Serikali wekeni ruzuku kwenye Mafuta, hizi bei kwa sasa hazivumiliki tena

Serikali wekeni ruzuku kwenye Mafuta, hizi bei kwa sasa hazivumiliki tena

Mara nyingi unajiona upo 100% na wenzio wapo chini hilo ni tatizo pia wewe usiefanya tafiti wala kusoma vitabu vingi kwa mwaka unajiona ni msomaji sana...
Soma wewe ulikatazwa? AlhamduliLlah mimi nasoma Qur'an inanitosha.
 
Hujasoma para ya pili, nimeelezea kuhusu mafuta.

Hata uwepo miaka 100, sasa hivi kuna Reforms kwenye kilimo, kuna kitu kinaitwa block farming, kimelenga wawekezaji wakubwa wawawezeshe wawekezaji wa ndani wafanye nao kazi pamoja. Haijawahi kutokea Tanzania.
Wewe ndio shule ulikua unasomea Ujinga hapa wanazungumzia mafuta upo na kilimo daah...harafu baadae mnasema Wakenya wametuzidi Elimu kwa kuchanganya mada hata kama ipo vizuri ni tatizo hilo pia..
 
Soma wewe ulikatazwa? AlhamduliLlah mimi nasoma Qur'an inanitosha.
Nimesoma Qur'an kwa level nzuri tuu na Elimu ya wahuni wazungu kwa level nzuri pia usije kuniambia mambo ya uvivu wa kusoma ambae una Elimu moja tu nakuomba leo iwe mwisho ni mara nyingi unaniambia hivyo huwa nakaa kimya...
 
wwwatoe kodi kwenye mafuta kabla ya kuweka ruzuku
Kodi hawawezi kuzitia maana ndio zinakusanya pesa za Barabara za TanRoads,Tarura,mfuko wa Maji,Rea na Reli.

Waweke ruzuku wavizie bei ishuke vinginevyo labda next year ndio wanaweza punguza Baadhi ya Kodi hasa hizo za rea,maji na reli
 
Nimesoma Qur'an kwa level nzuri tuu na Elimu ya wahuni wazungu kwa level nzuri pia usije kuniambia mambo ya uvivu wa kusoma ambae una Elimu moja tu nakuomba leo iwe mwisho ni mara nyingi unaniambia hivyo huwa nakaa kimya...
Ukiona mtu anajisifu kusoma ujuwe huyo ni poyoyo tu.
 
Sawa bei zimepanda soko la Dunia na mambo kama hayo ila ni muda wa kuweka ruzuku.

Bora kuvuruga Mpango wa miradi 2 au 1 Tupate pesa ya ruzuku kuliko kuua uchumi mzima Kwa kuachia bei ziendelee kuwa Juu kiasi hiki.

Yaani Lita Moja kufikia elfu 4-6 Mikoani huko Vijijini haikubaliki.Mwaka.juzi mliweka ruzuku Kwa nini mwaka huu hamtaki kufanya hivyo?

Wabunge mko wapi kupiga Makelele? Wari Dotto unasairiaje Wananchi? Maana Toka umeingia unatoa matamko tuu yasiyo na impacts.

View: https://www.instagram.com/p/Cx86aeWtaMe/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Bingwa wa uchumi imekuwaje tena?

Haya mahaba kwa wananchi yamekushukia lini?
 
Subiri mama kaingia chimbo na kichwa, akirudi mambo mazuri kabisa.
Eeeeh huyu Faiza anajielewa kweli kwa hiyo tuendelee kushindia uji wa makapi ya mahindi tusubiri mpaka mama arudi chimbo. Kweli wewe Faiza ni Foxy
 
Bingwa wa uchumi imekuwaje tena?

Haya mahaba kwa wananchi yamekushukia lini?
Umeandika matapishi.Mafuta ni mara ya kwanza kupanda? Yalipopanda zaidi mwaka Jana Serikali haikuweka ruzuku? Mahaba maana yake nini hasa?

Mimi kama mchumi ndio nakupa hiyo hesabu kwamba takwimu za mwaka 2022/23 za Uchumi na mapato Kwa sehemu kubwa zilishuka Kwa sababu ya bei Juu ya Mafuta tofauti na Mwaka 2021/2022 ndio Sasa naitahadharisha Serikali iweke ruzuku mapema Kwa sababu bei zimekuwa unbearable hivyo watu watapunguza activities.

Hii utaiona hasa kuanzia kota ya pili.
 
Ukiona mtu anajisifu kusoma ujuwe huyo ni poyoyo tu.
Wewe ndio poyoyo huna unachokijua ndio maana unachanganya mada kusoma kwetu ni sehemu ya maisha sio ishu kubwa kama unavyodhania na wala usimchukie mtu na Ma Elimu yake unavyoandika unaonekana kabisa Shule ilikupita kushoto huna hata ustaarabu kila mtu unamrukia ukidhani ni uzito sawa kumbe wewe ndio hamna kitu punguza uswahili huo sisteri...
 
Wewe ndio poyoyo huna unachokijua ndio maana unachanganya mada kusoma kwetu ni sehemu ya maisha sio ishu kubwa kama unavyodhania na wala usimchukie mtu na Ma Elimu yake unavyoandika unaonekana kabisa Shule ilikupita kushoto huna hata ustaarabu kila mtu unamrukia ukidhani ni uzito sawa kumbe wewe ndio hamna kitu punguza uswahili huo sisteri...
Wewe elimu yako inanisaidia mimi na jamii yako?


Huna cha eimu, aliyeelimika haongei kijinga kama wewe, poyoyo tu wewe.

Wewe itakuwa shule ulisomea ujinga.
 
Umeandika matapishi.Mafuta ni mara ya kwanza kupanda? Yalipopanda zaidi mwaka Jana Serikali haikuweka ruzuku? Mahaba maana yake nini hasa?

Mimi kama mchumi ndio nakupa hiyo hesabu kwamba takwimu za mwaka 2022/23 za Uchumi na mapato Kwa sehemu kubwa zilishuka Kwa sababu ya bei Juu ya Mafuta tofauti na Mwaka 2021/2022 ndio Sasa naitahadharisha Serikali iweke ruzuku mapema Kwa sababu bei zimekuwa unbearable hivyo watu watapunguza activities.

Hii utaiona hasa kuanzia kota ya pili.
Mkuu matapishi yangu yanamshibisha hata mbwa au paka.

Serikali iliyojaa wataalam lukuki kama.haioni haja ya kuweka unafuu kwa wananchi, laana iende kwenye ilani na wasimamizi wa ilani.

Serikali hii haishauriki
 
Wewe elimu yako inanisaidia mimi na jamii yako?


Huna cha eimu, aliyeelimika haongei kijinga kama wewe, poyoyo tu wewe.

Wewe itakuwa shule ulisomea ujinga.
Washakupanikisha tena baby wangu.
Tema nimchape😆
 
Wewe elimu yako inanisaidia mimi na jamii yako?


Huna cha eimu, aliyeelimika haongei kijinga kama wewe, poyoyo tu wewe.

Wewe itakuwa shule ulisomea ujinga.
Nimekuomba tu punguza kukurupukia watu hovyo hovyo kwa kujifanya upo 100% perfect wakati Tura tuu...case closed
 
Back
Top Bottom