Serikali wekeni ruzuku kwenye Mafuta, hizi bei kwa sasa hazivumiliki tena

Serikali wekeni ruzuku kwenye Mafuta, hizi bei kwa sasa hazivumiliki tena

Natumia diesel. Kwa 3400/= hapana aisee. Wacha tyre zioze.
 
Natamani mtu alete mtitririko wa kodi zote zilizopo kwenye lita moja ya mafuta.

Huenda kuna makodi ya ajabu ambayo yanamuumiza mtanzania tu.
 
Anayelala usimuashe..usije ukalala wewe 😂 😂 😂 😂

Endelea kusoma bajeti na utueleze hela zilizotengwa ni kiasi gani ili baadae tukuulize zile hela zimefanya kazi gani kama kazi hazijafanyika
Wewe uwe unajadili na nyumbu wenzio ndio unaweza wapotosha,Mimi sio mjinga kama machadomo

View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1709106375349944485?t=SI5TCDouMsTGRoO2SQBqSg&s=19

View: https://twitter.com/TaruraTz/status/1709113104510923170?t=VjZHg6AhmN-2NQBkYGW1UQ&s=19
 
Sawa bei zimepanda soko la Dunia na mambo kama hayo ila ni muda wa kuweka ruzuku.

Bora kuvuruga Mpango wa miradi 2 au 1 Tupate pesa ya ruzuku kuliko kuua uchumi mzima Kwa kuachia bei ziendelee kuwa Juu kiasi hiki.

Yaani Lita Moja kufikia elfu 4-6 Mikoani huko Vijijini haikubaliki.Mwaka.juzi mliweka ruzuku Kwa nini mwaka huu hamtaki kufanya hivyo?

Wabunge mko wapi kupiga Makelele? Wari Dotto unasairiaje Wananchi? Maana Toka umeingia unatoa matamko tuu yasiyo na impacts.

--
View attachment 2771275View attachment 2771276

--
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika leo Jumatano Oktoba 4, 2023 huku bei ya dizeli ikizidi kupaa ikilinganishwa na mwezi Septemba.

Kwa mwezi huu bei za rejareja za mafuta katika
mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama ifuatavyo;
Dar es Salaam lita ya petroli ni Sh3,281, dizeli Sh3,448 na mafuta ya taa yakiuzwa Sh2,943. Tanga lita ya petroli ikiuzwa Sh3,327, dizeli Sh3,494 na mafuta taa Sh2,989.

Mkoa wa dizeli imezidi kupaa mara dufu ikiuzwa kwa lita Sh3,520, petrol Sh3,353 na mafuta ya taa Sh3,016.

Ewura imetaja sababu ya mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi Oktoba 2023 ikiwa ni kupanda kwa gharama za bidhaa hiyo katika soko la dunia kwa hadi kufikia asilimia 4.21 na gharama za uagizaji kufikia asilimia 17 kwa petroli, asilimia 62 kwa dizeli na asilimia 4 kwa mafuta ya taa.

Pia, uamuzi wa wazalishaji wakubwa wa mafuta
duniani (OPEC+) kupunguza uzalishaji na vikwazo vya kiuchumi ambavyo nchi ya Urusi imewekewa na mataifa ya magharibi
Kumbe muda mwingine friji lako uwa linagandisha!nikajua hii bei ya wese chawa aiwahusu!
 
Naelekea kwenye shimoni la matraaakoma Yako saizi.

Shida mapoyoyo wamejaa mbele wanafikiri kudanganya ndio siasa kama wewe. Ukiangalia hizi thread zako unaona kabisa ndio wale failures wametangulia mbele. Ni kuimba mapambio tu yasiyo na kichwa wala miguu.
Comrade Kinana ana wakati mgumu sana. Hamumuelewi. Ni kuikimbiza posho tu.
Ndio maana unaandika huu ushuzu unaounadika. Ukishindwa kwa hoja basi waleta viroja na matusi. Anyway, am not at that level. Ni siasa za waliokosa akili, wenye kukariri na ambao hawana lolote la maana la kuongeza.
Nasema tena, Comrade Kinana ana wakati mgumu sana
 
