Serikali ya Kenya Yatangaza Hali ya Hatari (Civil Danger)Yaamrisha Rasmi Jeshi la kenya (KDF) Kuingia Mtaani na Kutuliza Raia Wanaofanya maandamano

Katangaza kulingana na Sheria za Kenya Mkuu sio Sheria za Tanzania
 
Inawezekana huko Kenya Waziri ana mamlaka hayo
 
Ati kirungu kwa vijana wa Kenya - ha ha ha
 
We nawe huoni ata aibu kusema hivyo unaweza fananisha tz na kenya kwenye kujitambua kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…