wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
TIN na sio TIN Number.Tin namba tofauti Kila biashara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TIN na sio TIN Number.Tin namba tofauti Kila biashara?
Hivi huu utumbo huwa mnaandika kwa faida ya nani. Mnashusha Hadhi ya JF, sio tu ukiwa na smartphone basi unapost chochote unachojiskia.Na mkumbuke mchele wa unaoitwa Mchele wa plastic kutoka Pakstan nao ushaanza kuingizwa nchini,na wanaoingiza ni wale wafanya bihashara Wakubwa wa muda wote,nao wamepewa ofa ya kutolipa kodi kwa mwaka mzima tujipange.
Na ww umo kwenye mpango wa kansa?Hivi huu utumbo huwa mnaandika kwa faida ya nani. Mnashusha Hadhi ya JF, sio tu ukiwa na smartphone basi unapost chochote unachojiskia.
Siasa zimeanza tayariHello Wadau,
Naioongeza Serikali kwa kuchukua uamuzi huu utakaosaidia sana kutatua shida ya ajira na pia kuchochea vijana kujiajiri.
Tulikuwa wapi kumpata Rais kama Samia? Mungu ambariki.
====
View attachment 2542872
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuruhusu wafanyabiashara wanaoanza biashara kutokulipa kodi kwa kipindi cha miezi sita hadi mwaka moja.
“Rais ametoa kibali, wale wanaoanza biashara kufanya biashara miezi sita hadi mwaka moja ndipo waanze kulipa kodi,” alisema. Alisema hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Wilaya ya Kondoa.
Alisema hilo linaonesha ni jinsi gani Rais Samia anawajali wananchi wake. “Ni vyema kila mmoja akauunga mkono juhudi za Rais katika kuwaletea wananchi maendeleo,” alisisitiza. Pia aliwataka wananchi kuachana na mikopo umiza na ile ya kausha damu kwani imekuwa ikiumiza wananchi kutokana na kuwa na riba kubwa.
“Halmashauri zimekuwa zikitoa mikopo ya asilimia nne, wananchi mwende mkope huko. Pia Rais Samia ametoa fedha kwenye Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido) ambapo mikopo hutolewa kwa riba ya asilimia tisa,” alisema. Alisema kuwa mikopo yenye riba kubwa imekuwa ikiumiza wananchi huku wakiwa hawapati faida yoyote.
Chanzo: Habari Leo
Ingependeza zaidi wapewe miaka 3 mpaka 5 kama wavyopewa wawekezaji wa nje. Hi itawapa hamasa wazawa.Siasa zimeanza tayari
Huwa mnalalamika kila siku serikali haiweki mazingira mazuri ya vijana kujiajiri. Haya kafuta Kodi Bado unalialia Sasa ulitaka afanyaje? Badala utumie fursa uko busy kupinga pinga tu.Na ww umo kwenye mpango wa kansa?
Huwa mnalalamika kila siku serikali haiweki mazingira mazuri ya vijana kujiajiri. Haya kafuta Kodi Bado unalialia Sasa ulitaka afanyaje? Badala utumie fursa uko busy kupinga pinga tu.
Sukuma gang mna shida sio Bure
Wewe ni hasara duniani, bora angezaliwa mbuzi kuliko weweNa mkumbuke mchele wa unaoitwa Mchele wa plastic kutoka Pakstan nao ushaanza kuingizwa nchini,na wanaoingiza ni wale wafanya bihashara Wakubwa wa muda wote,nao wamepewa ofa ya kutolipa kodi kwa mwaka mzima tujipange.
Sina muda wa kutukana na ww,Chama chenu wote mmetoka na bao la chooni so siwashangai mana kuna mbegu hazikuingia vizuri.Wewe ni hasara duniani, bora angezaliwa mbuzi kuliko wewe
Sikutaka kukaidi amri za wakuu[emoji2][emoji2] Aseee!! Kumbe ulishatangulia toka lini upo huko?
Kauli za wanasiasa wanapokuwa kileleni plse tahadhari zichukuliwe kwani haziko clear na zinautata mwingi Sana. Kwanza ni BIASHARA gani?? Unaanza lini??? Mbona watoa Mada kama watu WA propaganda wakilopoka wanasiasa nyie ni kusherehesha tu. Ebu tuwaulize maswali magumu kwanza, mazingira ya kufanya BIASHARA bongo ni magumu mno hasa mifumo ya kodi na maofisa WA kodi wenyewe.Hello Wadau,
Naioongeza Serikali kwa kuchukua uamuzi huu utakaosaidia sana kutatua shida ya ajira na pia kuchochea vijana kujiajiri.