Shida mapoyoyo wamejaa mbele wanafikiri kudanganya ndio siasa kama wewe. Ukiangalia hizi thread zako unaona kabisa ndio wale failures wametangulia mbele. Ni kuimba mapambio tu yasiyo na kichwa wala miguu.
Comrade Kinana ana wakati mgumu sana. Hamumuelewi. Ni kuikimbiza posho tu.
Ndio maana unaandika huu ushuzu unaounadika. Ukishindwa kwa hoja basi waleta viroja na matusi. Anyway, am not at that level. Ni siasa za waliokosa akili, wenye kukariri na ambao hawana lolote la maana la kuongeza.
Nasema tena, Comrade Kinana ana wakati mgumu sana
Endelea kumwaga povu 😂😂

Lazima umpe Shikamoo Samia

View: https://twitter.com/WizarayaUJ/status/1709865058770034915?t=kidv1GlZaZ8WDV3vkAxLPQ&s=19
 
Sawa bei zimepanda soko la Dunia na mambo kama hayo ila ni muda wa kuweka ruzuku.

Bora kuvuruga Mpango wa miradi 2 au 1 Tupate pesa ya ruzuku kuliko kuua uchumi mzima Kwa kuachia bei ziendelee kuwa Juu kiasi hiki.

Yaani Lita Moja kufikia elfu 4-6 Mikoani huko Vijijini haikubaliki.Mwaka.juzi mliweka ruzuku Kwa nini mwaka huu hamtaki kufanya hivyo?

Wabunge mko wapi kupiga Makelele? Wari Dotto unasairiaje Wananchi? Maana Toka umeingia unatoa matamko tuu yasiyo na impacts.

--
View attachment 2771275View attachment 2771276

--
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika leo Jumatano Oktoba 4, 2023 huku bei ya dizeli ikizidi kupaa ikilinganishwa na mwezi Septemba.

Kwa mwezi huu bei za rejareja za mafuta katika
mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama ifuatavyo;
Dar es Salaam lita ya petroli ni Sh3,281, dizeli Sh3,448 na mafuta ya taa yakiuzwa Sh2,943. Tanga lita ya petroli ikiuzwa Sh3,327, dizeli Sh3,494 na mafuta taa Sh2,989.

Mkoa wa dizeli imezidi kupaa mara dufu ikiuzwa kwa lita Sh3,520, petrol Sh3,353 na mafuta ya taa Sh3,016.

Ewura imetaja sababu ya mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi Oktoba 2023 ikiwa ni kupanda kwa gharama za bidhaa hiyo katika soko la dunia kwa hadi kufikia asilimia 4.21 na gharama za uagizaji kufikia asilimia 17 kwa petroli, asilimia 62 kwa dizeli na asilimia 4 kwa mafuta ya taa.

Pia, uamuzi wa wazalishaji wakubwa wa mafuta
duniani (OPEC+) kupunguza uzalishaji na vikwazo vya kiuchumi ambavyo nchi ya Urusi imewekewa na mataifa ya magharibi
Ruzuku si bure, lazima tutakuja kuilipia kama si leo basi watoto wetu. Hii ni sawa na kulipiga kalenda tatizo. Lazima serikali ipunguze matumizi yake.
 
Ruzuku si bure, lazima tutakuja kuilipia kama si leo basi watoto wetu. Hii ni sawa na kulipiga kalenda tatizo. Lazima serikali ipunguze matumizi yake.
Hii unaelewa ulichoongea? Tuilipe kutoka wapi wakati ni Kodi zetu zinachukuliwa na kuwa ruzuku?
 
Hii unaelewa ulichoongea? Tuilipe kutoka wapi wakati ni Kodi zetu zinachukuliwa na kuwa ruzuku?
Kodi yako ni finyu sana, bajeti ya Tanzania bado inahitaji misaada toka nje. Kodi yako kama sikosei ni 60% tu ya bajeti yote. Asilimia 40 ni misaada na mikopo nafuu.
 
Uwekezaji mkubwa uko kwenye mining. Na sababu iko wazi, kuwa tafiti zake zimeshafanyika muda mrefu umepita. Wanataka uwekezaji sasa.
Hawa wa bandari nao ni wawekezaji? Au kilimo, wamewekeza wapi? Siasa ni kitu kimoja...na uhalisia ni kitu kingine. lets be practical maana hii ni nchi yetu sote. Sio vizuri kudanganyana
Unachokipinga au kukikubali ni kipi? Sijakuelewa.

