Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Asante my[emoji38][emoji38][emoji38]
Haya bana, tumekuelewa na pole sana.
KabisaSisi wa baiskeli watupunguzie bei ya unga tupate nguvu yakupiga pedeli
Asante sana[emoji38][emoji38][emoji38]
Haya bana, tumekuelewa na pole sana.
Asante sana
Bei ya bia dar ni sawa na bei ya bia Arusha tatizo nini kwenye mafutaMamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia leo Jumatano October 04, 2023 saa 6:01 usiku ambapo kwa mwezi October 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ni Tsh. 3281 kwa lita, dizeli Tsh. 3448 na mafuta ya taa 2943
Asante kwa kunielewa π[emoji23][emoji23][emoji23]kaka mwenye Nissan yake
Pole na wewe.
Naunga mkono hoja ππBei ya bia dar ni sawa na bei ya bia Arusha tatizo nini kwenye mafuta
Wee kwani gari unayoKilichobakia kwa sasa ni bora mara 100 kusafiri kwa usafiri wa umma. Na kwenye misele yetu, tununue tu baiskeli za kuchaji.
Naunga mkono hoja ππKilichobakia kwa sasa ni bora mara 100 kusafiri kwa usafiri wa umma. Na kwenye misele yetu, tununue tu baiskeli za kuchaji.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia leo Jumatano October 04, 2023 saa 6:01 usiku ambapo kwa mwezi October 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ni Tsh. 3281 kwa lita, dizeli Tsh. 3448 na mafuta ya taa 2943
Na Iwe ivoAsante kwa kunielewa π
Ila siku nikibahatika kufika level zako walau na mimi nimiliki ka Bima nitapiga magoti na kumshukuru Mungu
Wakati mwingine kama unauliza swali, basi ukumbuke kuweka na hii alama ya kuuliza. ?Wee kwani gari unayo
Mwisho watapandisha mashetani sasaMamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetangaza kupanda kwa bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini zitakazotumika kuanzia leo Jumatano October 04, 2023 saa 6:01 usiku ambapo kwa mwezi October 2023, bei za rejareja za mafuta katika Mkoa wa Dar es Salaam petrol ni Tsh. 3281 kwa lita, dizeli Tsh. 3448 na mafuta ya taa 2943
hunagari mkuu acha kutupangaWakati mwingine kama unauliza swali, basi ukumbuke kuweka na hii alama ya kuuliza. ?
Lakini pia upunguze kuuliza maswali ya kitoto kwa watu usio wafahamu.