Tulikuwa wapi kumpata Rais kama Samia? Mungu ambariki.
====
View attachment 2542872
Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Ashatu Kijaji amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ametoa kibali cha kuruhusu wafanyabiashara wanaoanza biashara kutokulipa kodi kwa kipindi cha miezi sita hadi mwaka moja.
“Rais ametoa kibali, wale wanaoanza biashara kufanya biashara miezi sita hadi mwaka moja ndipo waanze kulipa kodi,” alisema. Alisema hayo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika kimkoa katika Wilaya ya Kondoa.
Alisema hilo linaonesha ni jinsi gani Rais Samia anawajali wananchi wake. “Ni vyema kila mmoja akauunga mkono juhudi za Rais katika kuwaletea wananchi maendeleo,” alisisitiza. Pia aliwataka wananchi kuachana na mikopo umiza na ile ya kausha damu kwani imekuwa ikiumiza wananchi kutokana na kuwa na riba kubwa.
“Halmashauri zimekuwa zikitoa mikopo ya asilimia nne, wananchi mwende mkope huko. Pia Rais Samia ametoa fedha kwenye Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo (Sido) ambapo mikopo hutolewa kwa riba ya asilimia tisa,” alisema. Alisema kuwa mikopo yenye riba kubwa imekuwa ikiumiza wananchi huku wakiwa hawapati faida yoyote.
Chanzo: Habari Leo
Wasukuma wanajitambua, hata Mimi nimetokea Kanda hiyo ila Sina upuuzi wenu huo wa kukosoa Kila kitu sababu tu anayefanya sio JPM.Uliandika vizuri tatizo umemaliza vibaya kwa kutaja Sukuma Gang,unahis Makabira mengine ndo yapo tayari kupewa huu mradi feki?
Kwamba Kila mwaka utakuwa unaamzisha biashara au siyo?I'm going to file for bankruptcy, then restart my business after 2 months ili nisilipe kodi kwa mwaka mmoja. Sheria itanibana hapo?
Sawa 👇Kauli za wanasiasa wanapokuwa kileleni plse tahadhari zichukuliwe kwani haziko clear na zinautata mwingi Sana. Kwanza ni BIASHARA gani?? Unaanza lini??? Mbona watoa Mada kama watu WA propaganda wakilopoka wanasiasa nyie ni kusherehesha tu. Ebu tuwaulize maswali magumu kwanza, mazingira ya kufanya BIASHARA bongo ni magumu mno hasa mifumo ya kodi na maofisa WA kodi wenyewe.
Vipi BIASHARA ya magari je msamaha unahusu???
Sent from my POT-LX1T using JamiiForums mobile app
Ulivyoandika tu nshajua hauna ata chembe ya Usukuma....ww ni Migebuka tu kutoka Kigoma.Wasukuma wanajitambua, hata Mimi nimetokea Kanda hiyo ila Sina upuuzi wenu huo wa kukosoa Kila kitu sababu tu anayefanya sio JPM.
Nani kasema Kanda ya ziwa ni wasukuma pekee? Msijimilikishe Kanda. Ndio maana 2015 na 2020 mikoa ya Kagera na Mara tulimkataa kabisa JPM licha ya kuwa ipo Kanda ya ziwa Victoria.Ulivyoandika tu nshajua hauna ata chembe ya Usukuma....ww ni Migebuka tu kutoka Kigoma.
Sema nilimkataa sio tulimkataaa...huko ndo nyumbani mzee kuna watu ukiweka picha ya Magu na huyu Mama walah utajua kitakachotokea.Nani kasema Kanda ya ziwa ni wasukuma pekee? Msijimilikishe Kanda. Ndio maana 2015 na 2020 mikoa ya Kagera na Mara tulimkataa kabisa JPM licha ya kuwa ipo Kanda ya ziwa Victoria.
Btw Mimi ni wa Mara, mama ndio wa kutoka Kalinzi. So I'm from Kanda ya ziwa na sijawahi kumsupport JPM kwa lolote.
Punguza utoto, 2020 hapo Geita mjini CCM ilipata 30,000 Chadema 17,000 yaani Chadema walipata more than nusu ya kura za CCM Geita mjini na hiyo ilikua NEC hii hii tunayosema sio huru sembuse tume huru.Sema nilimkataa sio tulimkataaa...huko ndo nyumbani mzee kuna watu ukiweka picha ya Magu na huyu Mama walah utajua kitakachotokea.