Unaongelea madini? sakata la profesa Mruma na Profesa Kabudi unalijuwa?

Mruma kahenyeshwa na kijana mdogo kuhusu mikataba ya wakati wa mwendazake, mpaka akawa anatia huruma.

Kabudi nae alibanwa na waandishi wa habari akasema wazi kuwa walikuwa wanatowa takwimu za uongo kunogesha na kumfurahisha mwendazake eti wapate kujadiliana vizuri kwenye mikataba. Huyajuwi hayo?
 
Sawa bei zimepanda soko la Dunia na mambo kama hayo ila ni muda wa kuweka ruzuku.

Bora kuvuruga Mpango wa miradi 2 au 1 Tupate pesa ya ruzuku kuliko kuua uchumi mzima Kwa kuachia bei ziendelee kuwa Juu kiasi hiki.

Yaani Lita Moja kufikia elfu 4-6 Mikoani huko Vijijini haikubaliki.Mwaka.juzi mliweka ruzuku Kwa nini mwaka huu hamtaki kufanya hivyo?

Wabunge mko wapi kupiga Makelele? Wari Dotto unasairiaje Wananchi? Maana Toka umeingia unatoa matamko tuu yasiyo na impacts.

--
View attachment 2771275View attachment 2771276

--
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imetangaza bei mpya za mafuta zitakazoanza kutumika leo Jumatano Oktoba 4, 2023 huku bei ya dizeli ikizidi kupaa ikilinganishwa na mwezi Septemba.

Kwa mwezi huu bei za rejareja za mafuta katika
mikoa ya Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ni kama ifuatavyo;
Dar es Salaam lita ya petroli ni Sh3,281, dizeli Sh3,448 na mafuta ya taa yakiuzwa Sh2,943. Tanga lita ya petroli ikiuzwa Sh3,327, dizeli Sh3,494 na mafuta taa Sh2,989.

Mkoa wa dizeli imezidi kupaa mara dufu ikiuzwa kwa lita Sh3,520, petrol Sh3,353 na mafuta ya taa Sh3,016.

Ewura imetaja sababu ya mabadiliko ya bei za mafuta kwa mwezi Oktoba 2023 ikiwa ni kupanda kwa gharama za bidhaa hiyo katika soko la dunia kwa hadi kufikia asilimia 4.21 na gharama za uagizaji kufikia asilimia 17 kwa petroli, asilimia 62 kwa dizeli na asilimia 4 kwa mafuta ya taa.

Pia, uamuzi wa wazalishaji wakubwa wa mafuta
duniani (OPEC+) kupunguza uzalishaji na vikwazo vya kiuchumi ambavyo nchi ya Urusi imewekewa na mataifa ya magharibi

View: https://www.instagram.com/p/CyC8lbttxi-/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Unachokipinga au kukikubali ni kipi? Sijakuelewa.

Unaongelea madini? sakata la profesa Mruma na Profesa Kabudi unalijuwa?

Mruma kahenyeshwa na kijana mdogo kuhusu mikataba ya wakati wa mwendazake, mpaka akawa anatia huruma.

Kabudi nae alibanwa na waandishi wa habari akasema wazi kuwa walikuwa wanatowa takwimu za uongo kunogesha na kumfurahisha mwendazake eti wapate kujadiliana vizuri kwenye mikataba. Huyajuwi hayo?

Wewe hujawahi kueleweka wala hutakaa kuja kueleweka. Hamia Afghanistan ukatimize matakwa ya dini yako vizuri. Maana hata uarabuni watakukataa.
Waarabu wa leo wamesoma. Hawaendeshwi tena na propaganda za kijinga kijinga. Ni hivi, maneno yenu yamezidi kuliko matendo
Tunataka vitendo. Mkisema tunajenga daraja mjenge kweli. Mkisema tunajenga reli, mjenge kweli. Vinginevyo endeleeni kula taratibu tena kimya kimya
 
Back
Top Bottom