokulipa kodi kwa kipindi cha miezi sita hadi mwaka moja.

“Rais ametoa kibali, wale wanaoanza biashara kufanya biashara miezi sita hadi mwaka moja ndipo waanze kulipa kodi,” alisema. Alisema hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Wilaya ya Kondoa.

Alisema hilo linaonesha ni jinsi gani Rais Samia anawajali wananchi wake. “Ni vyema kila mmoja akauunga mkono juhudi za Rais katika kuwaletea wananchi maendeleo,” alisisitiza. Pia aliwataka wananchi kuachana na mikopo umiza na ile ya kausha damu kwani imekuwa ikiumiza wananchi kutokana na kuwa na riba kubwa.

“Halmashauri zimekuwa zikitoa mikopo ya asilimia nne, wananchi mwende mkope huko. Pia Rais Samia ametoa fedha kwenye Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido) ambapo mikopo hutolewa kwa riba ya asilimia tisa,” alisema. Alisema kuwa mikopo yenye riba kubwa imekuwa ikiumiza wananchi huku wakiwa hawapati faida yoyote.

Chanzo: Habari Leo
Kauli za wanasiasa wanapokuwa kileleni plse tahadhari zichukuliwe kwani haziko clear na zinautata mwingi Sana. Kwanza ni BIASHARA gani?? Unaanza lini??? Mbona watoa Mada kama watu WA propaganda wakilopoka wanasiasa nyie ni kusherehesha tu. Ebu tuwaulize maswali magumu kwanza, mazingira ya kufanya BIASHARA bongo ni magumu mno hasa mifumo ya kodi na maofisa WA kodi wenyewe.
Vipi BIASHARA ya magari je msamaha unahusu???

Sent from my POT-LX1T using JamiiForums mobile app
 
I'm going to file for bankruptcy, then restart my business after 2 months ili nisilipe kodi kwa mwaka mmoja. Sheria itanibana hapo?
 
Kauli za wanasiasa wanapokuwa kileleni plse tahadhari zichukuliwe kwani haziko clear na zinautata mwingi Sana. Kwanza ni BIASHARA gani?? Unaanza lini??? Mbona watoa Mada kama watu WA propaganda wakilopoka wanasiasa nyie ni kusherehesha tu. Ebu tuwaulize maswali magumu kwanza, mazingira ya kufanya BIASHARA bongo ni magumu mno hasa mifumo ya kodi na maofisa WA kodi wenyewe.
Vipi BIASHARA ya magari je msamaha unahusu???

Sent from my POT-LX1T using JamiiForums mobile app
Sawa 👇
 
Ulivyoandika tu nshajua hauna ata chembe ya Usukuma....ww ni Migebuka tu kutoka Kigoma.
Nani kasema Kanda ya ziwa ni wasukuma pekee? Msijimilikishe Kanda. Ndio maana 2015 na 2020 mikoa ya Kagera na Mara tulimkataa kabisa JPM licha ya kuwa ipo Kanda ya ziwa Victoria.

Btw Mimi ni wa Mara, mama ndio wa kutoka Kalinzi. So I'm from Kanda ya ziwa na sijawahi kumsupport JPM kwa lolote.
 
Nani kasema Kanda ya ziwa ni wasukuma pekee? Msijimilikishe Kanda. Ndio maana 2015 na 2020 mikoa ya Kagera na Mara tulimkataa kabisa JPM licha ya kuwa ipo Kanda ya ziwa Victoria.

Btw Mimi ni wa Mara, mama ndio wa kutoka Kalinzi. So I'm from Kanda ya ziwa na sijawahi kumsupport JPM kwa lolote.
Sema nilimkataa sio tulimkataaa...huko ndo nyumbani mzee kuna watu ukiweka picha ya Magu na huyu Mama walah utajua kitakachotokea.
 
Sema nilimkataa sio tulimkataaa...huko ndo nyumbani mzee kuna watu ukiweka picha ya Magu na huyu Mama walah utajua kitakachotokea.
Punguza utoto, 2020 hapo Geita mjini CCM ilipata 30,000 Chadema 17,000 yaani Chadema walipata more than nusu ya kura za CCM Geita mjini na hiyo ilikua NEC hii hii tunayosema sio huru sembuse tume huru.

Ipo wazi Kagera na Mara walimkataa JPM composition ya kura zinaonyesha hivyo, mara wabunge walikua 4.... Bukoba halmashauri ilikua ya Chadema na mbunge juu. Sasa utasemaje ni ngome ya JPM.

Alafu Samia vs JPM inatoka wapi? Kwani JPM ni mgombea Urais? 2025 ni Samia vs Chadema hutaki anzisha chama ila hizo ndio options pekee na hao wote ni Anti JPM.

Poleni sana Sukuma Gang
 
Back
Top Bottom